Sawa una First Class degree, una A ya Hesabu na wewe ni best student. So what?

Leo tuangazie wasongo.

Unaweza kuwa kumefaulu vizuri na unaweza kuwa ni bora masomoni. Lakini unapokuja mtaani watu hawataki kuona vyeti bali wanataka wasikie kitu tofauti ulichonacho ukifananisha na pengine wanavyovijua au vya wenzako ambao mupo pamoja kwenye interview (usahili)

Wengine ushangaa kuna wale ambao darasani walikuwa midiocre (vilaza) lakini kila interview wakienda upata kazi, ili sio suala la kupendelewa au sijui ana ndugu bali ni kitazamo wa fikra.

Kuna watu wanaajiriwa pasipo kuulizwa vyeti, yaani professional resume (wasifu wako wa kitaaluma) pekee unatosha kukupa kazi.

Phrase ya SO WHAT? Ni namna unavyotakiwa kueleza mafanikio yako ya kishule unayashabihiaha vipi na kitu watu wanafanya au wanataka.

Yaani umefaulu Computer science na first class sasa tuambie kwenye mfumo huu wa biashara ama kwa biashara yetu ama kwa wateja wetu taaluma uliyonayo utakuja na njia gani mbadala ya kuwezesha ubora wa biashara.

Namna yote utakavyo jinasibu inabidi isharabu kwa nafasi au majukumu unayotarajia kuyaganya kwenye fursa iliyoko mbele yako.

Kwa hivyo basi tumia muda mwingi kujigenga kwenye business environment yaani namna gani biashara inafanywa, mapungufu yalipo kisha buni jinsi utakavyoweza kutatua changamoto zilizopo au zitakazo kuja.

Kwa kujenga fikra za namna hii basi Muhitimu au mtafuta fursa utakuwa katika nafasi nzuri ya kupata nafasi.

TUZIDI KUTAFAKARI ZAIDI
Wivu utakuua.
 
Ni wivu tu na kudharau watu walio Soma hakuna lolote kwa sababu watanzania ni watu ambao " wanafurahia Sana na kufarijika pindi wanapoona mtu kasoma lakin Hana kazi na anateseka mtaani " hata akiingia ofisin akaonesha vyet bado wanakuwa na chuki za chin chini dhidi yake ,kiufupi anaanza kuchukiwa Bila sababu ....



Ndio maana hii nchi imelaaniwa na haitakuja kuendelea kamwe ....
Inashangaza kwa kweli, mtu anapoteza muda kuwadhihaki wanaofaulu vizuri, hicho ni kiashiria cha uchawi.
 
Leo tuangazie wasongo.

Unaweza kuwa kumefaulu vizuri na unaweza kuwa ni bora masomoni. Lakini unapokuja mtaani watu hawataki kuona vyeti bali wanataka wasikie kitu tofauti ulichonacho ukifananisha na pengine wanavyovijua au vya wenzako ambao mupo pamoja kwenye interview (usahili)

Wengine ushangaa kuna wale ambao darasani walikuwa midiocre (vilaza) lakini kila interview wakienda upata kazi, ili sio suala la kupendelewa au sijui ana ndugu bali ni kitazamo wa fikra.

Kuna watu wanaajiriwa pasipo kuulizwa vyeti, yaani professional resume (wasifu wako wa kitaaluma) pekee unatosha kukupa kazi.

Phrase ya SO WHAT? Ni namna unavyotakiwa kueleza mafanikio yako ya kishule unayashabihiaha vipi na kitu watu wanafanya au wanataka.

Yaani umefaulu Computer science na first class sasa tuambie kwenye mfumo huu wa biashara ama kwa biashara yetu ama kwa wateja wetu taaluma uliyonayo utakuja na njia gani mbadala ya kuwezesha ubora wa biashara.

Namna yote utakavyo jinasibu inabidi isharabu kwa nafasi au majukumu unayotarajia kuyaganya kwenye fursa iliyoko mbele yako.

Kwa hivyo basi tumia muda mwingi kujigenga kwenye business environment yaani namna gani biashara inafanywa, mapungufu yalipo kisha buni jinsi utakavyoweza kutatua changamoto zilizopo au zitakazo kuja.

Kwa kujenga fikra za namna hii basi Muhitimu au mtafuta fursa utakuwa katika nafasi nzuri ya kupata nafasi.

TUZIDI KUTAFAKARI ZAIDI
Hii Ni emotional pain trauma umebeba. So watu wasipate first class na A za hesabu ama unamaanishaje.
Inaonekana ulizitafuta ukazikosa so brain inatafuta namna ya kujifariji Ni sawa na wale waliofeli wanaongea kuwa Nina pesa elimu ya Nini.
Ni kawaida ama Ni nature ya brain kutafuta sababu za kuondokana na maumivu makali ama habari ambayo inaenda kinyume na inavyotaka.
So tujishushe tusipate A ama wani.
Ndio unadhani utakuwa vizuri mtaani. Kila mtu Ana kipaji chake ,wewe Kama uko mtaani vyema ndipo panapokufaa na huyo Kama amekuzidi shuleni usitake kuonekana kuwa hujapungukiwa na kitu kwa kumshusha huyo hapo.
Ndio wale akina msukuma anawaponda wasomi baadaye anaenda kununua elimu ili lile pengo lake la kutokuwa na elimu alizibe,Mana Anazo hela Ila ndani ya nafsi yake bado anateseka ana feel inadequacy,sense of mattering,yaani binadamu bana akifanikisha kitu yeye Ni mjanja akifanikisha mwingine amebahatisha.
Akichelewa binadamu Ni bahati mbaya Mara jam njiani akichelewa nguruwe Ni kawaida yake kuchelewa huyo akazoea.
Kasomeni cognitive dissonance inavyofanya tunafanya maamuzi ya self-service.

Ukishindwa maisha unatupia lawama serikali ama wazazi ama mtu yeyote Ila ungefanikisha unajisifu kuwa mie Ni mjanja nimepigana bila ya kushikwa mkono,sijasoma,yaani nimetoka kwetu masikini nimetoboa. Watu Wana tafuta attention Mana hawakuipata,Wana maumivu ya kukosa vitu tokea udogoni, nyumbani,shuleni na huko mtaani so akifanikisha anakuwa anapooza Yale maumivu yake,Kama Kuna jirani walikuwa wanaishi maisha mazuri Basi wao hawana ndio hapo hapo akifanikisha maisha anamalizia ama anapoozea maumivu yake
 
Kuna KPMG, PWC, EY, na Delloite.

Hizi kampuni huwa zinaajiri wanafunzi waliofanya vizuri kutoka kwenye Top Universities kila nchi.

Acha kusema kila nchi ndugu, Kwa nchi zetu wanataka hao kwakua hawataki purukushani nyingi na misongamano ya Usaili.

Hizo kampuni zinaajiri hao kama ni mtoto wa mkulima ila kama una baba yako una second class yako unaingia vizuri tu

Tuna marafiki wapo wanafanya kazi huko, mmoja nilimaliza nae Advance yupo Delloite, Alipata div 2 chuo akapata Second Upper,

Note: Sijaandika kuunga mkono kwamba eti hutakiwi kifaulu NO.
 
Hujui hata big 4. Kweli wewe ni wale average ama C student .

Big 4 ni multinationals consultant firms.

Kuna KPMG, PWC, EY, na Delloite.

Hizi kampuni huwa zinaajiri wanafunzi waliofanya vizuri kutoka kwenye Top Universities kila nchi.

Mfano Tanzania huwa wanaajiri wanafunzi waliofanya vizuri wa udsm, udom , mzumbe, sua etc

Kila mwaka huwa zinaajiri new graduates

Mfano hao hapo madogo best students wa udsm kwenye picha. Wote wawili wameshaajiriwa PWC baada tu ya kuhitimu chuo
Kwa hio madogo waliosoma civil UDSM,waliosoma Nursing Udom,ama Chinese language na kupata first class na ma A kama yote kumbe wanaajiriwaga big 4?
Halafu hio big 4 noma yenyewe hata GPA za 5 ziwe 200 UDOM na UDSM kumbe huwaajiri wote tu,anhaa big 4 haina maximum number ya employees.......sawa sawa wazee wa first class na big 4
 
Ni kweli elimu yetu haikizi tutatua changamoto za leo.
Sijui hii ya kuishia darasa la 6 tumewekewa nini humo.
Mm nna swali mkuu kwani elim ya msingi lengo lake nn?
(Jibu langu ni kkk,) sasa kwa jibu hili nawaza kitu kingine kuna ulazima gani kupoteza miaka saba ili mtu ajue izo k3 miaka minne tu inatosha sana kama ukiwaanzia mapema na kupunguza mafundisho yasiyo na maana

Rejea majira ya nukta, mche mduara na hesabu za umri wa daudi na mjomba wake.
 
Acha kusema kila nchi ndugu, Kwa nchi zetu wanataka hao kwakua hawataki purukushani nyingi na misongamano ya Usaili.

Hizo kampuni zinaajiri hao kama ni mtoto wa mkulima ila kama una baba yako una second class yako unaingia vizuri tu

Tuna marafiki wapo wanafanya kazi huko, mmoja nilimaliza nae Advance yupo Delloite, Alipata div 2 chuo akapata Second Upper,

Note: Sijaandika kuunga mkono kwamba eti hutakiwi kifaulu NO.

Hakuna sehemu imeandikwa utakiwi kufaulu bali ufaulu wako inabidi uwe na kitu cha ziada.
Usijibweteke ukidhani A pekee itakutoa ulipo.
A haifanyi kazi bali Ubunifu, Maarifa na Nidhamu ndivyo vitakupeleka mbali zaidi.
 
Hii Ni emotional pain trauma umebeba. So watu wasipate first class na A za hesabu ama unamaanishaje.
Inaonekana ulizitafuta ukazikosa so brain inatafuta namna ya kujifariji Ni sawa na wale waliofeli wanaongea kuwa Nina pesa elimu ya Nini.
Ni kawaida ama Ni nature ya brain kutafuta sababu za kuondokana na maumivu makali ama habari ambayo inaenda kinyume na inavyotaka.
So tujishushe tusipate A ama wani.
Ndio unadhani utakuwa vizuri mtaani. Kila mtu Ana kipaji chake ,wewe Kama uko mtaani vyema ndipo panapokufaa na huyo Kama amekuzidi shuleni usitake kuonekana kuwa hujapungukiwa na kitu kwa kumshusha huyo hapo.
Ndio wale akina msukuma anawaponda wasomi baadaye anaenda kununua elimu ili lile pengo lake la kutokuwa na elimu alizibe,Mana Anazo hela Ila ndani ya nafsi yake bado anateseka ana feel inadequacy,sense of mattering,yaani binadamu bana akifanikisha kitu yeye Ni mjanja akifanikisha mwingine amebahatisha.
Akichelewa binadamu Ni bahati mbaya Mara jam njiani akichelewa nguruwe Ni kawaida yake kuchelewa huyo akazoea.
Kasomeni cognitive dissonance inavyofanya tunafanya maamuzi ya self-service.

Ukishindwa maisha unatupia lawama serikali ama wazazi ama mtu yeyote Ila ungefanikisha unajisifu kuwa mie Ni mjanja nimepigana bila ya kushikwa mkono,sijasoma,yaani nimetoka kwetu masikini nimetoboa. Watu Wana tafuta attention Mana hawakuipata,Wana maumivu ya kukosa vitu tokea udogoni, nyumbani,shuleni na huko mtaani so akifanikisha anakuwa anapooza Yale maumivu yake,Kama Kuna jirani walikuwa wanaishi maisha mazuri Basi wao hawana ndio hapo hapo akifanikisha maisha anamalizia ama anapoozea maumivu yake

Na ukishindwa kujibu hoja na kubeza mtu husiemjua mtandao hapo BRAIN yako inakuwa inafanya kitu gani???
 
Hakuna sehemu imeandikwa utakiwi kufaulu bali ufaulu wako inabidi uwe na kitu cha ziada.
Usijibweteke ukidhani A pekee itakutoa ulipo.
A haifanyi kazi bali Ubunifu, Maarifa na Nidhamu ndivyo vitakupeleka mbali zaidi.

Kiti cha ziada ni kipi bongo wewe

Wengi hawapati nafasi ikiwapo Lugha ni tatizo, hakuna mtu mwenye kitu cha ziada bwana,

Wenye kitu cha ziada sio hao
 
Hujui hata big 4. Kweli wewe ni wale average ama C student .

Big 4 ni multinationals consultant firms.

Kuna KPMG, PWC, EY, na Delloite.

Hizi kampuni huwa zinaajiri wanafunzi waliofanya vizuri kutoka kwenye Top Universities kila nchi.

Mfano Tanzania huwa wanaajiri wanafunzi waliofanya vizuri wa udsm, udom , mzumbe, sua etc

Kila mwaka huwa zinaajiri new graduates

Mfano hao hapo madogo best students wa udsm kwenye picha. Wote wawili wameshaajiriwa PWC baada tu ya kuhitimu chuo
Kwahiyo hizo Big 4 ndiyo kampuni zinazolipa vizuri kuliko sehemu yoyote Tanzania?
 
Mtu aliye jaaliwa IQ kubwa anatakiwa aitumie akili yake kufanya uvumbuzi wa maswala yanayo inufaisha jamii yake
Ngoja nitoe andiko moja.

Kutoka 31:2
Angalia, nimemwita kwa jina lake Bezaleli mwana wa Uri, mwana wa Huri, wa kabila ya Yuda;

3 nami nimemjaza roho ya Mungu, katika hekima, na maarifa, na ujuzi, na mambo ya kazi ya kila aina,

4 ili abuni kazi za ustadi, kuwa fundi wa dhahabu, na wa fedha, na wa shaba,

5 na kukata vito kwa kutiwa mahali, na kuchora miti, na kufanya kazi ya ustadi iwayo yote.

Natoa mfano wa Mtoto wa Mchungaji Fernandes aliyegundua kampuni ya NALA.

Wote waliogundua Umeme, Formular, Theory mbalimbali NK.

Walikuwa wenye IQ kubwa na Mungu huwatoa ili kukomboa jamii husika na swala fulani.

Mtu huyo hutakiwi kabisa kuajiriwa bali kutoa ajira.
Mabilionea wengi wa dunia ni watu wenye IQ kubwa ndio maana wengi wao sio Maprofesa, na huenda hawakumaliza Degree zao za kwanza au pili.

Msomi mwenye IQ kubwa kuishia kufurahia kupata mshahara mkubwa ni Hasara kwake na kwa Taifa.
 
Leo tuangazie wasongo.

Unaweza kuwa kumefaulu vizuri na unaweza kuwa ni bora masomoni. Lakini unapokuja mtaani watu hawataki kuona vyeti bali wanataka wasikie kitu tofauti ulichonacho ukifananisha na pengine wanavyovijua au vya wenzako ambao mupo pamoja kwenye interview (usahili)

Wengine ushangaa kuna wale ambao darasani walikuwa midiocre (vilaza) lakini kila interview wakienda upata kazi, ili sio suala la kupendelewa au sijui ana ndugu bali ni kitazamo wa fikra.

Kuna watu wanaajiriwa pasipo kuulizwa vyeti, yaani professional resume (wasifu wako wa kitaaluma) pekee unatosha kukupa kazi.

Phrase ya SO WHAT? Ni namna unavyotakiwa kueleza mafanikio yako ya kishule unayashabihiaha vipi na kitu watu wanafanya au wanataka.

Yaani umefaulu Computer science na first class sasa tuambie kwenye mfumo huu wa biashara ama kwa biashara yetu ama kwa wateja wetu taaluma uliyonayo utakuja na njia gani mbadala ya kuwezesha ubora wa biashara.

Namna yote utakavyo jinasibu inabidi isharabu kwa nafasi au majukumu unayotarajia kuyaganya kwenye fursa iliyoko mbele yako.

Kwa hivyo basi tumia muda mwingi kujigenga kwenye business environment yaani namna gani biashara inafanywa, mapungufu yalipo kisha buni jinsi utakavyoweza kutatua changamoto zilizopo au zitakazo kuja.

Kwa kujenga fikra za namna hii basi Muhitimu au mtafuta fursa utakuwa katika nafasi nzuri ya kupata nafasi.

TUZIDI KUTAFAKARI ZAIDI


Hakuna cha kutafakari, umeandika ujinga, kupata first class na A ni jambo jema,
 
Naona vilaza mliofeli darasani mnafarijika sana mnapoona sie tuliokua tunawaongoza kitaaluma shuleni tunapofeli maisha.

Kusoma sana na kufaulu kuna umuhimu wake. Usiache kumkazania mwanao akawa best in academics maana the future will be very bright kwake despite of some minor corrugations on the way!!!
 
Back
Top Bottom