Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

Wengine ni moto wa kiberiti tu , walokole tu ndio tutaingia mbinguni , hakuna kula wala kunywa ila ni harusi tu moja ya mwana kondoo 🤔

Zingatia neno harusi halafu hakula kunywa wala kula.
Ufunuo 19:9
“Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo.

Halafu soma

“Ufalme wa Mungu si kula wala kunywa…” (Warumi 14:17)”

Tumwamini yohana au Paulo?
 
Ufunuo 19:9
“Heri wale walioalikwa kwenye karamu ya arusi ya Mwanakondoo.

Halafu soma

“Ufalme wa Mungu si kula wala kunywa…” (Warumi 14:17)”

Tumwamini yohana au Paulo?
Kwahiyo Ufalme wa MUNGU si kula wala kunywa maana yake kwenye Ufalme wa MUNGU hakuna kula wala kunywa?

Mna nia mbaya ndomana mtaishia kuona maruweruwe tu kwenye Biblia.
 
Acha uzinzi kijana!
Kwanza mimi ni mtu mzima nipe heshima yangu na pili kama ikakuwa nimekabidhiwa wake 72 huo si uzinzi bali itakuwa natimiza majukumu kama mume kuhakikisha nawapa haki yao ya ub*oo kama wake zangu halali.
Nitakuwa daily napewa utelezi kutwa mara tano kama swalat mpaka nipate sigda ya ub*oo.
 
Maana yake umealikwa ila hakuna kula Demi
Karamu (sherehe ) yoyote Ile lazima mazaga zaga yawepo wasi wasi wangu hakutakuwa na nyumba za kulala wageni Hilo tu ndo linaweza kosekana kwenye karamu hiyo.

Yesu anasema Hivi.
"Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu hii, hata siku ile nitakapokunywa nanyi mpya katika ufalme wa Baba yangu."
Uzuri sisi wakatoliki ni uhakika

Hii ni wazi wine si kitu Cha kuuliza huko kwenye karamu
 
Maana yake umealikwa ila hakuna kula Demi
Karamu (sherehe ) yoyote Ile lazima mazaga zaga yawepo wasi wasi wangu hakutakuwa na nyumba za kulala wageni Hilo tu ndo linaweza kosekana kwenye karamu hiyo.

Yesu anasema Hivi.
"Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu hii, hata siku ile nitakapokunywa nanyi mpya katika ufalme wa Baba yangu."
Uzuri sisi wakatoliki
 
Karamu (sherehe ) yoyote Ile lazima mazaga zaga yawepo wasi wasi wangu hakutakuwa na nyumba za kulala wageni Hilo tu ndo linaweza kosekana kwenye karamu hiyo.

Yesu anasema Hivi.
"Nawaambieni, sitakunywa tena divai ya zabibu hii, hata siku ile nitakapokunywa nanyi mpya katika ufalme wa Baba yangu."
Uzuri sisi wakatoliki ni uhakika

Hii ni wazi wine si kitu Cha kuuliza huko kwenye karamu
Watakuambia chakula cha kiroho, neno "kiroho " liliundwa kimkakati sana.
 
Ufunuo wa Yohana 20:15 (Biblia Takatifu) Na iwapo mtu ye yote hakuonekana ameandikwa katika kitabu cha uzima, alitupwa katika lile ziwa la moto.

Neno mtu maana yake atakuwa mtu mzima mzima pia Paulo katika barua yake kwa wathesolonike alisema hili.
Sidhani kama ni kweli.
 
Motoni pia tutapewa?
Uhakika mkuu tutapewa miili mipya ya kustahimili moto wa milele 🤣
Maana wanasema tutachomwa moto milele bila kuungua, maana yake tutapewa miili mipya inayostahimili moto? Fireproof?
Kwa sababu miili yetu ya Sasa ukichomwa moto unaungua na kuwa majivu, Sasa huko Jehanam tunaambiwa unachomwa milele bila mwili kuisha 🤣
Infropreneur
Naomba ufafanuzi kidogo
 
Uhakika mkuu tutapewa miili mipya ya kustahimili moto wa milele 🤣
Maana wanasema tutachomwa moto milele bila kuungua, maana yake tutapewa miili mipya inayostahimili moto? Fireproof?
Kwa sababu miili yetu ya Sasa ukichomwa moto unaungua na kuwa majivu, Sasa huko Jehanam tunaambiwa unachomwa milele bila mwili kuisha 🤣
Infropreneur
Naomba ufafanuzi kidogo
Basi kumbe ni raha mustarehe. Tunatembea katikati ya moto na hatuungui. Kwa kuwa jinsia zote zotakuwepo basi tutangonoka haswa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom