Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

Sawa Mungu akatuchoma moto wa Milele. Je ninyi watakatifu mtakao Baki mtakuwa na furaha Gani wapendwa wenu wakiwa wanachomwa moto wa Milele??

Kusifu na kuabudu. Life itakuwa boring kinoma. Afadhali hata kule upande qa pili kutaluwa na mabikira ya kuzagamua na miito ya pombe
Kuomba na kuabudu kila siku? Hiyo inachosha na kunakuwa boring sana, huko hakufai hata kidogo. Pande zile za kungonoka mwanzo mwisho na ulabu wa kujichotea tu yaani full kulewa asubuhi mpaka asubuhi, hizo bikra ukishazibandua ndiyo nao wanageuka mashangazi au zinarudi tena kuwa sealed? Wengine tunataka wale experienced mpelekeane moto kisawasawa hao bikra wao wasinipe mimi kabisa.
 
Kuomba na kuabudu kila siku? Hiyo inachosha na kunakuwa boring sana, huko hakufai hata kidogo. Pande zile za kungonoka mwanzo mwisho na ulabu wa kujichotea tu yaani full kulewa asubuhi mpaka asubuhi, hizo bikra ukishazibandua ndiyo nao wanageuka mashangazi au zinarudi tena kuwa sealed? Wengine tunataka wale experienced mpelekeane moto kisawasawa hao bikra wao wasinipe mimi kabisa.
Mwanaume wa kwanza kusikia hutaki bikra😅😅
 
😄😄😄
Hivi huko peponi tutatengwa kimadhehebu ama itakuaje. Nawaza sana sipati jibu...
Maana unakuta dhehebu flani linasema jambo flani ni dhambi lingine linasema sio dhambi. Yaani kuna mchanganyiko wa ajabu...
Au kila dhehebu lina Mungu wake na pepo yake?
 
Mods Uzi huu uachwe ujitegemee tafadhari.🫷

Awali ya yote Mimi mpango wa kwenda mbinguni ni kama haupo maana kila nikipiga tathimini Bado najiona Sina sifa hizo
Kwanza Zaka sitoi,sadaka nishakataa kuipeleka kanisani.

Ukija namna ya kuishi napo Bado na pwaya maana uko zako unawaza kuchuma nyanya zako mara mdada kaumbika anapita mbele yako Tyr hapo natamani (naingia dhambini) so kwa kifupi yapo mengi na mengi ambayo nikijifanyia tathimini najiona Bado sitatoboa kuingia yerusalemu mpya.

Sasa mtuambie ninyi watakatifu mtakao Uingia mji ule!.......

Ikiwa tu hapa Duniani tunapopoteza wapendwa wetu huwa tunakuwa na msongo wa mawazo wengine huzimia na wengine hujihisi upweke usio Isha.


Wengine Bado hadi Leo hawajapona mioyo Yao baada kuondokewa Baba,mama ndg na jamaa zao

Vipi wewe mtakatifu wa Bwana utakuwa na furaha Gani iwapo familia yako yote itachomwa moto ?

Mke/mme na watoto pamoja na wazazi wako wadogo zako na wakubwa zote wamechomwa moto utakuwa na furaha Gani?

Kama mtaishi kwa raha huku watoto wenu wanachomwa moto huko jehanamu sasa sijui akili yenu itakuwaje vile.

View attachment 3541708
Ulikuwa kitu ya maana mana umewaza saana
 
Hivi huko peponi tutatengwa kimadhehebu ama itakuaje. Nawaza sana sipati jibu...
Maana unakuta dhehebu flani linasema jambo flani ni dhambi lingine linasema sio dhambi. Yaani kuna mchanganyiko wa ajabu...
Au kila dhehebu lina Mungu wake na pepo yake?
Wengine ni moto wa kiberiti tu , walokole tu ndio tutaingia mbinguni , hakuna kula wala kunywa ila ni harusi tu moja ya mwana kondoo 🤔

Zingatia neno harusi halafu hakula kunywa wala kula.
 
Wengine ni moto wa kiberiti tu , walokole tu ndio tutaingia mbinguni , hakuna kula wala kunywa ila ni harusi tu moja ya mwana kondoo 🤔

Zingatia neno harusi halafu hakula kunywa wala kula.
Harusi gani haina msosi wala kinywaji?
 
Mwanaume wa kwanza kusikia hutaki bikra😅😅
Zinakera, ukiishindilia anakung'ata huku anabana mapaja eti umhurumie anaumia. Wamenisumbua sana huwa hata sisikii raha yao, hata wale wasio bikra lakini wachovu na walalamishi ambao hawataki upeleke moto kadri mzuka ulivyopanda huwa siwataki kabisa. Game huwa ina variations, smooth and slow then kuna rough and fast na mwanamke lazima awe tayari kwa zote. Bikra hayo hawezi kabisa kuyahimili na mijanamke mingine ni experienced ila mivivu, likishakojoa lenyewe linataka uliache na ndiyo unakuwa mwisho show, hii haswa iko kwa mabonge japo wapo mabonge 'fizikalikiti'(physically fit) ambao wakikuamulia mwenyewe utaomba maji ya kunywa katikati ya mchezo.
 
Ulikuwa kitu ya maana mana umewaza saana
IMG_20260210_131144.jpg

Kala herb iliyokomaa.
 
Dhambi karibu zote ninajitahidi kizikwepa ila hii ya kusema ukimtazama mwanamke kwa matamanio ni sawa na kuzini naye tayari imenipeleka motoni. Hii dhambi HAIKWEPEKI KWA RIJALI YEYOTE.
 
Zinakera, ukiishindilia anakung'ata huku anabana mapaja eti umhurumie anaumia. Wamenisumbua sana huwa hata sisikii raha yao, hata wale wasio bikra lakini wachovu na walalamishi ambao hawataki upeleke moto kadri mzuka ulivyopanda huwa siwataki kabisa. Game huwa ina variations, smooth and slow then kuna rough and fast na mwanamke lazima awe tayari kwa zote. Bikra hayo hawezi kabisa kuyahimili na mijanamke mingine ni experienced ila mivivu, likishakojoa lenyewe linataka uliache na ndiyo unakuwa mwisho show, hii haswa iko kwa mabonge japo wapo mabonge 'fizikalikiti'(physically fit) ambao wakikuamulia mwenyewe utaomba maji ya kunywa katikati ya mchezo.
Loh nimecheka😀
 
Mungu hawezi kumchoma moto milele mtu ambaye katenda dhambi kwa miaka 70 au 80 tu.
 
Mungu ni wetu sote, wenye haki na wasio haki. Kutoa sadaka kanisani si kigezo cha kwenda mbinguni, wala kushiriki ibada kila siku si tiketi ya kupokea uzima wa milele. Neno la mungu linatumbia kwamba sote tutaokolewa kwa imani si matendo. Unapoishi pasipo roho wa Mungu ni vigumu kwako kuenenda katika haki. Wala amri zake si mzigo mzito, ni kumkiri na kumpokea yeye moyoni mwako kwa imani utayashinda yote katika ulimwengu.
NAKAZIA "ni kumkiri na kumpokea Yeye (Yesu Kristo) moyoni mwako kwa imani utayashinda yote katika ulimwengu".
 
Dhambi karibu zote ninajitahidi kizikwepa ila hii ya kusema ukimtazama mwanamke kwa matamanio ni sawa na kuzini naye tayari imenipeleka motoni. Hii dhambi HAIKWEPEKI KWA RIJALI YEYOTE.
Kamwe mtu hawezi dhibiti hicho kinachoitwa dhambi kama hawezi dhibiti ego ambayo ni asili kabisa ya binadamu
 
Kuomba na kuabudu kila siku? Hiyo inachosha na kunakuwa boring sana, huko hakufai hata kidogo. Pande zile za kungonoka mwanzo mwisho na ulabu wa kujichotea tu yaani full kulewa asubuhi mpaka asubuhi, hizo bikra ukishazibandua ndiyo nao wanageuka mashangazi au zinarudi tena kuwa sealed? Wengine tunataka wale experienced mpelekeane moto kisawasawa hao bikra wao wasinipe mimi kabisa.
Acha uzinzi kijana!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom