Sawa huenda Hayati Magufuli alikuwa fisadi, Je hizo pesa zilitoka wapi?

Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???


Pesa zimetoka hapo

1. Kutaifisha pesa za wafanyabiashara kwenye banks zetu
2. Kutaifisha pesa za maduka ya kubadilisha pesa
3. Kukopa mikopo mingi tena yenye riba kubwa na kuweka historia ya deni la taifa
 
Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Unataka kujua fedha alitoa wapi au unajua lakin unajitia uzuzu?
*Ndo rais anaongoza kukopa matrillion kuliko rais yoyote aliyewahi kutawala. Ndani ya miaka 5 tu amekopa zaidi ya trillion 26
*Ndo rais anaongoza kwa dhulma - matajiri wote amekwapua fedha zao kwa nguvu bank. Sio matajiri tu hadi watu wa kawaida, kama una milioni zako 15 zimeingizwa bank, utapewa misukosuko mpaka uzisamehe.
 
Kwa mujibu wa HADITHI zenu za karibuni ni kwamba JPM alikuwa bonge la kiongozi FISADIA katika hii nchi haijawahi kutokea ,

yaani kwa hesabu za haraka haraka ndani ya utawala wake wa miaka 6,ameiba zaidi ya 7trillion za kitanzania

Sawa,yafuayato yote ni kwa mujibu wenu nyinyi wenyewe tangu JPM akiwa hai

Katika kipindi cha utawala wake UCHUMI wa nchi ulikufa kabisa kutokana na sera zake mbovu na CHUKI zake kwa MATAJIRI,hali iliyopelekea wawekezaji kuondoka na kufunga viwanda vyao

Wawekezaji wapya waliogopa kuja nchini kutokana na utawala wake wa kidikteta

Aliharibu ama kuuwa kabisa sekta binafsi nchini hivyo kupelekea nchi kuwa na mzunguko mdogo wa kifedha mtaani,yaani hali ilikuwa mbaya

Alikuwa akipika takwimu kuonyesha uchumi unakuwa ili hali uchumi ulikuwa hoi bin taaban

Maduka makubwa kariakoo na karibu nchi nzima yalikuwa yakifungwa, na ndio sababu

Alikuwa akipika takwimu za makusanyo kila mwezi kwa kushirikiana na TRA ili hali makusanyo yalikuwa haba kabisa

Alitengwa na jamii za kimataifa na kunyimwa misaada kutokana na kuminya demokrasia nchini

Alikuwa akilipa madeni kimya kimya kutokana na amri za mahakama za kimataifa baada ya kukurupuka kuvunja mikataba ya kampuni mbali mbali

Aliua kabisa bandari ya Dar kiasi kulikuwa hakuna kabisa meli zilizokuwa zinakuja hapo bandarini(wafanyabiashara walikimbilia bandari za Mombasa,Msumbiji na DURBAN)

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Kununua ndege kwa cash

Kununua wapinzani

Kuhamishia serikali Dodoma

Kujenga bwawa la Nyerere

Kujenga SGR

Kujenga daraja la Busisi(kuwafurahisha wakwe)

Kujenga airport ya chato (international?)

Na mambo mengine kibao kama kujenga barabara,hospitali,madaraja,kukarabati viwanja vya ndege nk nk( tunataka maendeleo ya watu na sio vitu ....mnakumbuka?)

Sasa swali langu kwenu WAUNGWANA, kutokana na hayo yote hapo juu mliyokuwa mkituambia (msidhani tumesahau)

Je hayo matrillions aliyofisadi JPM yalikuwa yanatokea wapi..???
Jibu liko hapa chini kutoka andiko:

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Alikuwa anakopa heavily. Na baada ya kunyimwa bilateral loans akakopa at commercial rates. Yawezekana Ufisadi unatokea mara mbili. Kwa kuwa mikopo ilikuwa Siri yake angeweza kukopa mfano USD 20 kwa ajili ya mradi x anaodai unacost USD 15. USD 5 zimetoweka hapo. Halafu mradi uko inflated. Badala ya kukosti USD 15 unakosti USD 8 USD 7 zimepotea apo. Jumla ya ufisadi ni USD 12 apo.

 
Pesa zimetoka hapo

1. Kutaifisha pesa za wafanyabiashara kwenye banks zetu
2. Kutaifisha pesa za maduka ya kubadilisha pesa
3. Kukopa mikopo mingi tena yenye riba kubwa na kuweka historia ya deni la taifa



Naomba unitajie wafanyabiashara wasiopungua 10 ambao JPM alitaifisha pesa zao,bila kusahau kua
mbatanisha na kiasi cha pesa kilichotaifishwa na sababu za kufanyiwa hivyo kwa kila mmoja

Hiyo mikopo mingi ndio mliyosema kwamba alitumia kwenye miradi aliyokuwa ameianzisha,au pesa za kuendesha hiyo miradi alizitoa wapi ikiwa hiyo mikopo aliweka mfukoni kwake?


Vile vile ikikupendeza tutajia na kiasi cha mikopo alichokopa ndani ya miaka yake sita na vile kiasi kilichotumika kwenye miradi yote ndani ya hiyo miaka sita,ili tuweze kujua alichikichia kiasi gani mifukoni kwake!!
 
Utakuwa unaliwa si bure; JK alifanya nini kwenye miaka hiyo 10?

IMG_2971zg.jpg
 
Jibu liko hapa chini kutoka andiko:

Alikuwa anakopa sana mikopo isiyo rafiki kwa nchi ili

Alikuwa anakopa heavily. Na baada ya kunyimwa bilateral loans akakopa at commercial rates. Yawezekana Ufisadi unatokea mara mbili. Kwa kuwa mikopo ilikuwa Siri yake angeweza kukopa mfano USD 20 kwa ajili ya mradi x anaodai unacost USD 15. USD 5 zimetoweka hapo. Halafu mradi uko inflated. Badala ya kukosti USD 15 unakosti USD 8 USD 7 zimepotea apo. Jumla ya ufisadi ni USD 12 apo.




Kwanini msifanye mpango CAG ama serikali ya mama wakaweka wazi kila mkopo aliochukua JPM,then waweke wazi vile vile kiasi ambacho kilitumika kwa kila mradi kwenye miradi yote chini ya uongozi wake?

Ili tuongee tukiwa na data kamili badala ya HISIA kama unavyofanya sasa!!
 
Unataka kujua fedha alitoa wapi au unajua lakin unajitia uzuzu?
*Ndo rais anaongoza kukopa matrillion kuliko rais yoyote aliyewahi kutawala. Ndani ya miaka 5 tu amekopa zaidi ya trillion 26
*Ndo rais anaongoza kwa dhulma - matajiri wote amekwapua fedha zao kwa nguvu bank. Sio matajiri tu hadi watu wa kawaida, kama una milioni zako 15 zimeingizwa bank, utapewa misukosuko mpaka uzisamehe.



Weka mchanganuo hapa wa kiasi alichokopa na alichopora toka kwa kila mtu,then tuambie ni kiasi gani vile vile kilitumika kwenye miradi yote,ukishafanya hivyo itakuwa rahisi sana kwa kila mtu kujua kama jamaa kweli alikuwa FISADI
 
Naomba unitajie wafanyabiashara wasiopungua 10 ambao JPM alitaifisha pesa zao,bila kusahau kua
mbatanisha na kiasi cha pesa kilichotaifishwa na sababu za kufanyiwa hivyo kwa kila mmoja

Hiyo mikopo mingi ndio mliyosema kwamba alitumia kwenye miradi aliyokuwa ameianzisha,au pesa za kuendesha hiyo miradi alizitoa wapi ikiwa hiyo mikopo aliweka mfukoni kwake?


Vile vile ikikupendeza tutajia na kiasi cha mikopo alichokopa ndani ya miaka yake sita na vile kiasi kilichotumika kwenye miradi yote ndani ya hiyo miaka sita,ili tuweze kujua alichikichia kiasi gani mifukoni kwake!!
Umewashinda kwa hoja wamebaki kukutukana tu wakibwatuka hovyo kama ngiri.

Agiza kinywaji bariiidi nakuja kukulipia maana huu uzi ni bora tangu Hayati JPM afariki dunia.

Mwiba mchungu sana huu kwa kile kikundi cha kuchafua legacy ya JPM
 
Naomba unitajie wafanyabiashara wasiopungua 10 ambao JPM alitaifisha pesa zao,bila kusahau kua
mbatanisha na kiasi cha pesa kilichotaifishwa na sababu za kufanyiwa hivyo kwa kila mmoja

Hiyo mikopo mingi ndio mliyosema kwamba alitumia kwenye miradi aliyokuwa ameianzisha,au pesa za kuendesha hiyo miradi alizitoa wapi ikiwa hiyo mikopo aliweka mfukoni kwake?


Vile vile ikikupendeza tutajia na kiasi cha mikopo alichokopa ndani ya miaka yake sita na vile kiasi kilichotumika kwenye miradi yote ndani ya hiyo miaka sita,ili tuweze kujua alichikichia kiasi gani mifukoni kwake!!


Nenda kariakoo au uliza wizara ya fedha hutaweza kuwafahamu mimi binafsi nina marafiki zaidi ya wanne
 
Huyo Kibwengo alikuwa GWIJI la MIKOPO mikubwa ya KIBIASHARA.


Maana kwa Wazungu alikuwa hapati pesa.

Sasa hivi Rais Samia anafanya kazi ya kuchukua mikopo nafuu kutoka kwa Wazungu ili alipe Mikopo ya KIJUHA aliyokopa Magu.
Hizo pesa zilikopwa kutoka nchi gani au taasisi ipi?
 
Back
Top Bottom