christelly
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,464
- 1,463
Watu wenye akili za kushikiwa kama wewe na wenzako mtapeana likes za kutosha....wale sio Uhuru FM ..hawa ni watu professional ktk tasinia ya habari ..facts tupu zilizofanyiwa research kama hampendi kusikiliza facts endeleeni kusikiliza Uhuru na TBC FM ili msikwazike.DW wana ajenda gani na Tanzania? Kwa zaidi ya miaka mitatu sasa hii Radio ya Ujerumani haina zuri la kusema kuhusu Tanzania. Inajulikana msemaji wa Lowassa Abubakar Liongo alikuwa anafanya kazi huko inaelekea bado mkakati bado unafanya kazi. Tuwatakie kila la heri.
Jinga sana majitu kama ninyi..