Sauti kutoka Butiama: Haya ni "kansa" kwa Taifa letu, Mkiziba masikio, tunagota!

Katafute kazi upate ela ya kula sio kulia lia vitu vumepanda bei

Sasa ukipata kazi huo mshahara utakufikisha wapi na huu mfumuko wa bei? Au huelewi athari za mfumuko wa bei kuwa unapunguza thamani ya pesa kwani kwa sababu ya bei kupanda unapata bidhaa chache kuliko kabla ya bei kupanda!!
 
Sasa ukipata kazi huo mshahara utakufikisha wapi na huu mfumuko wa bei? Au huelewi athari za mfumuko wa bei kuwa unapunguza thamani ya pesa kwani kwa sababu ya bei kupanda unapata bidhaa chache kuliko kabla ya bei kupanda!!
Ndugu waTz wengine wana kejeli sana, Mimi naandika hoja. Yeye anasema nitafute hela ya kula, niache kulalamika bei juu. Inashangaza sana.
 
Nchi nyingi zimepita njia hiyo.
Kwa level za kiburi cha hawa watawala wetu weusi hatuwezi kuikwepa!
Na tukiikwepa itatusumbua as we go...!
Ni njia mbaya sana. Hasa ktk karne ya 21.
Mazonge yake hayaishi.
Misri, Sudan, Uganda, Rwanda, Guinea, Mali, Togo, n.k zote hazijatulia..
 
Ndugu waTz wengine wana kejeli sana, Mimi naandika hoja. Yeye anasema nitafute hela ya kula, niache kulalamika bei juu. Inashangaza sana.
Watawala ndio wanawapenda watu wa namna hiyo; wapumbavu!!!
 
..ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.
Tatizo kubwa lipo hapo..
Watu woote wanatakiwa kuwa na mawazo ya aina moja, akili mgando!
 
Back
Top Bottom