Sauti kutoka Butiama: Haya ni "kansa" kwa Taifa letu, Mkiziba masikio, tunagota!

CWR2016

JF-Expert Member
Dec 14, 2017
2,760
6,294
Habari wana JF,

Tumeacha njia, tupo ukingoni.
Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote!

Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu.

Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a.

Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna Taifa letu kwa sasa:

1. CCM hawawezi kutofautisha Chama na Serikali.

Hili limekita mizizi, na sasa limefika pabaya sana,
Wapo watakaobisha, lakini nawaambieni, Taifa linaangamizwa na huu ujinga.
Serikali ni Kwa ajili ya Taifa, lakini eleweni CCM sio kwa ajili ya Taifa!

Watu wanapenyeza mambo yao binafsi ndani ya CCM, halafu wanataka hayo hayo mambo yao ndio yapenyezwe ktk Taifa. Haiwezekani! Mnaua Taifa Kwa Tamaa zenu.

Mfano; ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.

Saivi mmekusanya wafanyabiashara wanajilipa walivyopoteza wakati wa Jiwe, Kwa gharama za wananchi?! Eti bei zimepanda hata katika soko la Dunia?! Justification ya Kijinga kabisa.
Mmewafanya Watanzania majuha!
Na yupo mfanyabiashara, ifikapo 2025 atafunga biashara/na kubadili jina, ataondoka Tanzania.
Sasa hivi anavuna Kwa kasi ya ajabu.
Watu wanaumiza sana Watanzania!

Wazee wote mmeufyata, mmetulia tu kisa nyie mnakula pensheni.

Serikalini mmejaa maigizo, huku wananchi wako hoi wanavuja damu!

Ninajisikia hasira sana ..

Nitaendelea kuandika, .......
 
Tanzania haijawahi kuwa Taifa.
Mpaka sasa ni nchi yenye haraka kuelekea kuwa dola.
Hayo mambo uliyotaja kama kansa pamoja na mengine ambayo hujataja hayana budi kutokea.
Ili tufikie Utaifa ni lazima kwanza mifumo ya ovyo ya nchi itikisike. Tufikie hatua ya kujiendesha kama dola (kijeshi jeshi). Madhara ya kujiendesha kidola yatasababisha kila mwananchi apaze sauti kushinikiza maridhiano na UTAIFA.
 
Unaizungumzia nchi bora iitwayo Tanzania yenye vigezo vingi bora kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki ?!!!!


Siempre JMT🙏
 
Inaelekea kuna wengine hawamuelewi mbiyu yake!! Anasema mnajifanya vipofu na viziwi wakati wananchi wanaumia na mfumuko wa bei unaowanufaisha wachache!! Eti mnasingizia kuwa mfumuko huu wa bei unatokana na ongezeko la bei kwenye masoko ya dunia!! Mahindi na mchele tunalima wenyewe lakini bei zake linapaa kwa walaji huku wafanyabiashara wakinufaika.
Hii Ndio anayoiita JUSTIFICATION YA KIJINGA KUPATA KUTOKA MNDOMONI MWA BINADAMU!!!
 
Tanzania haijawahi kuwa Taifa.
Mpaka sasa ni nchi yenye haraka kuelekea kuwa dola.
Hayo mambo uliyotaja kama kansa pamoja na mengine ambayo hujataja hayana budi kutokea.
Ili tufikie Utaifa ni lazima kwanza mifumo ya ovyo ya nchi itikisike. Tufikie hatua ya kujiendesha kama dola (kijeshi jeshi). Madhara ya kujiendesha kidola yatasababisha kila mwananchi apaze sauti kushinikiza maridhiano na UTAIFA.
Tukijirekebisha tunaweza tusifike huko
 
Habari wana JF,

Tumeacha njia, tupo ukingoni.
Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote!

Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu.

Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a.

Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna Taifa letu kwa sasa:

1. CCM hawawezi kutofautisha Chama na Serikali.

Hili limekita mizizi, na sasa limefika pabaya sana,
Wapo watakaobisha, lakini nawaambieni, Taifa linaangamizwa na huu ujinga.
Serikali ni Kwa ajili ya Taifa, lakini eleweni CCM sio kwa ajili ya Taifa!

Watu wanapenyeza mambo yao binafsi ndani ya CCM, halafu wanataka hayo hayo mambo yao ndio yapenyezwe ktk Taifa. Haiwezekani! Mnaua Taifa Kwa Tamaa zenu.

Mfano; ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.

Saivi mmekusanya wafanyabiashara wanajilipa walivyopoteza wakati wa Jiwe, Kwa gharama za wananchi?! Eti bei zimepanda hata katika soko la Dunia?! Justification ya Kijinga kabisa.
Mmewafanya Watanzania majuha!
Na yupo mfanyabiashara, ifikapo 2025 atafunga biashara/na kubadili jina, ataondoka Tanzania.
Sasa hivi anavuna Kwa kasi ya ajabu.
Watu wanaumiza sana Watanzania!

Wazee wote mmeufyata, mmetulia tu kisa nyie mnakula pensheni.

Serikalini mmejaa maigizo, huku wananchi wako hoi wanavuja damu!

Ninajisikia hasira sana ..

Nitaendelea kuandika, .......
Katafute kazi upate ela ya kula sio kulia lia vitu vumepanda bei
 
Habari wana JF,

Tumeacha njia, tupo ukingoni.
Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote!

Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu.

Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a.

Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna Taifa letu kwa sasa:

1. CCM hawawezi kutofautisha Chama na Serikali.

Hili limekita mizizi, na sasa limefika pabaya sana,
Wapo watakaobisha, lakini nawaambieni, Taifa linaangamizwa na huu ujinga.
Serikali ni Kwa ajili ya Taifa, lakini eleweni CCM sio kwa ajili ya Taifa!

Watu wanapenyeza mambo yao binafsi ndani ya CCM, halafu wanataka hayo hayo mambo yao ndio yapenyezwe ktk Taifa. Haiwezekani! Mnaua Taifa Kwa Tamaa zenu.

Mfano; ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.

Saivi mmekusanya wafanyabiashara wanajilipa walivyopoteza wakati wa Jiwe, Kwa gharama za wananchi?! Eti bei zimepanda hata katika soko la Dunia?! Justification ya Kijinga kabisa.
Mmewafanya Watanzania majuha!
Na yupo mfanyabiashara, ifikapo 2025 atafunga biashara/na kubadili jina, ataondoka Tanzania.
Sasa hivi anavuna Kwa kasi ya ajabu.
Watu wanaumiza sana Watanzania!

Wazee wote mmeufyata, mmetulia tu kisa nyie mnakula pensheni.

Serikalini mmejaa maigizo, huku wananchi wako hoi wanavuja damu!

Ninajisikia hasira sana ..

Nitaendelea kuandika, .......
Ngoja tuone
 
Habari wana JF,

Tumeacha njia, tupo ukingoni.
Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote!

Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu.

Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a.

Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna Taifa letu kwa sasa:

1. CCM hawawezi kutofautisha Chama na Serikali.

Hili limekita mizizi, na sasa limefika pabaya sana,
Wapo watakaobisha, lakini nawaambieni, Taifa linaangamizwa na huu ujinga.
Serikali ni Kwa ajili ya Taifa, lakini eleweni CCM sio kwa ajili ya Taifa!

Watu wanapenyeza mambo yao binafsi ndani ya CCM, halafu wanataka hayo hayo mambo yao ndio yapenyezwe ktk Taifa. Haiwezekani! Mnaua Taifa Kwa Tamaa zenu.

Mfano; ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.

Saivi mmekusanya wafanyabiashara wanajilipa walivyopoteza wakati wa Jiwe, Kwa gharama za wananchi?! Eti bei zimepanda hata katika soko la Dunia?! Justification ya Kijinga kabisa.
Mmewafanya Watanzania majuha!
Na yupo mfanyabiashara, ifikapo 2025 atafunga biashara/na kubadili jina, ataondoka Tanzania.
Sasa hivi anavuna Kwa kasi ya ajabu.
Watu wanaumiza sana Watanzania!

Wazee wote mmeufyata, mmetulia tu kisa nyie mnakula pensheni.

Serikalini mmejaa maigizo, huku wananchi wako hoi wanavuja damu!

Ninajisikia hasira sana ..

Nitaendelea kuandika, .......
Yoooo! Iraka ryaruga Mwitongo!
 
Habari wana JF,

Tumeacha njia, tupo ukingoni.
Nchi ipo pabaya sana, Kwa viashiria vyote!

Hakuna mjadala, wala hakuna mwenye majibu.

Si UMOJA wetu, wala.......Si UZALENDO wetu......., vyote vimetikiswa nyang'anyang'a.

Kutoka hapa Mwitongo - Butiama, haya mambo ndio "KANSA" zinazolitafuna Taifa letu kwa sasa:

1. CCM hawawezi kutofautisha Chama na Serikali.

Hili limekita mizizi, na sasa limefika pabaya sana,
Wapo watakaobisha, lakini nawaambieni, Taifa linaangamizwa na huu ujinga.
Serikali ni Kwa ajili ya Taifa, lakini eleweni CCM sio kwa ajili ya Taifa!

Watu wanapenyeza mambo yao binafsi ndani ya CCM, halafu wanataka hayo hayo mambo yao ndio yapenyezwe ktk Taifa. Haiwezekani! Mnaua Taifa Kwa Tamaa zenu.

Mfano; ni mwana CCM gani anaweza kuikosoa serikali?! Hakuna..
Ukiikosoa serikali, au kauli ya Rais, unaonekana umeikosea CCM, unaitwa kwenye Kila kikao.
Watu hawaoni hili ni hatari. Inakuwaje maoni juu ya serikali ni kuikosea CCM.

Si mlisikia walisema eti Rais hakosei?! Na watu wakatulia tu.

Saivi mmekusanya wafanyabiashara wanajilipa walivyopoteza wakati wa Jiwe, Kwa gharama za wananchi?! Eti bei zimepanda hata katika soko la Dunia?! Justification ya Kijinga kabisa.
Mmewafanya Watanzania majuha!
Na yupo mfanyabiashara, ifikapo 2025 atafunga biashara/na kubadili jina, ataondoka Tanzania.
Sasa hivi anavuna Kwa kasi ya ajabu.
Watu wanaumiza sana Watanzania!

Wazee wote mmeufyata, mmetulia tu kisa nyie mnakula pensheni.

Serikalini mmejaa maigizo, huku wananchi wako hoi wanavuja damu!

Ninajisikia hasira sana ..

Nitaendelea kuandika, .......
Wale waliokuwa wapigaji sasa hivi ndio wenye sauti kwenye chama

Eti mtu kama Bulembo aliefilisi shule za wazazi nae anajipa uthubutu na kujitokeza kuongea kwa niaba ya chama.

Fisadi kama Diallo mkwepa kodi bingwa.
Nae anapata jeuri ya kujitokeza na kumtishia Spika Ndugai kwamba watamshughurikia kwenye chama.
Wakati hapo alipo yeye na taasisi zake amekuwa na mgogoro na TRA kwa ajili ya ukwepaji kodi.

Kila aliejitokeza ana kashfa yake.wale werevu wao wameendelea kupiga kimya maana hawajui mrejesho wa wananchi.

Na hawa kina Serukamba ni walewale waliingia uvunguni kipindi cha JPM na sasa,sasa ni kama Paka kaondoka na Panya wameota sharubu.
 
Wale waliokuwa wapigaji sasa hivi ndio wenye sauti kwenye chama

Eti mtu kama Bulembo aliefilisi shule za wazazi nae anajipa uthubutu na kujitokeza kuongea kwa niaba ya chama.

Fisadi kama Diallo mkwepa kodi bingwa.
Nae anapata jeuri ya kujitokeza na kumtishia Spika Ndugai kwamba watamshughurikia kwenye chama.
Wakati hapo alipo yeye na taasisi zake amekuwa na mgogoro na TRA kwa ajili ya ukwepaji kodi.

Kila aliejitokeza ana kashfa yake.wale werevu wao wameendelea kupiga kimya maana hawajui mrejesho wa wananchi.

Na hawa kina Serukamba ni walewale waliingia uvunguni kipindi cha JPM na sasa,sasa ni kama Paka kaondoka na Panya wameota sharubu.
Ni mapanya tu. Wapo wengi hawana UZALENDO huo eti kwamba wanawapenda waTz. Walishapewa nafasi wakaonesha ujinga wao.
 
Back
Top Bottom