SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT siyo Chuo salama kwa Wanafunzi

SAUT mtu anakuta ana sup na wakati somo hilo alikuwa na B+, alafu bahati mbaya ni somo la first year na ndio anajiandaa kufanya mahafali yake anaambiwa kuna somo anadaiwa mwaka juzi. Malipo nayo ndio hivyo.

Utashangaa wanafunzi wa SAUT ndio wanatunza makaratasi ya benki na wanaprint kila matokeo ya semester as if tuko karne ya 20. Information system yao mbovu mno, IT specialists tia maji tia maji
Shukrani sana mkuu kwa kuongeza jambo hili watu tukisema ukweli kuhusu lengo kubwa ni wajirekebishe ila kuna watu humu Mara ooh umekalia umalaya chuo,ooh unapenda mteremko Mara ooh huna akili una sup ila ukweli ndo huu tunao ongea hapa kuhusu SAUT Kuna shida kubwa Sana moja wapo ni kitengo Cha IT

Kuhusu risiti za malipo ni kweli lazima uziweka tupa ukisha maliza chuo yaani cheti kipo mkononi.SAUT mwanafunzi anatunza test,Quiz kuanzia First year mpka third year na muda wa kutupa ni pale cheti kipo mkononi maana ni rahisi kukuambia system imecheza Leta course work
 
SAUT hakuna migomo,ukitia mguu automatically akili zinapungua yaani kwa kifupi unabadilika unakua Msukule.Ila kuna mali pale .Wazee wa Nyamalango,Kwa Masha ,geti dogo na kubwa,ATM.Simu moja tu tukutane benki.
 
Mdogo wangu wakati yupo Diploma nilikuwa A level. Nikawa nampigia simu naongea na marafiki zake, haikupita miezi wakaanza kubeba mimba mmoja baada ya mwingine. Kuja kupewa habari kumbe mimba kwao ni kawaida sana na huwa wanapewa kama special treatment wakiwa wajawazito yani kuna kahuruma ka mama huwa wanapewa.

Chuo changu ukibeba mimba it is unpleasant na kufeli ni nje nje maana kasi itakushinda. Hata hivyo kuna stigma kwa wanaobeba mimba unless wawe wameolewa. Chuo wasio na mimba kabisa ni ATC kwanza pale girls wachache alafu wagumu
Watoto wa kike washa olewa uku na wazazi hawajui chochote
 
SAUT imeshuka Sana. Miaka ya nyuma Sana iliwahi kusa sita Bora ila Sasa ni Bora twende. Pale walipoamua kuwadharau wahadhiri na kuwafanya cheap labour ndipo chuo kiliposhuka.

Yani kumlipa mhadhiri gratuty anapomaliza mkataba wake ni shida. Malimbikizo ya mshahara ndio usiseme. Pale SAUT Tabora wahadhiri wanadai mpaka million 40 arreas na nnssf hakuna kitu kilichowekwa kwa miaka Tisa. Unategemea Nini? Mwalimu gani atajitolea kwa dharau hizo.
Ndio maana wahadhiri wengi kazi kutangaza open test lengo ni kuuza vitabu
 
Ni tatizo kwa kweli. Hichi chuo inabidi kibadilike la sivyo kitapotea. Nadhani Wana kiburi kutokana na wingi wa wanafunzi.
Kigogo14 aliwahi sema baadhi ya madudu ya SAUT ulikuwa ukweli 100% maana hoja zake zilipewa nguvu na wanafunzi wengi mpaka wahadhiri wakawa wanasema "Huwezi kata tawi ambalo umekaria" kwamba wanafunzi ndo wanachafua taswira ya chuo na muda huo ndo wanasoma hivyo kuwaomba waache.
 
SAUT hakuna migomo,ukitia mguu automatically akili zinapungua yaani kwa kifupi unabadilika unakua Msukule.Ila kuna mali pale .Wazee wa Nyamalango,Kwa Masha ,geti dogo na kubwa,ATM.Simu moja tu tukutane benki.
Karibu maduka 9 na south village
 
Hawa ni wanafunzi wa course mbalimbali wakihitaji kukusanya ID zao ili kujua hatima yao ya kupata ID ya mtihani
IMG_20220630_174618_581.jpg
 
Shida wala sio chuo,shida ni akili ndogo za wanafunzi....

Wanafunzi hua wao wanadhani hawanaga makosa,kumbe chanzo cha matatizo yote haya ni bongo zao za hovyo...

Sometimes muwe mna take responsibility of your own useless IQs!
Kiukweli sikuizi wanafunzi wa vyuo hawako siriaz kama zamani! Mitoto ipo ipo tu, mitihani ikikaribia wengi wanajifanya kuugua ili wafanye special.

SAUT, kama hauko siriaz ni kweli Disco inakuhusu, namshauri mleta mada, hapo uko Chuo Kikuu, ongeza juhudi na maarifa, sote tulipitia huko tukamaliza salama!
 
Kiukweli sikuizi wanafunzi wa vyuo hawako siriaz kama zamani! Mitoto ipo ipo tu, mitihani ikikaribia wengi wanajifanya kuugua ili wafanye special.

SAUT, kama hauko siriaz ni kweli Disco inakuhusu, namshauri mleta mada, hapo uko Chuo Kikuu, ongeza juhudi na maarifa, sote tulipitia huko tukamaliza salama!
Mkuu kila mtu ana juhudi katika kusoma suala hapa ni mifumo mibovu huwezi ita course zote sehm moja kisa kuanza kuita majina ya wanafunzi ili kupata ID huu ni upuuzi
 
Mkuu kila mtu ana juhudi katika kusoma suala hapa ni mifumo mibovu huwezi ita course zote sehm moja kisa kuanza kuita majina ya wanafunzi ili kupata ID huu ni upuuzi
Jiandae ni mtihani mkuu. Usidhani hapo serikali haipo! hayo mambo ya ID nadhani kila chuo ni ivo ivo, Ukienda pale UD utakuta vijana wamepanga mstari kwa ajili ya kupata ID.
 
Back
Top Bottom