Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 32,245
- 33,964
Mzee wa payback na 10%Jafo arudishwe
Mzee wa payback na 10%Jafo arudishwe
🤣🤣🤣🤣🤣 Tanzania sihami Mimi ata mchele uwe 10000 kwa kilo,nihame niende wapi nikafe bure na stress!Bashungwa atolewe kabisa, hata michezo alipokuwa Waziri alifeli.
Anafaa kuwa askofu au Mzee wa kanisa
Mbunge gani alikuwa wa maana ambae aliachwa na Magufuli?Tatizo tulilonalo ktk awamu hii hatuna wabunge wa maana mpk Rais anakosa wa kumteua. Magufuli ametuletea wabunge wasio na uwezo wengi wao. TAMISEMI inahitaji aina ya watu km Unny Mwalimu, Selemani Jafo, Mchengerwa angalau, labda Jumaa Awesso. Hv km mpk ktu km Ashatu Kijaji ni waziri unategemea nini. Rais naye aache kuendekeza udini aangalie wachapakazi. Dini ibaki msikitini.
Mbona Jafo aliweza na aliibua madudu mwenyewe
Duh, kwa hiyo waziri awe anazurura nchi nzima kama Jafo NA kiki za waandishi wa habari full kufoka?Kwa utendaji wa Bashungwa tulisema wizara ile haiwezi, TAMISEMI inataka mtu wa purukushani leo huku kesho kule na asimamie miradi kwa karibu sana
Hauogopi kudhulumiwa gawio lako baada ya hayo mauzo ?Duh, kwa hiyo waziri awe anazurura nchi nzima kama Jafo NA kiki za waandishi wa habari full kufoka?
Shida ni mfumo mbovu wa hii nchi mfano ripoti za CAG hazifanyiwi KAZI, wakaguzi wa ndani wapo kama vivuli, DSOs wapo ila wakurugenzi wanaiba wanavyotaka, TAKUKURU hadi wapewe amri NA mkuu wa wilaya au RC ndio wafanye KAZI.
Nchi iuzwe tu tugawane hela kila MTU apite hivi.
Wananchi ndiyo walichagua goigoi,watajua wenyewe hao wanyamboKwenye ubunge ndio kunahitaji magoigoi?
Nani vinamtosha?Pole yake sana, amepewa viatu visivyomtosha...
Tukiacha ukabila na udini hii wizara apewe Kalemani jamaa ni mfuatiliaji mzuri snBashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.
Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.
Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.
Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.
Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.
Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
Udini unamtesa snTatizo tulilonalo ktk awamu hii hatuna wabunge wa maana mpk Rais anakosa wa kumteua. Magufuli ametuletea wabunge wasio na uwezo wengi wao. TAMISEMI inahitaji aina ya watu km Unny Mwalimu, Selemani Jafo, Mchengerwa angalau, labda Jumaa Awesso. Hv km mpk ktu km Ashatu Kijaji ni waziri unategemea nini. Rais naye aache kuendekeza udini aangalie wachapakazi. Dini ibaki msikitini.
Sawa kama ndio maoni yako ila yapo kama una mambo nae personal sijaona tatizo kwamba ulitaka waziri mkuu akae!Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.
Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.
Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.
Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.
Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.
Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi
Wananchi ndiyo walichagua goigoi,watajua wenyewe hao wanyambo
Huu ni udhaifu katika mfumo wa uongozi. Sio kazi ya,waziri mkuu wala waziri tamisemi kutembelea mikoa au wikaya au mashirika ya umma kutoa maagizo. Tumeweka mfumo wa Kiki za kisiasa badala ya mfumo wa uongozi. Unavizia kusikia udhaifu na mara nyingine majungu tu then unakimbia huko na msululu wa waandishi as if hakuna wahusika. Tuwape wahusika au wataalam uhuru wa kufanyakazi sio MaRC, DC, Mawaziri kufanyakazi za wataalam. Kama mtaalam hawezi athlete na siyo maigizo ya kisiasa. Wao ni wasimamizi wa sera na,wawezeshaji wa wataalam.Bashungwa, Waziri kijana, ambaye ilitarajiwa "damu iwe inachemka" awe anapanda na kushuka,anakaba huku na kule, ameonekana Mzee kuliko Waziri Mkuu.
Waziri Mkuu anaenda Arusha, anaenda Singida, anajua mambo ambayo alitakiwa Bashungwa awe ameshayajua na kuchukua hatua....hamna kitu.
Alikuwa na Rais Mkoa wa Mara, hakuna hatua iliyochukuliwa.
Hii wizara ndio injini ya nchi, ndiyo inamgusa mwananchi, na ndio mishipa ya damu ya nchi, mirija ya kufikisha huduma kwa mwananchi ni kupitia Tamisemi.
Nadhani kwa Sasa Bashungwa apumzike, Rais afanye scouting ya mtu ambaye hatacheka na kima.
Waziri wa Tamisemi anatakiwa awe more than active.
Ila ombi letu Bashe asitolewe kilimo. Binafsi naona Mchengerwa atamudu kukabana na hawa jamaa wa Tamisemi