Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Mji wote wa Johannesburg nchini AK ulijengwa na dhahabu ya nchi hiyo, hivyo sasa tumeanza ukurasa mpya nimesikia makao makuu ya Kampuni yetu ya Dhahabu ya Twiga yatakuwa Mwanza City, hivyo hiyo ndiyo ,,Egoli“ yetu, kazi ni kwetu tu sasa, ...
Egoli, AK, Mji wote wa Johannesburg ulijengwa na Dhahabu, Mwanza yetu sasa wakati wake umewajia.
Egoli, AK, Mji wote wa Johannesburg ulijengwa na Dhahabu, Mwanza yetu sasa wakati wake umewajia.