Sasa Mwanza tuigeuze ,,Egoli“ yetu!

Sasa Mwanza tuigeuze ,,Egoli“ yetu!

Mji wote wa Johannesburg nchini AK ulijengwa na dhahabu ya nchi hiyo, hivyo sasa tumeanza ukurasa mpya nimesikia makao makuu ya Kampuni yetu ya Dhahabu ya Twiga yatakuwa Mwanza City, hivyo hiyo ndiyo ,,Egoli“ yetu, kazi ni kwetu tu sasa, ...

Egoli, AK, Mji wote wa Johannesburg ulijengwa na Dhahabu, Mwanza yetu sasa wakati wake umewajia.
View attachment 1333815
Tukiruhusu wamachinga katikati ya mji wote wa Mwanza...kweli itakuwa 'egoli'.
 
Fatima K.

Baada ya Ripoti ya Osoro, ile ya matrilioni mengi TRA ikatoa assessment ya USD 190 bln dhidi ya Acacia:
1. WaTZ wakaanza kuhesabu kila mtu anapata gari ya Noah;
2. Assessment ikajadiliwa kimataifa;
3.watangazaji wa CNN walikuwa wanacheka kama wehu.
Serikali:
1.ikasema inataka kuhakikisha makanikia yote yasafishwe TZ ili tusiibiwe
2.ikapitisha SHERIA 3 bungeni na marekibisho ya Mining Act inayotaka mikataba ya madini ijadiliwe na kupitishwa na Bunge ili kuwe na UWAZI.
WaTZ wakashangilia huu UWAZI mpy kwenye madini.

Leo tunaambiwa:
1. Makanikia huru kusafirishwa
2.Hakuna smelter iliyojengwa TZ
3.Assessment ya USD 190 bln BASI kw sababu Serikali imepata 16% za hisia za Twiga.
4.Mkataba umesianiwa bila ya kujadiliwa au kuudhinishiwa na Bung wala hatujui details

Maswali yangu:
1. Kama Kamati za Mruma na Osoro walikuwa wa kweli, USD 190 bln ziko wapi?
2.Assessment ya TRA ya USD 190bln inafutwa vipi kisheria kama ni ya KWELI?
3.Kwanini Ripoti za Mruma na Osoro hazijawekwa wazi?
4.Tumepata barabara. Smelter iko wapi?

Mwisho:
Kuna WaTZ 3 waliyekuwa wanafanya kazi Acacia. Wako ndani kwa MONEY LAUNDERING tangu October 2018 na Biswalo anasema:UPELELEZI HAUJAKAMILIKA.
1. Hawa WaTZ 3 ni Collateral Damage
2.Ndio wameshasahauliwa sasa Mkataba umeshasainiwa?
Technocrats wameacha SIASA ifukie UKWELI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile soko la dhahabu mngepeleka Mwanza ingekuwa inachngia zaidi kuijenga Mwanza kuliko kuwaza makao makuu ya kampuni moja ya dhahabu.

Hata kama wakijenga Mwanza kama watakuwa na ofisi ndogo Dar, hiyo ofisi ndogo inatumika zaidi kuliko hiyo ya Mwanza
 
Twiga itakuwa Mwanza kwa jina tu. Kutakuwa na ofisi zitakazoitwa ofisi ndogo ya DSM pale Bagamoyo Road au Masaki au Msasani au Oysterbay. Na zitakazokuwa practically head ofisi halafu ya Mwanza itakuwa practically representative office.
Ndo hivyo ishakuwa head office.... Nakukumbusha hii ni kampuni ya madini nyingine kuweka head office huko.... Nyingine ni hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ile soko la dhahabu mngepeleka Mwanza ingekuwa inachngia zaidi kuijenga Mwanza kuliko kuwaza makao makuu ya kampuni moja ya dhahabu.

Hata kama wakijenga Mwanza kama watakuwa na ofisi ndogo Dar, hiyo ofisi ndogo inatumika zaidi kuliko hiyo ya Mwanza
Sandvik nao wana head office huko... Nadhani wawekezaji ndo wanaona huko panafaa.
 
uzuri wageni tutajaa hapo alafu kila mwisho wa mwaka tunarudi zetu nyumbani
Ukirudi nyumbani mwisho wa Mwaka kutumia hivyo vi laki 5 kunakuwa na impact gani? Anyways kila mtu huwa anarudi nyumbani! Hata mimi nipo nyumbani likizo!
 
Barrick wajiulize sana! Kwa nini wanafanya maamuzi bila kuuliza kwanza?
Mji wa kimkakati ni Chato, kwa nini wasifungulie HQ yao kule maana na kiwanja cha kussfirishia dhahabu directly to Toronto kipo!

Sent using Jamii Forums mobile app
Wapeleke HQ kule ili wewe na wenzio wa chato mkanywee pombe ya kienyeji kule.
 
Mji wote wa Johannesburg nchini AK ulijengwa na dhahabu ya nchi hiyo, hivyo sasa tumeanza ukurasa mpya nimesikia makao makuu ya Kampuni yetu ya Dhahabu ya Twiga yatakuwa Mwanza City, hivyo hiyo ndiyo ,,Egoli“ yetu, kazi ni kwetu tu sasa, ...

Egoli, AK, Mji wote wa Johannesburg ulijengwa na Dhahabu, Mwanza yetu sasa wakati wake umewajia.
View attachment 1333815
Mawazo mazuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom