Sasa Mwanza tuigeuze ,,Egoli“ yetu!

Sasa Mwanza tuigeuze ,,Egoli“ yetu!

Ukirudi nyumbani mwisho wa Mwaka kutumia hivyo vi laki 5 kunakuwa na impact gani? Anyways kila mtu huwa anarudi nyumbani! Hata mimi nipo nyumbani likizo!
tutakua tutamiliki na kuishi maeneo ya wenyeji tutawaondoa na kuwapeleka mbali sana na mjini na kufanya himaya zetu huku wazee wetu nyumbani wakisherekea uwepo wetu nyumbani kila mwishoni mwa Mwaka
 
tutakua tutamiliki na kuishi maeneo ya wenyeji tutawaondoa na kuwapeleka mbali sana na mjini na kufanya himaya zetu huku wazee wetu nyumbani wakisherekea uwepo wetu nyumbani kila mwishoni mwa Mwaka
Wenyeji ndo huanza kudaka fursa kwanza....wageni baadaye.
 
Twiga itakuwa Mwanza kwa jina tu. Kutakuwa na ofisi zitakazoitwa ofisi ndogo ya DSM pale Bagamoyo Road au Masaki au Msasani au Oysterbay. Na zitakazokuwa practically head ofisi halafu ya Mwanza itakuwa practically representative office.
Tuulize tukusaidie, tayari eneo limeshatafutwa watajenga makao makuu, litakuwa na gorofa 15, na ndio makao makuu yatakapo kuwa.
tutakua tutamiliki na kuishi maeneo ya wenyeji tutawaondoa na kuwapeleka mbali sana na mjini na kufanya himaya zetu huku wazee wetu nyumbani wakisherekea uwepo wetu nyumbani kila mwishoni mwa Mwaka
Hahaha, hao wenyeji unaowatoa kina nani? Probably you're brazing weed!!
 
Tuulize tukusaidie, tayari eneo limeshatafutwa watajenga makao makuu, litakuwa na gorofa 15, na ndio makao makuu yatakapo kuwa.

Hahaha, hao wenyeji unaowatoa kina nani? Probably you're brazing weed!!
subiri time alone will tell
 
tutakua tutamiliki na kuishi maeneo ya wenyeji tutawaondoa na kuwapeleka mbali sana na mjini na kufanya himaya zetu huku wazee wetu nyumbani wakisherekea uwepo wetu nyumbani kila mwishoni mwa Mwaka
kitilya alishindwa uje wewe takataka?
 
Back
Top Bottom