Sarafina - Mtunzi Nyemo Chilongani

Sarafina - Mtunzi Nyemo Chilongani

Mi sarafina kaniboa bhana alivyojifungua angerudi kwa wazazi kuomba msamaha tena ata kumuachia mtt wazazi wake
 
Duuh, Shunie.! This is very sad story, natamani kutoendelea kuisoma. It pains a lot.!! Kwa nn David akamfanyia hv binti ya watu, tena aliyemtoa usichana wake. Poor Sarafina.!!
 
Bado mpendwa, nashukuru kwa kunitia moyo, by very very sad.!! Yaani David pamoja na hayo yooote , akabahati kukutana nae but hakumjal kabisa, He will pay for his cruel.!!
 
Alimtafuta Sarafina kwa siku ishirini, alitembea sehemu kubwa na mkewe, mitaani lakini kote huku hakufanikiwa kumuona mwanamke huyo. Moyo wake uliuma, ulichoma, alijutia maisha yake, ni kweli alikuwa na pesa lakini amani ya moyo ilikuwa ni zaidi ya pesa alizokuwa nazo.
Daima malipo ni hapa hapa Duniani.!! Vilio na machozi ya watoto wasio na hatia vinamrejea. Mateso anayopitia Malaikia hakika ni malipo tosha. Pumzika kwa Amani Sarafina.!!
 
Uyo nyemo chilongani hizo hadithi za abunuasi zilimfanya akafeligi form 4 haha alitaga afu alikuaga mnoko huyo yani kiherehere ila kwenye judgment day akaishia kutaga nadhani alipata 4 ile ya zero....
Saivi nani ana muda wa kusoma hadithi za abunuasi
Kama hupendi ulipaswa kupita kushoto, hata kuComment tu hukustahili, tuliza mshono na uache wenge. Usichokipenda ni burudani kwa wengine.
 
Asante sana shunie hadithi unazoleta wewe Huwa ni nzuri.hii inasikitisha mno. Maumivu juu ya maumivu.kila nikisoma maumivu yanaendelea.ila mwisho maumivu yakapotea
 
Kama hupendi ulipaswa kupita kushoto, hata kuComment tu hukustahili, tuliza mshono na uache wenge. Usichokipenda ni burudani kwa wengine.
Nimeongea fact.....kile kiheherehere chote na unoko unoko umbea na kujifanya mjuaji ukiwa shuleni mwishowe akaishia kutaga form 4 ndo kimekufikisha hapo muone unavohangaika kutafuta wateja wa kusoma hadithi zako za abunuasi...
mamayo life is a roller coaster...
Wenzio tuna carrier za maana sasa hivi ulizani ukituletea unoko hatutatusua ????
Ungetuliza mshono kipindi kile ungekuta saivi una carrier ya maana na sio kuja kuhangaika na vihadithi uchwara!
 
Nimeongea fact.....kile kiheherehere chote na unoko unoko umbea na kujifanya mjuaji ukiwa shuleni mwishowe akaishia kutaga form 4 ndo kimekufikisha hapo muone unavohangaika kutafuta wateja wa kusoma hadithi zako za abunuasi...
mamayo life is a roller coaster...
Wenzio tuna carrier za maana sasa hivi ulizani ukituletea unoko hatutatusua ????
Ungetuliza mshono kipindi kile ungekuta saivi una carrier ya maana na sio kuja kuhangaika na vihadithi uchwara!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mkuu mbona uneReply as if mm ndiye Nyemo?, daaaahh kwa upande mmoja nakubali unaweza kuwa sawa wala sitabisha coz hata simjui nyemo wala sijawah kumuona nazionaga stori zake tu, and it's true stori zake nyingi karibu zote ni za fantasies tu sionagi reality yoyote but at kiutungaji ziko sawa kiasi, nahisi sio wote wanaopenda theme ya fantasies ktk stories. Anyway be a gentleman nenda kamwambie tu nyemo hayo yote personally kuliko kuja huku publicly tena kulipojaa fake IDs ujumbe hautomfikia vizuri. Pia hongera kwa kukaza buti now una good life but who knows abt the future?, just be humble usije ukajibeza kama alivyokuwa anafanya nyemo enzi akiwa shule na ni ww mwenyewe uliyeWitness that, usiwe kama alivyokuwa nyemo na majigambo.
Cc. Stanley mitchell
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom