Sarafina - Mtunzi Nyemo Chilongani

Sarafina - Mtunzi Nyemo Chilongani

[emoji23] [emoji23] [emoji23] ila mkuu mbona uneReply as if mm ndiye Nyemo?, daaaahh kwa upande mmoja nakubali unaweza kuwa sawa wala sitabisha coz hata simjui nyemo wala sijawah kumuona nazionaga stori zake tu, and it's true stori zake nyingi karibu zote ni za fantasies tu sionagi reality yoyote but at kiutungaji ziko sawa kiasi, nahisi sio wote wanaopenda theme ya fantasies ktk stories. Anyway be a gentleman nenda kamwambie tu nyemo hayo yote personally kuliko kuja huku publicly tena kulipojaa fake IDs ujumbe hautomfikia vizuri. Pia hongera kwa kukaza buti now una good life but who knows abt the future?, just be humble usije ukajibeza kama alivyokuwa anafanya nyemo enzi akiwa shule na ni ww mwenyewe uliyeWitness that, usiwe kama alivyokuwa nyemo na majigambo.
Cc. Stanley mitchell
Sasa kama humjui mbona ulikua unasema nitulize mshono mana yeye ndo alikua na mshono utasema katokea leba theathre ???

Then Siwezi kumfata personally mana unoko na umbea alikua anaufanyaga publicly akajua labda milele ataendelea kua KIRANJA yeye na mwenzake yule eric MBUTA wakaishia kutaga...

Im very humbe tena sana tu siwezi kubeza maisha ya mtu nisiyemjua sema huyo mimi sibezi maisha yake nilikua namkumbusha tu life is a roller coaster...sasa hivi anahaingaika kuna siku nilimuona Bamaga nadhani alikua ametoka kwa Shigongo kumpelekea hadithi jamaa alikua kapauka huyoo afu kakondaa kabaki kichwa fuvu na alivo mfupi sasa utasema ana marasmus ama utapia mlo nikasema Dah!

Alidhani shigongo atamlipa mamilioni kwa hadithi kumbe shigongonnaye ana hasira zake za kutapeliwa na CCM...

Aisee haya maisha haya tungekua tunaishi milele sijui ingekuaje....
 
Sasa kama humjui mbona ulikua unasema nitulize mshono mana yeye ndo alikua na mshono utasema katokea leba theathre ???

Then Siwezi kumfata personally mana unoko na umbea alikua anaufanyaga publicly akajua labda milele ataendelea kua KIRANJA yeye na mwenzake yule eric MBUTA wakaishia kutaga...

Im very humbe tena sana tu siwezi kubeza maisha ya mtu nisiyemjua sema huyo mimi sibezi maisha yake nilikua namkumbusha tu life is a roller coaster...sasa hivi anahaingaika kuna siku nilimuona Bamaga nadhani alikua ametoka kwa Shigongo kumpelekea hadithi jamaa alikua kapauka huyoo afu kakondaa kabaki kichwa fuvu na alivo mfupi sasa utasema ana marasmus ama utapia mlo nikasema Dah!

Alidhani shigongo atamlipa mamilioni kwa hadithi kumbe shigongonnaye ana hasira zake za kutapeliwa na CCM...

Aisee haya maisha haya tungekua tunaishi milele sijui ingekuaje....
Duuuuhh samahani sana mkuu yeah nilikosea kuongea wakati simjui vyema mhusika nikahisi kuwa labda na ww ni walewale wanaoandama wengine kwenye media, i'm sorry.
ila panaponiacha hoi nyemo na shigongo stori zao daaaahhh wahusika lazima wateseke kumbe hata na wao waandishi wanapigika kwelikweli kimaisha duuuuhh, hope jamaa atafunzwa na ulimwengu ajielewe.
 
Duuuuhh samahani sana mkuu yeah nilikosea kuongea wakati simjui vyema mhusika nikahisi kuwa labda na ww ni walewale wanaoandama wengine kwenye media, i'm sorry.
ila panaponiacha hoi nyemo na shigongo stori zao daaaahhh wahusika lazima wateseke kumbe hata na wao waandishi wanapigika kwelikweli kimaisha duuuuhh, hope jamaa atafunzwa na ulimwengu ajielewe.
Hapana mimi simuandami inshort mimi sio hater afu pia sio mpenz wa izo hadithi ungesema labda namdiss yeye labda na mm ni muandishi..

Ila huyo jamaa uliza mtu yoyote aliyesoma nae anamjua kwa alivokua na tabia zake..alikua HAPENDWI na karibu shule nzima....

....alikua KIRANJA nadhani wa michezo sijui ebwana jamaa alikua ni mnoko sijapata kuona...halafu ni mmbea mmbea na majungu kibao yani mfano kakuta umelala bwenini muda wa kipindi jamaa utaskia utadeki dorm wiki nzima mara ruka kichura chura mara anaandika majina ya swahili speakers anapeleka kwa mwalimu...kama hujaenda prepo jamaa linakupa adhabu ...

ukienda jikoni unalikuta linagawa msosi pale ukiliambia ongeza chakula kidogo icho au nijazie chai utaskia ondoka ama linakupa adhabu ya kusafisha jikoni...aliiona kama ni fasheni fulani..

Huyo jamaa aliniandamaga sana sema mimi nilikua mtata kwa asilia nikamwambia huwezi kunirukisha kichura ama kunipa adhabu wote tunalipa ada sawa kama unataka niruke kichura kaniripoti kwa mwalimu ndo aseme niruke nitaruka ila sio mbulula kama wewe..kwenye matokeo nakuburuza unashika mkia kidogo ulose wastani wa kuingia form 4 halafu uniambia niruke kichura???

So jamaa likawa linanipekeka kwa mwalimu kila mara likajua labda nitapewa suspension kumbe nilikua na back up ya walimu wakaona sasa mimi na yeye nani wa kuondolewa shule mana mimi nilikua nafaulu mitihani so kwa shule nilikua Asset yeye anataga alikua liability ila mwisho wa siku....go east go west mwanafunzi anapimwa kwa performance....

So sio kama namdiss naongea ukweli aliokua anaufanya na maisha anayoishi sasa hivi...
Alikua mnoko mnoko afu hapendwi na wanafunzi huo ukiranja yenyewe aliupata kwa kuteuliwa na walimu mana si alikua na kiherehere so walimu si wanapenda watu wenye viherehere.......
 
Hapana mimi simuandami inshort mimi sio hater afu pia sio mpenz wa izo hadithi ungesema labda namdiss yeye labda na mm ni muandishi..

Ila huyo jamaa uliza mtu yoyote aliyesoma nae anamjua kwa alivokua na tabia zake..alikua HAPENDWI na karibu shule nzima....

....alikua KIRANJA nadhani wa michezo sijui ebwana jamaa alikua ni mnoko sijapata kuona...halafu ni mmbea mmbea na majungu kibao yani mfano kakuta umelala bwenini muda wa kipindi jamaa utaskia utadeki dorm wiki nzima mara ruka kichura chura mara anaandika majina ya swahili speakers anapeleka kwa mwalimu...kama hujaenda prepo jamaa linakupa adhabu ...

ukienda jikoni unalikuta linagawa msosi pale ukiliambia ongeza chakula kidogo icho au nijazie chai utaskia ondoka ama linakupa adhabu ya kusafisha jikoni...aliiona kama ni fasheni fulani..

Huyo jamaa aliniandamaga sana sema mimi nilikua mtata kwa asilia nikamwambia huwezi kunirukisha kichura ama kunipa adhabu wote tunalipa ada sawa kama unataka niruke kichura kaniripoti kwa mwalimu ndo aseme niruke nitaruka ila sio mbulula kama wewe..kwenye matokeo nakuburuza unashika mkia kidogo ulose wastani wa kuingia form 4 halafu uniambia niruke kichura???

So jamaa likawa linanipekeka kwa mwalimu kila mara likajua labda nitapewa suspension kumbe nilikua na back up ya walimu wakaona sasa mimi na yeye nani wa kuondolewa shule mana mimi nilikua nafaulu mitihani so kwa shule nilikua Asset yeye anataga alikua liability ila mwisho wa siku....go east go west mwanafunzi anapimwa kwa performance....

So sio kama namdiss naongea ukweli aliokua anaufanya na maisha anayoishi sasa hivi...
Alikua mnoko mnoko afu hapendwi na wanafunzi huo ukiranja yenyewe aliupata kwa kuteuliwa na walimu mana si alikua na kiherehere so walimu si wanapenda watu wenye viherehere.......
Duuuuhh, ila atanyooka tu, anajifunza na ataendelea kujifunza tu.
 
Duuuuhh, ila atanyooka tu, anajifunza na ataendelea kujifunza tu.
Nadhani maisha baada ya shule yashamfundisha kua "humble" kwa watu huezi jua huyo mtu unayemfanyia unoko utamkuta wapi na lini ma wakati gani ukiwa ktk hali gani!

Story niliyokupa ilikua ni miaka chini ya 11 iliyopita so naamini sasa hivi kabadilika ila nilikua namkumbushia tu alivokua....

Maana wadau walimind kweli ile tabia yake na waswahili wanasema adui yako muombee njaa!
Najua yupo humu na kashasoma....so message sent!

Afu kingine nimekumbuka japo sio big deal sana ila jamaa alikua mchafu balaa yani akiingia chooni ni kunya tu ama kukojoa ..kuoga kwake ilikua ni sawa na kipofu kuona mwezi...alikua ananuka kama beberu vile...halafu alikua anapenda sana kulazimisha watoto wa fom 1 wamfulie shati alafu haaapi adhabu....suruali havuagi iyo anaipiga poti na kipande cha godoro imetoka...
Kwenye kugongea sasa ndo usiseme yani yule jamaa bana duh

Ni flashback tu maana kila mtu ana historia lakini
 
Nadhani maisha baada ya shule yashamfundisha kua "humble" kwa watu huezi jua huyo mtu unayemfanyia unoko utamkuta wapi na lini ma wakati gani ukiwa ktk hali gani!

Story niliyokupa ilikua ni miaka chini ya 11 iliyopita so naamini sasa hivi kabadilika ila nilikua namkumbushia tu alivokua....

Maana wadau walimind kweli ile tabia yake na waswahili wanasema adui yako muombee njaa!
Najua yupo humu na kashasoma....so message sent!

Afu kingine nimekumbuka japo sio big deal sana ila jamaa alikua mchafu balaa yani akiingia chooni ni kunya tu ama kukojoa ..kuoga kwake ilikua ni sawa na kipofu kuona mwezi...alikua ananuka kama beberu vile...halafu alikua anapenda sana kulazimisha watoto wa fom 1 wamfulie shati alafu haaapi adhabu....suruali havuagi iyo anaipiga poti na kipande cha godoro imetoka...
Kwenye kugongea sasa ndo usiseme yani yule jamaa bana duh

Ni flashback tu maana kila mtu ana historia lakini
Ahahahaaaa kupiga suruali poti na kipande cha godoro aiseeee shule za boarding dorms za boys kumbe walikuwepo wengi tu wenye hizo tabia nikadhani shuleni kwetu tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] but ninavyokumbuka mm wale jamaa shuleni kwetu walipopata mademu palepale shule directly wakaacha zile tabia wakawa wasafi tu [emoji23]
 
Ahahahaaaa kupiga suruali poti na kipande cha godoro aiseeee shule za boarding dorms za boys kumbe walikuwepo wengi tu wenye hizo tabia nikadhani shuleni kwetu tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] but ninavyokumbuka mm wale jamaa shuleni kwetu walipopata mademu palepale shule directly wakaacha zile tabia wakawa wasafi tu [emoji23]
Hakua na uwezo wa kupata demu shule pale mana alikua mnoko kishezi yani navokuambia mnoko ni ule unoko haswaa kwaiyo mademu walikua hawampendi kuna day aliwarukisha kichura darasa lao lote eti wanapiga kelele sasa unategemea demu gani akukupende kwa tabia izo....kwanza mnoko.mmbea snitch ...mchafu....kichwani empty kilaza.... hela hana ndo mana alikua anashinda jikoni kula vyakula vya walimu hakua na uwezo wa kumpeleka demu duka la shule ...sasa demu gani atakutaka hapo....

Ni kweli mkuu watu wakipata mademu shule wanabadilika mana kuna jamaa mmoja alipataga demu alibadilika haswaa alikua anavaa shati la tomato suruali safi kila day lazima apige pasi sema kilichomshinda kati ya vyote ni kuoga kila siku....sema unyunyu ulisaidia sana hata kama wa kugongea...
 
Hakua na uwezo wa kupata demu shule pale mana alikua mnoko kishezi yani navokuambia mnoko ni ule unoko haswaa kwaiyo mademu walikua hawampendi kuna day aliwarukisha kichura darasa lao lote eti wanapiga kelele sasa unategemea demu gani akukupende kwa tabia izo....kwanza mnoko.mmbea snitch ...mchafu....kichwani empty kilaza.... hela hana ndo mana alikua anashinda jikoni kula vyakula vya walimu hakua na uwezo wa kumpeleka demu duka la shule ...sasa demu gani atakutaka hapo....

Ni kweli mkuu watu wakipata mademu shule wanabadilika mana kuna jamaa mmoja alipataga demu alibadilika haswaa alikua anavaa shati la tomato suruali safi kila day lazima apige pasi sema kilichomshinda kati ya vyote ni kuoga kila siku....sema unyunyu ulisaidia sana hata kama wa kugongea...
Duuuuhhh watu tayari tulikuwa mademu toka form 1 hv huko nyuma ila jamaa hakuwa naye aiseee, but nahisi atakuwa na tatizo huyo kjn(nyemo), i think he is living in his world of fantasies, story zake nilizokuwa nazisoma pindi kile ktk gazeti za shigongo those days hata hazikuobyesha kuendana na historia yake ninayoipata hapa kutoka kwako, duniani kuna mengi.
 
Duuuuhhh watu tayari tulikuwa mademu toka form 1 hv huko nyuma ila jamaa hakuwa naye aiseee, but nahisi atakuwa na tatizo huyo kjn(nyemo), i think he is living in his world of fantasies, story zake nilizokuwa nazisoma pindi kile ktk gazeti za shigongo those days hata hazikuobyesha kuendana na historia yake ninayoipata hapa kutoka kwako, duniani kuna mengi.
Mkuu maneno nayokuambia yote hapa ni ya kweli angetokea mdau aliyesoma nae angeweza kuthibitisha maneno haya yote..nilikua simpendi ila sina sababu ya kuongeza chumvi mana hakuna faida ntayopata...

Alafu ukitaka kujua kua Mungu si Athumani wale VIRANJA wote wanoko waliishia kufeli shule..
Demu Mmoja ndo alifaulu sema Ya Mungu Mengi ya Kuku Mayai akaja kutagia Form 6 ...

Izo hadithi alianza kusimulia toka tukiwa shule mbona tena kwa kiswahili ila cha kushangaza wewe ukiongea kiswahili jamaa linakupa adhabu afu sio kama lilikua na ung'eng'e mzuri ni broken za kutosha...

Mi sina tatizo na hadithi zake mana sisomagi izo mambo sema nilikua naongelea kua yani unoko wote ule ameishia kuandika hadithi za abunuasi?? Imenifundisha ktk maisha kua humble mana huijui kesho yako ipoje...

Kingine Alikua anapenda kucheza mpira na alikua mshabiki wa aseno kama yupo humu mtu aje abishe... alikua yupo Form 4 'G'...
 
Mkuu maneno nayokuambia yote hapa ni ya kweli angetokea mdau aliyesoma nae angeweza kuthibitisha maneno haya yote..nilikua simpendi ila sina sababu ya kuongeza chumvi mana hakuna faida ntayopata...

Alafu ukitaka kujua kua Mungu si Athumani wale VIRANJA wote wanoko waliishia kufeli shule..
Demu Mmoja ndo alifaulu sema Ya Mungu Mengi ya Kuku Mayai akaja kutagia Form 6 ...

Izo hadithi alianza kusimulia toka tukiwa shule mbona tena kwa kiswahili ila cha kushangaza wewe ukiongea kiswahili jamaa linakupa adhabu afu sio kama lilikua na ung'eng'e mzuri ni broken za kutosha...

Mi sina tatizo na hadithi zake mana sisomagi izo mambo sema nilikua naongelea kua yani unoko wote ule ameishia kuandika hadithi za abunuasi?? Imenifundisha ktk maisha kua humble mana huijui kesho yako ipoje...

Kingine Alikua anapenda kucheza mpira na alikua mshabiki wa aseno kama yupo humu mtu aje abishe... alikua yupo Form 4 'G'...
Duuuuuhh hatari
 
Shigongo naye hata sijui ameishia wapi na street university, hawa waandishi hawa yaani wanafundisha watu jinsi ya kufanikiwa ktk mambo ambayo hata wao wenyewe hawajawahi hata kuyafanya zaidi ya kuyaOrganize kupitia google sources, i even wonder kama ameshaacha kuandika habari za wema sepetu maana ndio zilizokuwa zimuuzia magazeti pindi kile
 
Asante sana shunie hadithi unazoleta wewe Huwa ni nzuri.hii inasikitisha mno. Maumivu juu ya maumivu.kila nikisoma maumivu yanaendelea.ila mwisho maumivu yakapotea
[emoji120][emoji120]
 
Shigongo naye hata sijui ameishia wapi na street university, hawa waandishi hawa yaani wanafundisha watu jinsi ya kufanikiwa ktk mambo ambayo hata wao wenyewe hawajawahi hata kuyafanya zaidi ya kuyaOrganize kupitia google sources, i even wonder kama ameshaacha kuandika habari za wema sepetu maana ndio zilizokuwa zimuuzia magazeti pindi kile
Hao waganga njaa mkuu...kuna jamaa yule anajiita mc luvanda eti mjasiriamali na muhamasishaji anawapa watu mbinu za kufanikiwa ktk maisha na biashara sasa mbona yeye hajafanikiwa yani kuna mambo mengine hayamake sense kabisa

Eti anaaandaa hadi semina na viingilio vya kuwafundisha kufanikiwa....janja janja tu

Uyo shigongo alikua anawaambia watu kuhusu streeet university ina umuhimu blah blah wakati yeye kajiunga na chuo TUMAINI UNIVERSITY kupata degree pumbavu
 
Hao waganga njaa mkuu...kuna jamaa yule anajiita mc luvanda eti mjasiriamali na muhamasishaji anawapa watu mbinu za kufanikiwa ktk maisha na biashara sasa mbona yeye hajafanikiwa yani kuna mambo mengine hayamake sense kabisa

Eti anaaandaa hadi semina na viingilio vya kuwafundisha kufanikiwa....janja janja tu

Uyo shigongo alikua anawaambia watu kuhusu streeet university ina umuhimu blah blah wakati yeye kajiunga na chuo TUMAINI UNIVERSITY kupata degree pumbavu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio tulivyo wabongo wengi kwakweli [emoji119] [emoji28]
 
Shunie! Naomba nikupende bila sababu ya maana! Daah! Nimekoswa koswa Na tembo huku porin kisa nafuatilia ctor! Shukuran ziende kwa minyoo iliyopo tumbon mwa tembo inanguruma ndo ikanigutua nilipokuwa nakula uraha wa ctor
 
Shunie! Naomba nikupende bila sababu ya maana! Daah! Nimekoswa koswa Na tembo huku porin kisa nafuatilia ctor! Shukuran ziende kwa minyoo iliyopo tumbon mwa tembo inanguruma ndo ikanigutua nilipokuwa nakula uraha wa ctor
Ahahaaha pole sana
 
Ahahaaha pole sana
Thank a lot our shunie! Pia nami kwa niaba ya wanajf(ingawa hawajaniambia Ni kiherehere changu tu) Unasema shukuran sana umehitimisha story bila mizengwe wala arosto!! SHUKRANI SANA
 
Thank a lot our shunie! Pia nami kwa niaba ya wanajf(ingawa hawajaniambia Ni kiherehere changu tu) Unasema shukuran sana umehitimisha story bila mizengwe wala arosto!! SHUKRANI SANA
Me story zangu zote hazinaga arosto nikileta mwanzo mpaka mwisho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom