Sanaa ya kifo

Sanaa ya kifo

Huyu jamaa mshana jr huwa anatoa nondo zilizotulia Sana mtu unasoma na unatamani mtiririko usiishe maana ni full maujuzi na burudani
 
Usizitazame saa hii zitakutisha zitazame usiku ukiwa pekeyako chumbani mtani
sitaki mtani... haafu mtani unajua nilimpoteza my young brother mwisho wa mwezi wa pili ila sijui ni nini yani huwa najikuta namtumia whats app sms, nampigia wakati mwingine japo simu yake tumezima siamini kabisa kama hayupo,.. hivi kuna namna naweza kuongea nae nimuulize baadhi ya maswali halafu niwe na amani ?
 
sitaki mtani... haafu mtani unajua nilimpoteza my young brother mwisho wa mwezi wa pili ila sijui ni nini yani huwa najikuta namtumia whats app sms, nampigia wakati mwingine japo simu yake tumezima siamini kabisa kama hayupo,.. hivi kuna namna naweza kuongea nae nimuulize baadhi ya maswali halafu niwe na amani ?
Mmh tarejea mtani

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
Being into another state Ya umauti ni tofauti na ujinga reincarnation.

Kama Kiarabu ambacho lugha yako ya taifa Kiswahili ina maneno kibao yaliyotokana nacho unakiita lugha ya kigeni, hicho Kingereza kitakuwaje?

Tumia kichwa chako kufikiri japo kiduchu ewe punguani.

Faiza embu tueleze tofauti kati ya kifo na mauti , ?

Ila usilete mambo yako ya darsa kwa kuwa wengine hatuamini mambo ya darsa hayo yanakuhusu wewe na wenzio msio kula vinono I mean yule mdudu mtamu mtamu nguruwe
 
Faiza embu tueleze tofauti kati ya kifo na mauti , ?

Ila usilete mambo yako ya darsa kwa kuwa wengine hatuamini mambo ya darsa hayo yanakuhusu wewe na wenzio msio kula vinono I mean yule mdudu mtamu mtamu nguruwe
Neno kifo kifo linatokana na Kiarabu "qif" kwa urahisi "stop".

Neno mauti pia linatokana na Kiarabu, mawt.

Kifo hata mkono wako au kiungo chako chochote mwilini kinaweza kufa lakini haina maana kimekuwa maiti kwa sababu anaeingia kwenye umauti ni wewe na si kiungo chako. Biblia inasema unakuwa "angelized" au "spirit". Hauwi tena na physical body.

Kuwa maiti ni wewe kuingia kwenye umauti.

Kinachokufa ni kiwiliwili chako lakini si wewe. Wewe unaingia kwenye "state" nyingine inayoitwa mauti.

Huwezi kulikwepa darsa.
 
hii uliyosema utarejea .. hapa
OK kulikuwa na inbound chords Kati yako na yeye brotherly n sisterly bonds kwenye ulimwengu wa roho
Ni chords hizi zimegoma kukubaliana na uhalisia wa kilichotokea ndio maana unajikuta kila wakati unajisahau na kufanya naye mawasiliano....ni hali ambayo itapotea taratibu

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
OK kulikuwa na inbound chords Kati yako na yeye brotherly n sisterly bonds kwenye ulimwengu wa roho
Ni chords hizi zimegoma kukubaliana na uhalisia wa kilichotokea ndio maana unajikuta kila wakati unajisahau na kufanya naye mawasiliano....ni hali ambayo itapotea taratibu

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
okey mtani na nikitaka aje niongee nae nimuulize kilichotokea mpaka akafa.. sababu kifo chake kina utata mwingi
 
okey mtani na nikitaka aje niongee nae nimuulize kilichotokea mpaka akafa.. sababu kifo chake kina utata mwingi
Mmh hapana mwache atakuja mwenyewe muda utakapofika na atakapoamua kufanya hivyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom