dingifita
Member
- May 24, 2017
- 72
- 69
Hakuna haja ya kuwa na uoga kuhusu kifo.
Ni mojawapo kati ya matukio mengi katika 'safari' hii inayoitwa maisha ambayo hatuna maamuzi binafsi kama vile kuzaliwa lini, wapi na wazazi gani....chombo cha kusafiria-ugumu/wepesi wa safari...kwa miguu, baiskeli, motokari, boti, meli, ndege....mwisho wa safari...lini, wapi na aina yake n.k
La msingi hapa ni kujua kuwa muda wako utakapofika utakuwa sehemu muafaka na kisababishi sahihi kitakuwepo kukamilisha tukio hili muhimu katika safari yetu...tubakize 'pumzi' kidogo za kuanzia 'safari' nyingine iwapo itakuwepo....
Ni mojawapo kati ya matukio mengi katika 'safari' hii inayoitwa maisha ambayo hatuna maamuzi binafsi kama vile kuzaliwa lini, wapi na wazazi gani....chombo cha kusafiria-ugumu/wepesi wa safari...kwa miguu, baiskeli, motokari, boti, meli, ndege....mwisho wa safari...lini, wapi na aina yake n.k
La msingi hapa ni kujua kuwa muda wako utakapofika utakuwa sehemu muafaka na kisababishi sahihi kitakuwepo kukamilisha tukio hili muhimu katika safari yetu...tubakize 'pumzi' kidogo za kuanzia 'safari' nyingine iwapo itakuwepo....