Sanaa ya kifo

Sanaa ya kifo

dcc9537353bedbeb4bd3ff975db8b793.jpg
tayari niko maeneo tupia tuu
Mtani, hili dude unalimezaje??
 
Samahani mshana Jr swali langu litagusia na imani kidogo.Umesema kifo ni kufaulu mtihani,m/Mungu anasema katika quran "kila nafsi itaonja umati" je m/Mungu ndiye aliyetunga mtihani huu?mauti yatawajia ghafla alikuwa hawajajiandaa je hayo mandalizi ni yapi? Nijibu hayo tuendelee
 
Samahani mshana Jr swali langu litagusia na imani kidogo.Umesema kifo ni kufaulu mtihani,m/Mungu anasema katika quran "kila nafsi itaonja umati" je m/Mungu ndiye aliyetunga mtihani huu?mauti yatawajia ghafla alikuwa hawajajiandaa je hayo mandalizi ni yapi? Nijibu hayo tuendelee
Kwa muktadha wa shule za elimu dunia kuna ratiba za mitihani na majaribio zinazojulikana! Halafu kuna ile ya kushtukiza...!
Vyovyote iwavyo hakuna ajuaye ni maswali gani yatakuwepo na atafaulu kwa kiwango gani. ..maandalizi tuyafanyayo ni ya msingi na ya jumla tu
 
Kuna mambo ambayo lazima upate kuyafahamu:
1. Mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu ( Mwanzo1: 26 ) " Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba". Kuumbwa kwa Mfano wa Mungu ni heshima kubwa sana, Hivyo kusema kuwa mwanadamu ni mpumbavu tu na hana chembe ya uelewa ni kudhalilisha utu wa mwanadamu
2. Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu kwa Mungu.Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kamili, ila alipoasi kwa kula tunda alilokatazwa, ndipo kifo kikawa ni laana kwa huyu mwanadamu na hadi leo tunaona matokeo yake.
3. Wafu hawajui neno lolote, Mhubiri 9:5 " kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote..." ila wanasubiri hukumu ya mwisho. Hapo atakapo kuja Yesu Kristo atawafufua wafu na pamoja walio hai ili wapate hukumu kila mmoja kulingana na matendo yake. 1 Wathesalonike 4:16-
 
Ninakubaliana na wewe kwa jinsi ulivyofafanua,japo picha zako nmeshndwa kuzioainisha na maelezo yako mazur.
Mimi uwa nawambia watu kwenye misiba,hatupaswi kuumiza nafsi zetu kwa maskitiko.
Binadamu tunapaswa kupita katika Ulimwengu wa aina 3;
1.Ulimwengu wa Tumbo la mama
2.Ulimwengu wa Dunia.
3.Ulimwengu wa Roho,ambapo kuna sehemu mbili jehnamu na Mbinguni kwa mjibu wa maadiko.
Tungekuwa tunaishi kwa pamoja katika Ulimwengu wa Tumbo la Mama,alafu akaondoka mwenzetu kuja Duniani kwa kuzaliwa tungekuwa tunalia mwenzetu katutoka,kumbe yupo anadunda dunian na kupewa upendo wa baba na mama.
Kila Ulimwengu tunaotakiwa kwenda unaconditions zake hata wanasayansi wanakubaliana na hilo.Mfano ili uishi Ulimwengu wa Tumbo la mama ambapo kipindi chake ni miez 9,na vazi la mwili utengenezwa hapo kwa ajili ya ulimwengu wa Dunia,huitaji kusumbukia mahitaj ya mwili.
Tunapokutana katika Ulimwengu wa Dunia hatujisumbui kufikiria ulimwengu tuliotoka na tulikuwa tunaishi vip kwa sababu ufahamu huo unafungwa na tunafurahia ulimwengu wa Dunia kiasi kwamba tunakoswa raha kabisa tukisikia kufa.Hakuna aliyetayari kufa au kwa maneno mengine kuzaliwa tena katika ulimwengu mwingine.
Ulimwengu wa Roho ahuitaji twende na Mwili bali nafsi,na kama mwili unavyoumbwa ndani ya ulimwengu wa Tumbo la mama,ndivyo tunavyoumba sisi wenyewe kwa utashi nafsi zetu vazi la UZURI au UBAYA ampapo vazi utakolovaa litakuelekeza katika Ulimwengu wa Roho nzuri au Mbaya.
Kila Ulimwengu tunaopitia tunakuwa na uwezo tofauti kabisa,kwa maana ya nguvu ya kufikir na kutenda.
Katika Ulimwengu wa Roho,tunakuwa katika ulimwengu ambao tuna nguvu zaidi na za hali ya juu na tunaweza kutawala na kurudi katika ulimwengu wa Dunia kwa namna tunavyopenda ikitegemea ni kwa Uzuri au Ubaya.Ndio chanzo cha wengine kuanza kuamini Roho za mababu au mabibi wengine wanaita mizimu kutokana na znapotoka.Kumbuka Shetan ndie anajiita mtawala wa ulimwengu wa Roho Mbaya,na Mwenyez Mungu kajpambanua katika Roho nzuri na ndie muumbaj wa Limwengu zote .
Roho iliyo nje ya mwili uweza hata kusafir kwenda Marekani kwa sekunde,uweza kuingia kwa kiumbe yeyeyote na uweza kujigawanya kama kirusi cha ukimwi .Roho ya wizi ni Roho moja lakini yaweza kuingia kwa watu 1000 na wote wakaitwa wezi.Roho zetu ambazo zinaitwa nafsi hapa duniani zimepewa uwezo mdogo sana kutokana na kuwa ndani ya mwili.
umefafanua vizuri sana kijana
 
Kuna mambo ambayo lazima upate kuyafahamu:
1. Mwanadamu aliumbwa kwa mfano wa Mungu ( Mwanzo1: 26 ) " Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba". Kuumbwa kwa Mfano wa Mungu ni heshima kubwa sana, Hivyo kusema kuwa mwanadamu ni mpumbavu tu na hana chembe ya uelewa ni kudhalilisha utu wa mwanadamu
2. Kifo ni matokeo ya uasi wa mwanadamu kwa Mungu.Mungu alimuumba mwanadamu akiwa kamili, ila alipoasi kwa kula tunda alilokatazwa, ndipo kifo kikawa ni laana kwa huyu mwanadamu na hadi leo tunaona matokeo yake.
3. Wafu hawajui neno lolote, Mhubiri 9:5 " kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote..." ila wanasubiri hukumu ya mwisho. Hapo atakapo kuja Yesu Kristo atawafufua wafu na pamoja walio hai ili wapate hukumu kila mmoja kulingana na matendo yake. 1 Wathesalonike 4:16-
Hebu soma ulichoandika hapo namba tatu kwamba wafu hawajui lolote.....lakini wanasubiria hukumu ya mwisho....!
Biblia takatifu ni neno linaloishi halipaswi kusoma kama kitabu cha hekaya
Ni sahihi kabisa wafu hawajui lolote kwakuwa ule ni mwili tu usiokuwa na ufahamu wowote
Tunapozungumzia ishu nzima ya wafu ni roho yake ambayo hiyo ndio server ya kila kitu na haifi milele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom