Unajua tatizo hapa kati yao Mshana na Faizafox ni kitu kimoja; “Popularity and Fame” kila mmoja anajaribu kujipatia umaarufu wake kwa style tofauti (-/+ve), na hii kitu itawasumbua hawa jamaa kwa muda mrefu sana. Kila mmoja anajiona/fikiri anajua zaidi ya mwenzake na bahati mbaya wote inawezekana hawajakubali akilini mwao kwamba kila mmoja anajua/elewa jambo fulani zaidi ya mwenzie.
Anyway siko hapa kuwahukumu bali nautizama msuguano wao kwa mrengo huo na nafikiri wana haja ya kujifunza kila mmoja wao kupitia ukosoaji wa mwenzake.