Anakuwa anatimiza mtihani kama ulivyosema au nipo wrong?!Binadamu pamoja na kujiita kiumbe aliyestaarabika lakini kiuhalisia hakuna hayawani kama yeye...hayawani kuzidi wanyama wote
Kesho nakuja kukuchinja!! Lazima utapata hofu!! So kifo hakizoeleki!Uko sahihi kabisa mshana ss sote ni wapitaji na tunaendelea na uuumbaji tuendako lakin inategemeana na uchaguz wet hapa duniani kweli, bwana mtu anaogopa kufa wakati n sehem ya daraja kenda ng'ambo
manuu hii post ni yangu nisipojibu pale penye upotoshaji nitaonekana mimi ndio napotosha nikijibu matatizo huanzia hapo
Ni sawa mkuu ila kama mtu anakuja kishari siunampisha tu apite...Hapa JF ni kama tunavyoishi huku mitaani kuna mtu atakuja na kuanza kukutukana bila hata sababu we utakachofanya nikuachana nae kuepusha matatizo...Jaribu kumpuuzia huyo FaizaFoxy ataona aibu na kama ana mawazo tofauti na wewe aanzishe thread yake...Ni ushauri tu..manuu hii post ni yangu nisipojibu pale penye upotoshaji nitaonekana mimi ndio napotosha nikijibu matatizo huanzia hapo
Nimekuelewa saana manuu shukraniNi sawa mkuu ila kama mtu anakuja kishari siunampisha tu apite...Hapa JF ni kama tunavyoishi huku mitaani kuna mtu atakuja na kuanza kukutukana bila hata sababu we utakachofanya nikuachana nae kuepusha matatizo...Jaribu kumpuuzia huyo FaizaFoxy ataona aibu na kama ana mawazo tofauti na wewe aanzishe thread yake...Ni ushauri tu..
Kwanza ungekuja na ID yako halisi to prove you are not cowardTumia akili yako vizuri.
Ktk maelezo hayo yote ni ujumbe upi unataka kutuaminisha?
Hizo ntantalila... Zote zinatokana tafit zip za post life?
Information zilizopo kwenye vitabu vya imani at least zimefafanua two destinations i.e peponi na jehanamu japo detail zinatofautiana za yatakayofanyika peponi.
Japo wanakubaliana jehanamu is all about mateso.
Ungetumia akili yako kuwasahidia binadamu namna ya kuipata destiny njema ningeona unaitumia akili yako vixuri.
Kuliko kuwafundisha paradoxical destination of another life without clues of wht kind of life.
Unajitia kumkataa Mungu huku hekima yako haitoi mbadala .
Nikusihi tu. Tumia akiri yako vizuri
Post hii tu ndiyo mfano hai kwamba wewe una matatizo fulani, hauko sawa na unafaa kupishwa upite uende zako....
tayari niko maeneo tupia tuu
Hapana sio kwa muktadha huo.Isije kuwa nawe unatuaga kiaina! Just joking!.
Hapo chini umeniacha nyuma kidogo! Hao wanaofaulu inamaana wao vipi wanaozo hizo powers ?
Beyond powers natural superenergy which runs the universe