Binafs naunga mkono hoja na ndio msimamo wangu siku zote kwamba kifo ni hatua nzuri zaidi japo ndugu zangu na watu wa dini hawapendag kusikia nikisema hivyo.
Kipindi flan nilimwambia rafik yangu sentensi hii lakin alinichukia Sana. Nilimwambia hv
"hakuna mtu asiyependa raha au maisha mazuri. Hapa duniani asilimia nyingi zimejaa shida sana kuliko raha"
Kipindi hicho tulikuwa chuo, tukawa tumeishiwa hela ya matumiz, siku ile tukala ugali bila mboga. Nikamwambia rafik yangu kwamba, kufa kuzuri wanao kufa hawajawah kurud tena.
Hii ina maana kama mtu alikuwa anakula ugali bamia dunian, vyovyote vile akifa akakuta hakuna chakula kizuri huko alikoenda lazma angekuwa amerudi, lakin kwa kuwa hajarud, Ina maana uko aliko kwenda kakuta chips kuku, na mapocho pocho mengi. Hawez kurud kwenye ugali bamia tn. Ndio maana hawarud.
So wanao kufa hawarudi kula ugali mlenda duniani.. yawezekana kwao wanakula pilau pilau tu. Na raha kama zootee.
Mm ata kwenye msiba sipendag neno wasemalo watu, " eti tunampumzisha marehem kwenye nyumba yake ya milele" hili neno Lina nipa shida. Unampumzishaje wakati yeye ndiye kajipumzisha na tayari kalala chaliiii.....? Wee jaman
Neno lingine ambalo linanisumbua kwenye misiba, eti " tunaenda kumzika au kumstili kwenye nyumba yake ya milele!
Hivi kweli jaman, nan anauhakika kwamba marehem hiyo ndiyo nyumba ya milele hatoweza kutoka tena? Eti tunamsitili ! Kivip??
Nyie mnalilia marehemu, maana yake mnampenda Sana, msingetaman ata kumzika, sasa unamsitili kivip. Naona Kama tunatumia ka lugha ka unafiki tu. Maoni yangu.
Hapa tungekuwa tunasema hivi. Jaman marehem tunampenda Sana, lakin badae atatunukia hivyo ngoja tumfukie kuepuka hewa chafu.
Naunga hoja mkono Mshana