Sanaa ya kifo

Hahaha kufa lazima siyo hiyari mkuu, ila kuna vimaneno vinatia moyo tu.
 
Ifike mahali usilete ujuaji wa kipuuzi Kama hujui tulia kinachokufa ni kile chenye roho...eti kiungo kinakufa hivi unajua nini maana ya kufanana lakini.. Kasome lahaja za lugha upate tofauti ya kufa na mauti




Ha ha ha ha ha daaah enheee!!
🙄
 
Simu yako hupatikani na juzi nilikuwa msata nikakucheki holaa
 
Kaka.nimekusoma
 
yaani kufa ni stage kivp??
navonua mm kufa ni ukomo wa maish ya mtu hap dunian
.ambapo hulal akisubili hukum ya siku za mwisho
kutok kwa Mola ikiwa alitenda mema atahukumiw kwa mem
vivo hvo na kwa mabaya
Maandiko matakatifu yanasema hakuna aliye mwema hata mmoja
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…