uhayawani wa kiumbe kiitwacho mwanadamu, mnyama hawezi kufanya haya...nini basi maana halisi ya maisha? Sanaa ya kifo ina mengi ya kutafakari...!kwanini kwenye maisha kuwe na vitu vya kuumiza kiasi hiki ? kwanini mmoja aishi maisha ya raha kuanzia kuzaliwa mpaka kifo wakati mwingine akiishi maisha ya mateso kuanzia kuzaliwa mpaka kifo? ??
Mkuu mshana na hapa ndo tunapojiuliza lile swali pendwa ambalo wengi hawapendi tujiulize wala tulifikirie.
Uweza, uwezo, busara hekima, huruma ukuu na uwepo wa Mungu.
Lama aiai wote ni Wake kwanini gaúcha haha yakatokea kwa wengine na wengine yasiwatokee
Mfano Maskini wa kutupwa na tajiri wa kutupwa ukimwi na kansa ajali za magari na matetemeko ya ardhi, ajali za moto.
Kuna mtu mmoja ni tajiri sana kila anachokiitaji hukupata ndani ya muda sahih,i hula vyakula mpaka anasaza na kutupa, ananunua magari ya kifahari, majengo, mavazi ya kila aina, na kuna uyu maskini wa kutupwa kabisa anakosa ela ya kununua panadol akiumwa, hawezi kujilipia pango la sehemu ya kuishi, anakosa chakula na anaishia kula majalalani vilivyotupwa na matajiri .
My take
Huwezi kusema kuwa eti Mungu ameumba ivyo ili kutupa funzo apana, coz uyu tajiri hakujichagulia kuwa nikizaliwa niwe tajiri apana hii coincdence ambayo ameikuta duniani na ivyo mungu hawezi kusema kuwa uyu mtu yeye akishafariki ndo atapata mateso yake kwa duniani alikula raha apana na vile vile kwa maskini hakujichagulia kuwa nikizaliwa duniani niwe maskini yeye amezaliwa akaikuta hii hali automatical na ivyo mungu hawezi kusema uyu maskini akisha kufa ndo atakula bata maana duniani aliteseka sana apana coz ata maskini hakuchagua kuwa tajiri ivyo huwez kumuadhibu maskina wala tajiri.
Sasa basi swali langu kwanini huyaacha haya yote yatokee nini faida na sababu zake apa duniani i.e kutuletea jiwe while he/she know atatufanya tuishi in starvations life