Sanaa ya kifo

Sanaa ya kifo

Umenikumbusha isis , al shababu, al quaida na bokoharamu wanavyojilipua na kuua watu wengine, kumbe huwa wanakuwa wamepata elimu hii ya kufanya mtihani na kufauli mapema
MKWEPA KODI ishu ya hao jamaa ni kwakuwa dunia imeingiliwa dunia imekuwa contaminated na kitu kimoja kibaya mno kuna habari zake kulihusu hilo nitakuja nazo lakini huu ni utabiri na hauna budi kutimia
 
Kwa muktadha ya matini yako kifo ni mtihani kwa maana ya jaribio.

Ila kifalsafa kuzaliwa au kufa ni ajali...
Ya kukutoa stage moja kukupeleka nyingine.
 
yaani kufa ni stage kivp??
navonua mm kufa ni ukomo wa maish ya mtu hap dunian
.ambapo hulal akisubili hukum ya siku za mwisho
kutok kwa Mola ikiwa alitenda mema atahukumiw kwa mem
vivo hvo na kwa mabaya
 
42b8b83cf66551f49a40c8a4086ea79f.jpg
uhayawani wa kiumbe kiitwacho mwanadamu, mnyama hawezi kufanya haya...nini basi maana halisi ya maisha? Sanaa ya kifo ina mengi ya kutafakari...!kwanini kwenye maisha kuwe na vitu vya kuumiza kiasi hiki ? kwanini mmoja aishi maisha ya raha kuanzia kuzaliwa mpaka kifo wakati mwingine akiishi maisha ya mateso kuanzia kuzaliwa mpaka kifo? ??
 
42b8b83cf66551f49a40c8a4086ea79f.jpg
uhayawani wa kiumbe kiitwacho mwanadamu, mnyama hawezi kufanya haya...nini basi maana halisi ya maisha? Sanaa ya kifo ina mengi ya kutafakari...!kwanini kwenye maisha kuwe na vitu vya kuumiza kiasi hiki ? kwanini mmoja aishi maisha ya raha kuanzia kuzaliwa mpaka kifo wakati mwingine akiishi maisha ya mateso kuanzia kuzaliwa mpaka kifo? ??
ni kweli mnyama ana huruma sana hasa kwa watoto...simba hata iweje hawezi kumla mtoto mdogo wa swala ama wa binadamu....nyoka hawezi kumgonga mtoto wa swala wala binadamu na watoto wa viumbe wengine...
 
ni kweli mnyama ana huruma sana hasa kwa watoto...simba hata iweje hawezi kumla mtoto mdogo wa swala ama wa binadamu....nyoka hawezi kumgonga mtoto wa swala wala binadamu na watoto wa viumbe wengine...
Binadamu pamoja na kujiita kiumbe aliyestaarabika lakini kiuhalisia hakuna hayawani kama yeye...hayawani kuzidi wanyama wote
 
Uko sahihi kabisa mshana ss sote ni wapitaji na tunaendelea na uuumbaji tuendako lakin inategemeana na uchaguz wet hapa duniani kweli, bwana mtu anaogopa kufa wakati n sehem ya daraja kenda ng'ambo
 
katka hili nna jambo la kusema kwa kawaida binafam hupenda kutunza kumbu kumbu hasa zile nzuri na za kuvutia ili apate furahi pindi anapoziona kumbu kumbu izo ila nashangaa utakuta msibani eti. kuna makamera yapo pale watu wanachukua picha
hivi kuna kipi kizuri pale wale watu wanaolia na kujuta au ule urembo. wa jeneza kuna vitu. wakuu havina mantiki na havipendez niliona ajabu eti makaburuni watu wameenda na maspika makubwa wanasikiliza kwaya zinagonga
kweli tunapaswa kufnya ufahari katika maisha yetu hasa mungu anapotutunuku ila kuna vitu havina maana hata kidogo. kufa hakupendez alokufa azikwe kwa heshima na sio ufahari ili tupate kwenda kusimulia mazishi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom