Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,019
- 828,777
- Thread starter
- #21
MKWEPA KODI ishu ya hao jamaa ni kwakuwa dunia imeingiliwa dunia imekuwa contaminated na kitu kimoja kibaya mno kuna habari zake kulihusu hilo nitakuja nazo lakini huu ni utabiri na hauna budi kutimiaUmenikumbusha isis , al shababu, al quaida na bokoharamu wanavyojilipua na kuua watu wengine, kumbe huwa wanakuwa wamepata elimu hii ya kufanya mtihani na kufauli mapema