Samsung Galaxy A10, 20, 50, 90

 
mie ninataka kununua S7 edge lakini naona version yake ya android ni ya muda
 
Chief mkwawa vipi Mi A3 kwa upande Wa games iko poa??
 
Chief-Mkwawa unachomeka cable charging
Charging 90% (Approximately 1 minutes until full charged) hili tatizo ni nini.
 

kwa uelewa wangu mm ...hizo cm sio main line ya samsung ni BUDGET phones by samsung kwaajili ya kushindana na chinese market ....kumbuka mwaka jana kama skosei ...kwenye top5 ya wauzaj wa cm nying duanian china ilikua na 3 companies ...which wanafanya vizur sana kwa india ..Africa na some european parts na marekan kdogo ...since mchina yy ana tengeneza these flagship phones at a very low price na kuuza sana kwenye hayo maeneo Samsung akaona asibaki nyuma ndio akatoa izo A SERIES n in some extent kaingia sokoni

but still S SERIES NA NOTE SERIES ..ndio main line ya samsung na kwenye hizo line Samsung puts its A game n go agressive ...but izo budget Aseries ni mostly wame base kwenye looks though perfomance zake ni za kawaida ...n some camera pia ni kawaida so ni BUDGET phones the best line ni S series na Note series


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama naweza kuaccess email zangu, kupiga simu, whatsapp call etc kwa hivyo tosha sanaaaa...mimi sijui pixel za camera sijui nini havinihusu maana mie sio mpiga picha
 
Nipo na A70 hapa hata sijutii aisee charge inakaa mda mrefu aisee kioo kizurii hapa naina raha ya simu japo ki redm note 4 changu bado nakihusudu
 
Mkuu jaribu kutumia 3rd party camera yoyote search play store camera.

Pia angalia Kama hujaziba camera na protector
Kuna Samsung m30s hii ikoje kiongozi sababu inaonekana ina specifications nzuri kiasi. Inafaa kununua na bei zake kwa bongo zikoje
 
Kuna Samsung m30s hii ikoje kiongozi sababu inaonekana ina specifications nzuri kiasi. Inafaa kununua na bei zake kwa bongo zikoje
Hii haiuzwi huku kwetu ni ya kuagizishia nje. Ukiikuta huku ni mtu ameitoa nje na bei zake zinakuwa kubwa.

Ni simu nzuri kama ukaaji chaji ni kitu muhimu zaidi kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…