Rais Samia: Tunaandaa mradi wa kuomba hela za kujenga stendi. Hayati Magufuli asingethubutu kusema kitu cha kujitweza utu wetu namna hiyo... never!

Kwameh

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
1,769
2,087
Akiwa anajibu kero za wananchi kuhusu stendi ya Arusha, Rais Samia Hassan leo amesema "Kuna mradi tunaundaa wa kuomba hela hizi za stendi, tukipewa tuna nia maeneo mengi yawe na stendi za kisasa"

____________________________________________

Magufuli anabiringika kaburini.

Tulikuwa tunaambiwa tembeeni kifua mbele, sisi ni matajiri, na kama ni kukopwa hela wanazileta wenyewe, hatuombi.

Sasa tutatembea vichwa chini mbele ya dunia.

Mpaka stendi tunaomba hela.

Hivi stendi ya Mbezi tulipata wapi hela?

Inasikitisha kupita maelezo jinsi awamu hii inavyotutweza utu wetu. Tunarudi kule kule kwenye kuishi kwa kuomba omba kwa enzi za bwana yule wa Bagamoyo.


 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Huu ndio ukweli , jamaa alikuwa muongo ni balaa, ameicha nchi kwenye umasikini mkubwa, na Kama Ange kaa miaka kumi , vazi la Taifa lingekuwa ni kaniki
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.

Katika miaka kumi ya utawala wa awamu ya nne, kwa taarifa hiyo, deni liliongezeka kwa $ 11 bilioni. Swali la kujiuliza "hilo deni lilitumika kufanya nini?" Vivyo hivyo tujiulize deni, katika utawala wa awamu ya tano, liliongezeka maradufu ($12 bilioni), ndani ya miaka 5, limetumikaje? Je, awamu ya sita tunakopa kwa ajili ya nini?
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
Na wewe ni yatima au mjane wa Sukuma gang?

Mama Samia ni yeye mpaka 2040 elewa hili kwanza ili usipate kisukari bure.
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Huo ndo ukweli, mwendazake aliwajaza watanzania propaganda, akaminya vyombo vya habari vikawa vikimsifu pasipo kusema ukweli

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
 
Achana na habari ya Magufuli, huyu 'Maza Mizinguo' ni mzinguaji kweli kweli!

Sasa anakwenda kuomba hela wapi?

Hata hivi vi-stendi tu navyo mpaka twende kupiga magoti? Miaka sitini baada ya kujitawala wenyewe? Sisi tunaweza kitu gani!
India/Pakistani kwa umri wa miaka chini ya 40, tayari walishakuwa na mabomu ya nuklia, sisi hata mashimo ya vyoo rais anakwenda kuomba hela!

Matokeo ya misimamo ya aina hii utaiona tu muda sio mrefu. Tumekuwa 'cheap' sana.

EeeeenHeeee, nakumbuka ile safari ya New York na jinsi tulivyoshushuliwa na wakubwa wa huko!

Waziri anakwenda kuweka kambi kabisa, lakini wapi, hakuambulia chochote. Sasa wanatutazama tu jinsi tunavyohangaika huku wakitupangia arobaini za kutuweka dole.

Hovyo kabisa!
Unajua hali ya kimaisha ya raia wa kawaida wa India na Pakistan? Hao jamaa wakipata hata nafasi ya kuja hapo TZ hawakubali tena kurudi kwao! Korea Kaskazini wana kila aina ya bomu, wanajenga na Nyuklia pia lakini asilimia kubwa ya wananchi wake wanashindia mlo mmoja! BTW hakuna nchi isiyokopa au kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine! Kutawala ingekuwa ni majaribio natamani nyie watu mngepewa miaka 5 muongoze hii nchi tuone hizo "akili kubwa" zenu
 
Huo ndo ukweli, mwendazake aliwajaza watanzania propaganda, akaminya vyombo vya habari vikawa vikimsifu pasipo kusema ukweli

Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app

Kama hoja yako ni sahihi, basi wa kulaumiwa ni Watanzania (wewe pia) na vyombo vya habari kukubali kulishwa matango pori na mtu mmoja tu. Kama ni hivyo, basi Magufuli alikuwa mwamba na "genious".

Lakini kwangu mimi na wenye mawazo kama yangu, Magufuli alikuwa mkweli, alijiamini na mwenye "utashi wa kisiasa" (uzalendo) wa hali ya juu, kiasi alifanikiwa kuwafanya WaTz kujiamini. Ushahidi ni maendeleo ya nchi, katika sekta zote (huduma za jamii na miradi ya kimkakati), kwa kipindi kifupi, bila kutoka nje ya nchi kutembeza bakuli la omba omba.
 
Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?

Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.

Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.

All News

List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org

Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction

Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African

Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
countryeconomy.com

Tanzania National Debt 2015


countryeconomy.com

Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Na sisi wa mkoa wa Kagera hatuna stendi wala soko la kisasa. Tukumbukwe jamani mkoa huu unapakana na nchi 3 lkn stendi na soko ni zilizorithiwa kutoka kwa wakoloni. Over 50years ago!! Kwanini?
 
JPM alikuwa haelewi chochote. Ndo mana alikuwa anakomba hazina yote inabaki empty mpaka anakosa hela za kupandisha mishahara yawatumisi, ajira hakuna mpaka anafikia hatua ya kujazamachnga barabarani kisa ameshaona ameharibu angalau ngoja liende tu hivyohivyo.

Alifikia hatua yeye mwenyewe hajuu ashuke lipi aache lipi. Anapuyanga tu huku maisha yakiendelea kuwa magumu.

Watu wenye akiri hukopa navkukiri kuwa we ni maskini pasipo kujimwambafy wakati unajua kabisa huna lolote ila unawaumiza tu wananchi

Nina wasi wasi atakuwa alijinyonga baada ya kuona ubabe wake hauna msaada jamii inazidi kulia na kusaga meno. Sema kama huna hela wakuidie katika famulia siyo unajigamba una hel wakati watoto wako wanakufa kwa kwashiokor na hunali ilimradi unaweka heshima bar
 
Unajua hali ya kimaisha ya raia wa kawaida wa India na Pakistan? Hao jamaa wakipata hata nafasi ya kuja hapo TZ hawakubali tena kurudi kwao! Korea Kaskazini wana kila aina ya bomu, wanajenga na Nyuklia pia lakini asilimia kubwa ya wananchi wake wanashindia mlo mmoja! BTW hakuna nchi isiyokopa au kusaidiwa kwa namna moja ama nyingine!! Kutawala ingekuwa ni majaribio natamani nyie watu mngepewa miaka 5 muongoze hii nchi tuone hizo "akili kubwa" zenu
Usiseme unatamani wakati mnaibaga kura kila wakati. Acheni kuibakura muone tutakavyowaonesha uongozi ulio makini
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
 
Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.

Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
Tueleze dola bilioni 11 zilitumikaje na dola bilioni 12 zikitumikaje.

Kumbuka wakati wa bilioni 11 tetesi za akaunti za nje zilizoficha fedha za mangumashi zilikuwa nyingi, lakini wakati wa bilioni 12 hizi tetesi mbona hatuzisikii?
====
Acheni kufukua makabuli.
 
Magufuli alikuwa MWONGO na akasababisha hata wa chini yake kuwa waongo. Na hata alipokufa tuliendelea kuambiwa uwongo na Majaliwa kuwa yuko ofsini anapitia mafaili.

Rais SSH endelea kuwa mkweli, penye hatuna pesa ongeza tozo au kakope, period
Anakopa yeye tunalipishwa sisi tunao pigwa virungu na kuswekwa jela kisa ni wapinzani.
 
Lakini hivi kijenga sten yq billion 20 tunashindwa hadi tukqombe mkopo wakati makusanyo ni trillion 1.6 mwa mwezi
Kuna tetesi kuwa kuna systema JPM (R.I.P) alitengenezewa yakuangalia performance ya ukusanyaji mapato na utekelezaji wa miradi pamoja na transactions zake nchini at any time t.

Sina hakika kama system hiyo ipo active kama tetesi ni za kweli.
 
Back
Top Bottom