Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Alafu kwenye hotuba zake anatuambia kuwa ni fedha zetu za ndani.Hivi kuna raisi WA tz aliyekopa hela nyingi Kwa muda mfupi kama Rais Magufuli?
Pitia hotuba ya Dr mpango 2019 kuhusu deni la Taifa akituambia kuwa linavumilika Kwa sababu inawekezwa kwenye miradi ya maendeleo.
Four reasons why Tanzania’s national debt is surging
Finance and Planning minister, Dr Philip Mpango has said new loans secured by the government during implementation of mega projects was among the four reasons that has contributed to increase of...www.thecitizen.co.tz
Mpaka sasa Magufuli anashikiria rekodi ya kukopa pesa nyingi kuliko raisi yoyote Tanzania katika kipindi kifupi.
Angalia mikopo serikali ya Magufuli iliyokopa world Bank.
All News
List of all news about the World Bank’s development work in Tanzania, including press releases, loans and credits, speeches, blog posts, and more.
www.worldbank.org
Standard gauge ela imekopwa Kwa mabeberu Sweden na Norway kupitia standard chartered Bank.
Tanzania signs $1.46 billion loan for standard gauge railway construction
Mpaka mwaka 2020 deni la Taifa lilifika Zaid ya shilling trilioni 70 Sawa na 54% ya uchumi wetu.
Tanzania's debt surging, but government says it’s still sustainable | The East African
Wakati mtangulizi wake alikuwa deni la Taifa mwaka 2005 ni Dola bilioni 7 ndani ya miaka 10 deni la Taifa likaongezeka mpaka dola bilioni 18,2015 yaani ongezeko la Dola bilioni 11.
Wakati raisi Magufuli deni la Taifa lilifika Dola bilioni 30.63, ongezeko la bilioni 12 ndani ya miaka mitano Tu.
Tanzania National Debt 2015
countryeconomy.com
Tz ni nchi masikini sana na tupo ndani ya nchi 33 masikini zaidi duniani Kwa kuzingatia GNI per capita, kutembeza bakuli hakuepukiki. Karibu miradi yote ya Magufuli imejengwa Kwa pesa za mkopo.
Ni mahera yetu maana sisi ni matajiiiiriiii sana.