Rais Samia: Serikali inaandaa mradi mahususi wa kuomba fedha ili kufanikisha ujenzi wa Stendi mpya za kisasa

Mpinzire

JF-Expert Member
Jan 18, 2013
7,219
12,933
Rais Samia ameyasema hayo akiwa Jijini Arusha huku akisema atajemga stendi kubwa na za kisasa kama ilivyokuwa awamu ya 5.

---
AIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inaandaa mradi mahususi wa kuomba fedha ili kufanikisha ujenzi wa stendi mpya za kisasa katika miji na majiji.

“Tutakapo zipata tunania maeneo mengi ya majiji na miji kuwe na stendi za kisasa kama tulivyo anza katika awamu ya tano,” amesema Rais Samia wakati akitolea ufafanuzi hoja zilizojitokeza katika mkutano wake na Wananchi wa Arusha akiwa katika ziara yake mkoani humo.

Rais Samia ametolea mfano stendi ya mabasi ya Arusha akisema ni jukumu la halmashauri kukamilisha kila kitu ukiwemo mchoro ili serikali ipitishe fedha kupitia TAMISEMI. Stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi Dar es Salaam ni moja ya stendi za kisasa zilizojengwa kipindi cha utawala wa awamu ya tano. Stendi nyingine ni Dodoma na Morogoro.
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwa Jijini Arusha huku akisema atajemga stendi kubwa na za kisasa kama ilivyokuwa awamu ya 5.

---
AIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inaandaa mradi mahususi wa kuomba fedha ili kufanikisha ujenzi wa stendi mpya za kisasa katika miji na majiji.

“Tutakapo zipata tunania maeneo mengi ya majiji na miji kuwe na stendi za kisasa kama tulivyo anza katika awamu ya tano,” amesema Rais Samia wakati akitolea ufafanuzi hoja zilizojitokeza katika mkutano wake na Wananchi wa Arusha akiwa katika ziara yake mkoani humo.

Rais Samia ametolea mfano stendi ya mabasi ya Arusha akisema ni jukumu la halmashauri kukamilisha kila kitu ukiwemo mchoro ili serikali ipitishe fedha kupitia TAMISEMI. Stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi Dar es Salaam ni moja ya stendi za kisasa zilizojengwa kipindi cha utawala wa awamu ya tano. Stendi nyingine ni Dodoma na Morogoro.
Binafsi naona badala ya kujenga mastendi wangeendeleza ujenzi wa barabara za mijini kama mradi wa TACTIC, barabara zinajengwa na taa zake.

Stendi ni wizi tuu,kuingia hela
 
1)unganisha barabara za mikoa yote kwa lami
2)hakikisha wananchi wote wanapata maji safi na salama kupitia mabomba nyumbani kwao
3)umeme wa uhakika
4) toa ajira pia ongeza mishahara
5) wekeza katika utafiti wa kina juu ya sayansi na tecnolojia


then jenga sása hizo stand za kisasa na mambo mengine
 
Rais Samia ameyasema hayo akiwa Jijini Arusha huku akisema atajemga stendi kubwa na za kisasa kama ilivyokuwa awamu ya 5.

---
AIS Samia Suluhu Hassan amesema serikali yake inaandaa mradi mahususi wa kuomba fedha ili kufanikisha ujenzi wa stendi mpya za kisasa katika miji na majiji.

“Tutakapo zipata tunania maeneo mengi ya majiji na miji kuwe na stendi za kisasa kama tulivyo anza katika awamu ya tano,” amesema Rais Samia wakati akitolea ufafanuzi hoja zilizojitokeza katika mkutano wake na Wananchi wa Arusha akiwa katika ziara yake mkoani humo.

Rais Samia ametolea mfano stendi ya mabasi ya Arusha akisema ni jukumu la halmashauri kukamilisha kila kitu ukiwemo mchoro ili serikali ipitishe fedha kupitia TAMISEMI. Stendi kuu ya Mabasi ya Magufuli iliyopo Mbezi Dar es Salaam ni moja ya stendi za kisasa zilizojengwa kipindi cha utawala wa awamu ya tano. Stendi nyingine ni Dodoma na Morogoro.
Hatukuzoea maneno mengi Bali vitendo
 
Back
Top Bottom