Uchaguzi 2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

Ccm imebaki kutegemea wizi. Na tunajua mmebaki na karata moja tu ya wizi kwa kuwafykuza mawakala

This isn’t a new excuse. Tafuteni excuses mpya, kwa sababu muda bado mnao!

By the way, mimi sina chama tangu mfumo wa vyama vingi ulipoanza, lakini wapinzani siwataki kwa sababu wamekosa consistent strategy ya kutupatia a viable alternative leadership.
 
Kuleta machafuko ndiyo mtaji pekee mliobaki nao. Na hiyo ni political suicide kwa watu wanaotafuta kuungwa mkono!
Kama hakuna uchaguzi huru machafuko ni option B dunia mzima kuelekea demokrasia ya kweli.weka mawakala wasimamie kura zijumlishwe mshindi halisi atangazwe nani awaze machafuko?mbona kura za maoni ccm hakukuwa na machafuko
.Tugawane mbao kama tumeshindwa kuheshimu kuishi kama buti.SAFARI HII HATUMUACHII MUNGU
 
Kama hakuna uchaguzi huru machafuko ni option B dunia mzima kuelekea demokrasia ya kweli.weka mawakala wasimamie kura zijumlishwe mshindi halisi atangazwe nani awaze machafuko?mbona kura za maoni ccm hakukuwa na machafuko
.Tugawane mbao kama tumeshindwa kuheshimu kuishi kama buti.SAFARI HII HATUMUACHII MUNGU

Ungejua unawaza na kuandika haya yote kwa sababu ya amani iliyopo, usingejaribu hata kuwaza hicho unachowaza! Mbaya zaidi, ndugu yako au wewe mwenyewe utavunjwa mguu au kupoteza maisha kwa sababu ya maslahi binafsi ya vibaraka fulani.
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura
 
Ungejua unawaza na kuandika haya yote kwa sababu ya amani iliyopo, usingejaribu hata kuwaza hicho unachowaza! Mbaya zaidi, ndugu yako au wewe mwenyewe utavunjwa mguu au kupoteza maisha kwa sababu ya maslahi binafsi ya vibaraka fulani.
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani kabsa na kibaya zaidi hakuna haki mbele ya CCM kutwa wapinzani kubambikiwa kesi
 

Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.

Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.

Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Samia dishi limeyumba! Si kwa matamshi haya! Kila siku anajivunjia mwenyewe heshima.
 
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani kabsa na kibaya zaidi hakuna haki mbele ya CCM kutwa wapinzani kubambikiwa kesi

Hongera sana kwa kuandika paragraph nzima pasipokuwa na amani. Wewe kweli ni kamanda!
 
Hapo wametishiwa ama wameambiwa ukweli. Hakuna kampeni za kipindi cha miaka ya nyuma tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi ambapo CCM ina umaarufu na kukubalika kwa Watanzania kama 2020. Hayati Nyerere alihangaika sana kumbeba Hayati Mkapa. Mama huyu Makamu wa Rais anajionea kwa macho yake, kwa nini asiwaambie ukweli watu wa aina ya kwako na Lissu?
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
 
Back
Top Bottom