Pulchra Animo
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 3,398
- 2,990
Ni kweli kama tulivyo wengi tofauti na wewe
Ni vizuri umelielewa hilo!
Ni kweli kama tulivyo wengi tofauti na wewe
Hivi kauli hii ya hovyo ya huyu mama haina adhabu kwenye kamati ya maadili ?
Unaji contradict.Vuta subira; baada ya uchaguzi utajua kama zilikuwa fair au hazikuwa fair!
Ccm imebaki kutegemea wizi. Na tunajua mmebaki na karata moja tu ya wizi kwa kuwafykuza mawakala
Unaji contradict.
Hujajibu hoja yangu.Hakuna contradiction hapo. Nakuambia wewe uvute subira kwa sababu umekuwa kama Tomaso!
Tofauti na nyuma saizi tutakuwa na msiba wote sio wapinzani tu .mark this
Hujajibu hoja yangu.
Subira si jibu la swali langu.
Unajionesha huna jibu.
Kama hakuna uchaguzi huru machafuko ni option B dunia mzima kuelekea demokrasia ya kweli.weka mawakala wasimamie kura zijumlishwe mshindi halisi atangazwe nani awaze machafuko?mbona kura za maoni ccm hakukuwa na machafukoKuleta machafuko ndiyo mtaji pekee mliobaki nao. Na hiyo ni political suicide kwa watu wanaotafuta kuungwa mkono!
Kama hakuna uchaguzi huru machafuko ni option B dunia mzima kuelekea demokrasia ya kweli.weka mawakala wasimamie kura zijumlishwe mshindi halisi atangazwe nani awaze machafuko?mbona kura za maoni ccm hakukuwa na machafuko
.Tugawane mbao kama tumeshindwa kuheshimu kuishi kama buti.SAFARI HII HATUMUACHII MUNGU
Madhara ya elimu bure ndo haya
CCM bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm bila uchakachuaji bila wizi wa kura
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani kabsa na kibaya zaidi hakuna haki mbele ya CCM kutwa wapinzani kubambikiwa kesiUngejua unawaza na kuandika haya yote kwa sababu ya amani iliyopo, usingejaribu hata kuwaza hicho unachowaza! Mbaya zaidi, ndugu yako au wewe mwenyewe utavunjwa mguu au kupoteza maisha kwa sababu ya maslahi binafsi ya vibaraka fulani.
Samia dishi limeyumba! Si kwa matamshi haya! Kila siku anajivunjia mwenyewe heshima.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.
Tanzania hakuna Amani kuna kisiwa cha uvumilivu tu hakuna Amani kabsa na kibaya zaidi hakuna haki mbele ya CCM kutwa wapinzani kubambikiwa kesi
Usijali, serikali ya Chadema ya mwaka 2055 itabadilisha.hizi shule za kata ni balaa sana !
Hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kuraHapo wametishiwa ama wameambiwa ukweli. Hakuna kampeni za kipindi cha miaka ya nyuma tangu kuanza kwa mfumo wa vyama vingi ambapo CCM ina umaarufu na kukubalika kwa Watanzania kama 2020. Hayati Nyerere alihangaika sana kumbeba Hayati Mkapa. Mama huyu Makamu wa Rais anajionea kwa macho yake, kwa nini asiwaambie ukweli watu wa aina ya kwako na Lissu?
Ya 2020-2025Usijali, serikali ya Chadema ya mwaka 2055 itabadilisha.