Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,200
- 27,255
Huk uwezo wa kumzingua hamna. Mzingueni kwanza mbowe mwenyekiti pesaHatua aliyofikia lazima tumpongeze akizingua na sisi tutamzingua uzuri anajua mziki wa CDM
Huk uwezo wa kumzingua hamna. Mzingueni kwanza mbowe mwenyekiti pesaHatua aliyofikia lazima tumpongeze akizingua na sisi tutamzingua uzuri anajua mziki wa CDM
Huk uwezo wa kumzingua hamna. Mzingueni kwanza mbowe mwenyekiti pesa
Sawa for our own seek upasei kuwashwa si mtulie ili chama chetu life then mselebrate mbona mnateseka?Ha ha ha ha, vigeu geu.
Nateseka na nini ?Sawa for our own seek upasei kuwashwa si mtulie ili chama chetu life then mselebrate mbona mnateseka?
Ukitaka kuijua tabia ya mtu, subiri apate hela au nafasi.
Mgombea mwenza wa Urais kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi, (CCM), Mh. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 15/10/2020 amewambia wakazi wa Chunya mkoani Mbeya kuwa wasipige kura kwa Chama Kingine kwa sababu hata wakipiga kwingine Chama Cha Mapinduzi kinaenda kuunda serikali.
Amesisitiza kuwa watashinda vikubwa sana Tanzania, na amefananisha kupigia kura kwa chama kingine kama kitendo cha kumwaga sukari Ziwa Viktoria na kutegemea maji yatakuwa matamu, ambacho ni sawa na kupoteza sukari yako.
Mh. Samia amesisitiza kuwa maendeleo watakayoyaleta sio kwa wana CCM peke yake na wale ambao hawatokipigia Chama Cha Mapinduzi basi kura yao itawasuta pale watakapokuwa wanaletewa maendeleo.