Tumpongeze rais Mama Samia kwa kuwa na ujasiri wa kulisemea hili.
Hii ni 180° tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa akiwamwagia sifa wasizokuwa nazo kinyume cha matarajio ya wengi.
Taasisi isiyokubalika kwa kiwango hiki ni ya nini? Kwanini taasisi hii isivunjwe ikasukwa upya na ikibidi ikaanza na watu wapya?
Kwanini kuendelea kuwalea madhulumati hawa wanaojulikana kana kwamba hawajulikani?
--------
Source: Rais Samia aichambua magereza, jeshi la polisi ‘linavyonyooshewa kidole’
Hii ni 180° tofauti na mtangulizi wake aliyekuwa akiwamwagia sifa wasizokuwa nazo kinyume cha matarajio ya wengi.
Taasisi isiyokubalika kwa kiwango hiki ni ya nini? Kwanini taasisi hii isivunjwe ikasukwa upya na ikibidi ikaanza na watu wapya?
Kwanini kuendelea kuwalea madhulumati hawa wanaojulikana kana kwamba hawajulikani?
--------
Source: Rais Samia aichambua magereza, jeshi la polisi ‘linavyonyooshewa kidole’