Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,060
Hahah...mi siyo mchakachuzi..kongosho ndiye anaongoza katika hii fani ya kuchakachua thread za watundo umeanza kuchakachua kiaina ee
Hahah...mi siyo mchakachuzi..kongosho ndiye anaongoza katika hii fani ya kuchakachua thread za watundo umeanza kuchakachua kiaina ee
Licha ya kwamba binafsi nimekusamehe, bado najiuliza nikusame vipi kwa kuniongopea?Ni leo tu ndiyo nimegundua kuwa kuna member alianzisha thread ya debate juu ya tofauti kati ya maisha ya mjini na yale ya kijijini. Naomba nichukue fursa hii kuomba msamaha kwa mashabiki wangu wote ambao (bila shaka) mlihisi kuwa nimewaangusha.
Aliiona thread, akaja akamwaga mitusi akatokomea, sasa eti anajidai kaiona leo, alitakiwa uomba msamaha kwa vyote, awe mkweli ili asamehewe kwa yote, yani kutukana na kuingia mitini...ki ukweli mimi binafsi nilisikitika sana....kitendo cha wewe Mwita25(the famous) kuingia mitini.....
lakini kwa sababu umeomba radhi......sina hiyana.........
Nitakuletea pamoja na mbege ya kutosha.. Kuna wazee hapa wamenipa ramani sehemu ya kupata mbege nzurii.
X-mass wewe waisherehekea wapi?
Hahah...mi siyo mchakachuzi..kongosho ndiye anaongoza katika hii fani ya kuchakachua thread za watu
Nikikuita kafiri utafurahi? Sometimes wenyewe huwa mnapenda tuwaite kwa majina msiyoyapenda.
niko hapa meeda sinza, nala kimya kimya
Leo tunakesha au? Tuwe pamoja plzz!niko hapa meeda sinza, nala kimya kimya
Nikikuita kafiri utafurahi? Sometimes wenyewe huwa mnapenda tuwaite kwa majina msiyoyapenda.
mbona unataka kudanganya mchana kweupe.. nimeona kule kwenye sredi yenyewe ulikuwa mtu wa mwanzo mwanzo kuchangia. sas mbona unasema ndo kwanza umeiona.Ni leo tu ndiyo nimegundua kuwa kuna member alianzisha thread ya debate juu ya tofauti kati ya maisha ya mjini na yale ya kijijini. Naomba nichukue fursa hii kuomba msamaha kwa mashabiki wangu wote ambao (bila shaka) mlihisi kuwa nimewaangusha.
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.
Pelekeni upumbavu wenu huko nyie vilaza mnaotaka kuigilizia maneno ya kiingereza kutoka kwa wenzenu. Narudia tena wewe uliyeniweka kwenye debate yako ya kiboya una matege ya ubongo na nakushauri peleka uchafu wako kwa vichaa wenzako pale hospitali ya Mirembe. Naona unajisikia kukunwa upele wako wa kila mara unapoamua kuanzisha thread kwa kutumia jina langu siyo? Pu%@=€ffffffffff
Leo tunakesha au? Tuwe pamoja plzz!
Aaah..pamoja na jitihada zangu zote nimeshindwa kukukip alive! Haya dia, pumzika salama! Mimi naendelea kukeshatukeshe
ila niombee beseni na maji ya barafu na ice cubes niloweke miguu