chrislaulent
Member
- Apr 21, 2017
- 9
- 14
Za siku nyingi wana JamiiForums, natumaini mu wazima.
Naomba nitoe shukrani zangu kwa JF kwa maada mbalimbali zimekuwa zinasaidia sana, mimi si mtoa maada sana ila msomaji mzuri.
Niende kwenye point. Siku ya leo, nilipigiwa simu na ndugu yangu kwenye ukoo huku Mwanza kuwa ana mchongo kwa kibiashara wa hela na hvyo hawezi niacha mimi nyuma.
Hivyo kwakuwa ninaheshimiana naye ilibidi niitikie wito, na nilivyofka eneo la tukio na kama nyumba ya mtu ambayo imekodiwa kwa ajili ya mafunzo hayo, ambayo na mimi nnaenda kuyapokea.
Nlkutana na vijana wengi wengine wakidai wao ni madoctor Bugando na wengne wako chuo Bugando na baadhi ya watu mbalimbali kadri ya walivyojitambulisha.
Shida ilianza kweny mafunzo yenyewe ya Q-net kwasababu siasa zilikuwa nyingi kuhusu mwaka ilipo anzishwa, mara udhamini na Man City na kuwatengezea special order ya saa wachezaj wa Man City pia udhamini wa CACFL yote hayo ni kutaka kuniaminisha kuwa kinacho endelea ni kizuri.
Walianza sema natakiwa niwe na mtaji wa MILION 6 ili na mimi niungwe kwenye network nianze kupiga pesa hapo ndipo akili ikaanza kucheza na kukumbuka baadhi ya thread za JF kuhusu kalinda.
Nimewakubalia na nimejaza fomu ila sijalipia hela yoyote kwanza ili nije nijihakikishie kwenye page ya JF.
Nashukuru kwa niliyo yapata hapa ingawa yalipostiwa nyuma kidogo ila yamenifungua sana.
Ila huruma ni kwa ndugu yangu kwasababu yeye ameshapigwa na ni mtoto wa kike amemaliza chuo mwaka jana ila ame-manage kupata MILION 3 ili kujiunga na hiyo kitu.
Nilichopanga nitaongea naye tu ila sijui kama atanielewa kwasababu ameaminishwa sana mpaka kufikia hatua ya kupelekwa kwa baadhi ya watu wanaosimamia hyo Q-net huku MWANZA-NYAHINGI kwenye nyumba zao na wanaishi na familia zao kabisa na kumuonesha yeye na baadhi ya vijana wengne yale wao hao watu waliyo yapata kupitia Q-net.
Ninatamani niandike zaidi ila naomba niishie hapa na NINAWAOMBENI SANA SANA WANA JF MSICHOKE KUELEKEZA WATU kwasababu vijana wapya wanaingia mjini na utapeli upo.
Naomba nitoe shukrani zangu kwa JF kwa maada mbalimbali zimekuwa zinasaidia sana, mimi si mtoa maada sana ila msomaji mzuri.
Niende kwenye point. Siku ya leo, nilipigiwa simu na ndugu yangu kwenye ukoo huku Mwanza kuwa ana mchongo kwa kibiashara wa hela na hvyo hawezi niacha mimi nyuma.
Hivyo kwakuwa ninaheshimiana naye ilibidi niitikie wito, na nilivyofka eneo la tukio na kama nyumba ya mtu ambayo imekodiwa kwa ajili ya mafunzo hayo, ambayo na mimi nnaenda kuyapokea.
Nlkutana na vijana wengi wengine wakidai wao ni madoctor Bugando na wengne wako chuo Bugando na baadhi ya watu mbalimbali kadri ya walivyojitambulisha.
Shida ilianza kweny mafunzo yenyewe ya Q-net kwasababu siasa zilikuwa nyingi kuhusu mwaka ilipo anzishwa, mara udhamini na Man City na kuwatengezea special order ya saa wachezaj wa Man City pia udhamini wa CACFL yote hayo ni kutaka kuniaminisha kuwa kinacho endelea ni kizuri.
Walianza sema natakiwa niwe na mtaji wa MILION 6 ili na mimi niungwe kwenye network nianze kupiga pesa hapo ndipo akili ikaanza kucheza na kukumbuka baadhi ya thread za JF kuhusu kalinda.
Nimewakubalia na nimejaza fomu ila sijalipia hela yoyote kwanza ili nije nijihakikishie kwenye page ya JF.
Nashukuru kwa niliyo yapata hapa ingawa yalipostiwa nyuma kidogo ila yamenifungua sana.
Ila huruma ni kwa ndugu yangu kwasababu yeye ameshapigwa na ni mtoto wa kike amemaliza chuo mwaka jana ila ame-manage kupata MILION 3 ili kujiunga na hiyo kitu.
Nilichopanga nitaongea naye tu ila sijui kama atanielewa kwasababu ameaminishwa sana mpaka kufikia hatua ya kupelekwa kwa baadhi ya watu wanaosimamia hyo Q-net huku MWANZA-NYAHINGI kwenye nyumba zao na wanaishi na familia zao kabisa na kumuonesha yeye na baadhi ya vijana wengne yale wao hao watu waliyo yapata kupitia Q-net.
Ninatamani niandike zaidi ila naomba niishie hapa na NINAWAOMBENI SANA SANA WANA JF MSICHOKE KUELEKEZA WATU kwasababu vijana wapya wanaingia mjini na utapeli upo.