Kumbe unapenda ligi?
Kukaa kwako kimya tulidhani umeamua kuwa na busara. Lakini sasa hapa unaleta tena hisia tofauti.
Nikikuita kafiri utafurahi? Sometimes wenyewe huwa mnapenda tuwaite kwa majina msiyoyapenda.Niombe radhi kwa kunilinganisha na muislamu.
Kongosho my dia..hii ni name calling.kumbe Rejao = Mwita25
Unaomba msamaha kwa kukacha kushiriki mdahalo au kwa ile lugha uliyokuwa unaitumia, hasa kwenye posts za mwanzo mwazno kwenye ule mjadala?Ni leo tu ndiyo nimegundua kuwa kuna member alianzisha thread ya debate juu ya tofauti kati ya maisha ya mjini na yale ya kijijini. Naomba nichukue fursa hii kuomba msamaha kwa mashabiki wangu wote ambao (bila shaka) mlihisi kuwa nimewaangusha.
Niombe radhi kwa kunilinganisha na muislamu.
ndo umeanza kuchakachua kiaina eeKongosho my dia..hii ni name calling.
Vp X-mass yako?
Wewe uliyeanzisha thread kwa kutumia jina langu ni mpuuzi, mjinga na punguwani. Una mawazo mgando yaliyochanganyika na chembechembe za uwendawazimu. Ni kinara wa wodi ya vichaa ya hospitali ya Mirembe na hustahili kukabidhiwa kutunza hata kijiko kwasababu utakitafuna.
Ni leo tu ndiyo nimegundua kuwa kuna member alianzisha thread ya debate...
Niombe radhi kwa kunilinganisha na muislamu.
Nikikuita kafiri utafurahi? Sometimes wenyewe huwa mnapenda tuwaite kwa majina msiyoyapenda.
Kongosho my dia..hii ni name calling.
Vp X-mass yako?
Nitakuletea pamoja na mbege ya kutosha.. Kuna wazee hapa wamenipa ramani sehemu ya kupata mbege nzurii.nilitaka unisemeshe
nimekuchokoza makusudi
uru hawajambo?
Kisusio usisahau kuniletea
wanajuana kwa vilemba hao,,,hapa wanataka kuleta ligi ya udini tumewashtukia hatuchangii...ukitaka kuwajua kuwa ni ndugu moja anzisha thread ya kukandia magamba utawaibua fasta na ami yao ff,balantanda ,kishongo ,waberoya etckumbe Rejao = Mwita25