tobaa..! tatizo umekariri migomo myengine sio mpaka utikise bahari no unapita chini kwa chini ila madhara yake mtaisoma tu!Uko wapi huo mgomo????
Mkigoma tutawafukuza wote na kuajiri wapya. Mtaani kuna idadi sawa na muliopo serikalini. Leteni mchezo sasa.
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!
hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!
Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah!
Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Hakuna mgomo. Narudia tena hakuna mgomo. Mgomo baridi??tobaa..! tatizo umekariri migomo myengine sio mpaka utikise bahari no unapita chini kwa chini ila madhara yake mtaisoma tu!
Ni wachache sana watakao elewa hii lugha yakoNawewe jiulize. Walimu wanalipwa ?
Serikali Ina pretend kulipa walimu
Na walimu wana pretendi kufanya kazi
Walimu wa bongo bado sana kufikia maamuzi hayosubiri matokeo tu
Walimu mkifanikiwa kugoma naomba mods wanipige BAN ya miezi miwili.subiri matokeo tu
Afadhali na wewe umeliona, mm nilikuwa mwalimu nikaachana nao, na mara nyingi zikitokea mada zinazohusu elimu huwa nachangia sana, watu wengi wanawaona walimu kama vile mazoba na hawajielewi, hawatazami athari mbaya kabisa inayozalishwa na hawa walimu, mm naamini sana kuwa walimu walishagima kitambo sana tangu miaka ya mwanzoni kabisa ya 2000, kile kipindi mwalimu anaheshimika na kuthaminika na jamii.Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! Mpaka nimechoka kabisa sasa hapa mtu anasoma au anapita tu?
Hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa, elimu ndo inatakiwa itukomboe lakini ndo inapita kama mpita njia tupu.
Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure.
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua.
Lile shipa la aibu limetoka kabisa!
Kwa hizo shule hata ukienda kufuatilia unajiumiza tu, utasmbiwa elimu ni bure hata kutojua kusoma ni bure hauziwi na mtu. Utaambiwa mwanao anasinzia darasani sasa tumfanyeje na elimu ni bure? Au uje na beseni la maji ya baridi kwa ajili ya kupunguza usingizi,Na wazazi inabidi kufatilia maendeleo ya mtoto kwa mfano hilo swali ulitakiwa umuulize akiwa darasa la kwanza sasa lakini ndo hivyo hakufatiliwa kama anajua au hajui kupata elimu bora ni collaboration ya wazazi +walimu +mwanafunz mwenyewe
Usiseme itafika, nenda huko maporini kidogo kaka, mtu yuko form two hajui chochote, wanafanya mitihani ya ramli wakiwa std 7, wanasiliba siliba hata asiyejua anaweza kufaulu na kwenda form one ila hajui chochote, ili kuficha aibu wakashusha ufaulu form two na wanampango elimu ya lazima iwe form four yaani hakuna kufeli std 7 wala form two.Itafika hadi sekondari hajui kusoma km shule zikiwa za mwisho wakuu wa shule, maafisa elimu n. K wanapigwa chini kwa nn zisifanyike mbinu zozote hata za kuwahonga wasimamizi ilimradi wapite tuu.
Kama elimu ni bure nani atamuuzia mwanao ujinga? Ataupata bureWazazi tupate muda wa kukaa na watoto kuwafundisha walimu ilikuwa zamani sa hivi asipoelewa mwanao atajijua
In weed's voiceSasa kama gvment inawabana kila kona wafanyeje? Hutakiwi kuwa na biashara,kufundisha private na serikalini ni kosa la jinai.Mshahara mdogo kuliko kada zingine,Who i'll care about your baby? Stress za maisha zinawafanya walimu wengi wanashindwa kudeliver material in effective way.Huu ni UKWELI na msema kweli ni mpenzi wa MUNGU.