Samahani walimu hivi mna mgomo?

Samahani walimu hivi mna mgomo?

Ukiona mwanao hajui kusoma na kuandika ujue tatizo ni wewe mzazi
Wewe unakuwa unafanya nini hadi mtoto wako anashindwa kutofautisha kati ya R na W?
Shule ni sehemu ya kumsogeza mwanafunzi asonge mbele zaidi lakini mtu anayetakiwa kuhakikisha mtoto anajua kusoma na kuandika ni mzazi. Kwa mzazi aliye makini na anayependa elimu kweli mtoto huanza kufunzwa nyumbani na husimamia hilo na uzuri kuna vitabu vinauzwa mitaani ambavyo vinaweza kumsaidia mtoto kusoma na kuandika.
Mzazi ndio mwalimu wa kwanza wa mtoto na mtoto anapo feli lazima uanze kwanza kujiangalia wewe kama kweli unatimiza wajibu wako ipasavyo.
Mtoto unampeleka kuanza shule hajui hata kusoma a,e,i,o,u halafu umpe lawama mwalimu? hivi unafikiri kuna wanafunzi wangapi wa namna hiyo? Mzazi umechukua jitihada gani?
Kama ni hivyo si bora serikali iachane na mashule watoto wetu tuwe tunawafundisha wenyewe
 
Ukiona mwanao hajui kusoma na kuandika ujue tatizo ni wewe mzazi
Wewe unakuwa unafanya nini hadi mtoto wako anashindwa kutofautisha kati ya R na W?
Shule ni sehemu ya kumsogeza mwanafunzi asonge mbele zaidi lakini mtu anayetakiwa kuhakikisha mtoto anajua kusoma na kuandika ni mzazi. Kwa mzazi aliye makini na anayependa elimu kweli mtoto huanza kufunzwa nyumbani na husimamia hilo na uzuri kuna vitabu vinauzwa mitaani ambavyo vinaweza kumsaidia mtoto kusoma na kuandika.
Mzazi ndio mwalimu wa kwanza wa mtoto na mtoto anapo feli lazima uanze kwanza kujiangalia wewe kama kweli unatimiza wajibu wako ipasavyo.
Mtoto unampeleka kuanza shule hajui hata kusoma a,e,i,o,u halafu umpe lawama mwalimu? hivi unafikiri kuna wanafunzi wangapi wa namna hiyo? Mzazi umechukua jitihada gani?
mkuu me kwanza sina mtoto badobado haya nimeyaona kwa mtoto wa fulani...
ndio mzazi lzm amuangalie mtt lkn mkuu nini maana ya mwalimu..?
 
watu wanadumaa akili, wakubwa kwa watoto.Wenye elimu na wasio na elimu.Kadri dunia inavyokuwa ya kisasa ndivyo ufahamu wa wengi huwa mdogo.Yaani wakati sababu kubwa ni ulevi wa pombe na uzinzi.Siku hizi ukikaa na baba au mama wa makamo ni mara chache mno kujifunza kitu kizuri ndani yake.
 
Kama serikali haiwezi kukizi matakwa ya walimu na kuwathamini...!unategemea nin?au kutoa elimu bora??!?
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!

hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah!

Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Kustaafu walimu wa upe ni kizazi kilichokuja ni vilaza sana. Huwezi mchukua mtoto wa form 4 aliyefel akamfundishe mtoto au kijana anaeona hana option nyingine basi ualimu ndio product zao ndio hizi.
 
Pamoja na kwamba swala la Elimu limekuwa ni la Ushirika wa Mzazi,Mwanafunzi na Mwalimu kwa sasa kila kitu kaachiwa mwalimu.Kuna wazazi hawajui kabisa mtoto anasoma nini huko anako kwenda.Mzazi kajipa kazi tofauti na anayotakiwa kuifanya.Kajifanya yeye ni shirika la Posta.Nimtu wa kuchukua matokeo tu(Hasa watoto wa boding`i)

Wazazi wenzetu wenye kukaa na watoto wao wako busy na kutafuta pesa,hata shule iwe karibu nae,yeye hafiki.Muulize Manchester team inacheza lini na iko nafasi ya ngapi au wana plan ya kumsajiri nani,kila kitu utapata hapo.Muda wa kukaa na mwanae ajue anasoma nini na ana kwama wapi katika masomo,hana.Kila kitu kamkabidhi mwalimu ambae nae anamajukumu yake.

Mwalimu yuko busy na shule lakini yuko hoi kimaisha.Mshahara mdogo,anapanga nyumba,hana usafiri wa kumfikisha shule,vitendea kazi vyakumuwezesha kutoa elimu inayotakiwa hakuna.Mazingira ya shule/madarasa na madawati hovyo,ofisi ya waalimu ni darasa linalotaka kuanguka.

Unatarajia mwalimu yeye hana moyo wenye nyama,hana akili za kufikiri.Yani yeye akufaulishie mtoto kwa kipi hasa.

Mwalimu aliyenifundisha mimi maisha yake ni sawa na mimi nilieyatafuta kwa miaka mitato.

WALIMU WATAENDELEA KUTUONESHA ADABU KIMYA KIMYA.
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!

hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah!

Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Nawewe jiulize. Walimu wanalipwa ?
Serikali Ina pretend kulipa walimu
Na walimu wana pretendi kufanya kazi
 
Nawewe jiulize. Walimu wanalipwa ?
Serikali Ina pretend kulipa walimu
Na walimu wana pretendi kufanya kazi
ndio maana nikasisitika serikali kama kuna tatizo itatue maana hali kwa mtindo huu itaenda kuwa mbaya
 
Sasa kama gvment inawabana kila kona wafanyeje? Hutakiwi kuwa na biashara,kufundisha private na serikalini ni kosa la jinai.Mshahara mdogo kuliko kada zingine,Who i'll care about your baby? Stress za maisha zinawafanya walimu wengi wanashindwa kudeliver material in effective way.Huu ni UKWELI na msema kweli ni mpenzi wa MUNGU.
 
Kwa nchi hii kama mzazi unauwezo kidogo jitaidi kumlipia mwanao ada asome shule za private atafanikiwa
 
Kwa sasa mwalimu akimwuliza mwanafunz swali,,jibu lolote analotoa mwanafunzi ni jibu sahihi..
 
Kwa sasa mwalimu akimwuliza mwanafunz swali,,jibu lolote analotoa mwanafunzi ni jibu sahihi..
Kweli kabisa, kuna ticha mmoja aliñiomba nimsaidie kusahihisha moja ya mitihani ya muhula,,, sikuamini nilichokikuta kwenye marking scheme yake! It was totally wrong! Maswali mengine vijana wamejibu kwa usahihi lakini yanakunzana na majibu aloandaa ticha,,,,, nikawa nawapa vema vijana bila kuzngatia marking scheme!

Kwa kweli tunaelekea kubaya!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom