Samahani walimu hivi mna mgomo?

Samahani walimu hivi mna mgomo?

KENZY

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2015
Posts
36,510
Reaction score
88,975
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! Mpaka nimechoka kabisa sasa hapa mtu anasoma au anapita tu?

Hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa, elimu ndo inatakiwa itukomboe lakini ndo inapita kama mpita njia tupu.

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure.

Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua.

Lile shipa la aibu limetoka kabisa!
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!
hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah! Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Serekali imemwaga mboga, nasisi walimu tumetia mchanga kwenye ugali. Ni mwendo wa mgomo baridi tu.
 
Na wazazi inabidi kufatilia maendeleo ya mtoto kwa mfano hilo swali ulitakiwa umuulize akiwa darasa la kwanza sasa lakini ndo hivyo hakufatiliwa kama anajua au hajui kupata elimu bora ni collaboration ya wazazi +walimu +mwanafunz mwenyewe
 
Na huu ni mwanzo tu.

Tatizo nchi hii mwalimu ni mtumishi wa umma asiyethaminika hata kidogo. Wakigoma kidogo madaktari hapo utaone serikali inavyotetemeka. Ngoja wagome walimu, utacheka sasa.

Mfano,

Kipindi nipo nafukuzia Bachelor pale UDOM (mliosoma UDOM 2010-2013) mnalifahamu hili suala vizuri.

Ilikua wakigoma walimu basi ndio utajua kuwa chuo kina mabavu, mazingira ya hovyo, maji hakuna, lecturers wa kuunga unga (mwanachuo wa UDOM -anajua nini maana ya XTREME), pesa zetu kutoka bodi mpaka wapewe ni manyanyaso,

Sasa njoo upande wa pili, kitivo cha afya kule maji ya kumwaga, pesa wanapata kwa wakati. Hawana shida kabisa, na kilichoniuma ni siku ambayo wao waligoma kidogo tu basi wakachukuliwa na COSTA mbili tatu mpaka bungeni kwenda kuonana sijui na waziri gani.

Walimu ni tabaka ambalo lilianza kudharauliwa toka likiwa chuoni.

Sasa kwa style hiyo hii elimu yetu ya bongo sijui mwelekeo wake ni niaje yani!

Nashukuru baada ya kuona mateso ya ualimu, mama yangu (alikua mwalimu) alinishauri nisiguse ualimu hata kidogo.
 
mtukufu yy si anawajali mapolisi.. mambo yatabadilika endapo walimu nao.wataanza kujaliwa
 
Itafika hadi sekondari hajui kusoma km shule zikiwa za mwisho wakuu wa shule, maafisa elimu n. K wanapigwa chini kwa nn zisifanyike mbinu zozote hata za kuwahonga wasimamizi ilimradi wapite tuu.
 
WALIMU HAWANA SHIDA WAO WANAFUNDISHA TU MTOTO KAELEWA HAJAELEWA SAWA TU WANASAINI DAFTARI LA KUFUNDISHIA WANARUDI ZAO OFISINI NDO APO SASA KUONA KAMA SERIKALI ITASHINDANA NAO
 
Wazazi tupate muda wa kukaa na watoto kuwafundisha walimu ilikuwa zamani sa hivi asipoelewa mwanao atajijua
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!
hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah! Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Mlete huyo mtoto hapa
 
Walimu wa sasa ni balaa...mtt hajui kusoma lkn utakuta wanamkaza
 
Wameshindwa Kuwahamisha Walimu Wa Kubadilishana Ambazo Hakuna Malipo, Watawezaje Kuboresha Mahitaji Ya Walimu? Who Cares? We Starve As We Dont Belong To A Particular Country !
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!

hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah!

Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Mgomo wa walimu ulianza rasmi mwaka 2010 mpaka leo ila huu ukweli hakuna anae ukubali.
 
Hivi inawezekanaje mwanafunzi wa darasa la tano hajui kusoma..?
unamwambia nionyeshe W anakuonyesha R duh! mpaka nimechoka kabisa!! sasa hapa mtu anasoma au anapita tu..?!

hawa ndo wataalum tunaowategemea miaka ijayo kweli ama kweli waafrika tunahitaji kutawaliwa!! elimu ndo inatakiwa itukomboe lkn ndo inapita kama mpita njia tupu!

Serikali hebu wajalini walimu watengeneze watu wanaostahili msipowajali ama kuijali hii sekta ya elimu tutakapofikia patakuwa hapatamaniki for sure..
Nani hajui dunia ya sasa yahitaji wasomi..? Sasa kwa dizaini hii tutawapata kweli miaka 50+ sasa bado tunasuasua dah!

Lile shipa la aibu limetoka kabisa!.
Ukiona mwanao hajui kusoma na kuandika ujue tatizo ni wewe mzazi
Wewe unakuwa unafanya nini hadi mtoto wako anashindwa kutofautisha kati ya R na W?
Shule ni sehemu ya kumsogeza mwanafunzi asonge mbele zaidi lakini mtu anayetakiwa kuhakikisha mtoto anajua kusoma na kuandika ni mzazi. Kwa mzazi aliye makini na anayependa elimu kweli mtoto huanza kufunzwa nyumbani na husimamia hilo na uzuri kuna vitabu vinauzwa mitaani ambavyo vinaweza kumsaidia mtoto kusoma na kuandika.
Mzazi ndio mwalimu wa kwanza wa mtoto na mtoto anapo feli lazima uanze kwanza kujiangalia wewe kama kweli unatimiza wajibu wako ipasavyo.
Mtoto unampeleka kuanza shule hajui hata kusoma a,e,i,o,u halafu umpe lawama mwalimu? hivi unafikiri kuna wanafunzi wangapi wa namna hiyo? Mzazi umechukua jitihada gani?
 
Na wazazi inabidi kufatilia maendeleo ya mtoto kwa mfano hilo swali ulitakiwa umuulize akiwa darasa la kwanza sasa lakini ndo hivyo hakufatiliwa kama anajua au hajui kupata elimu bora ni collaboration ya wazazi +walimu +mwanafunz mwenyewe
Tatizo kubwa lipo kwa wazazi haswa wa vijijini hawana muda kabisaa na watoto kuhusu habare za masomo na shuleni, sasa mwalimu amuwajibishe mtoto wake sasa eeehhh mzazi anakimbilia polisi kwa maana anajua kulipwa ndo ensure hapo si anajua mwalimu anamshaharaa.
So mtoto anaanza kuharibiwa akiwa nyumbani mpaka anafika shule inakuwa ni ngumu kwa mwalimu kum'manage.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom