GREGO
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,282
- 2,931
Watakua wanaangalia, huwezi kushiba bila kula.ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
Huwezi kuponda bila kuangalia
Sent using Jamii Forums mobile app
Watakua wanaangalia, huwezi kushiba bila kula.ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
Mtangazaji Sam Mahela aliyekuwa ITV sasa hivi yuko TBC. Akiwa itv alikuwa na staili yake ya kuhitimisha habari. Naona tbc kaja na staili nyingine.
View attachment 849643
Mods kama haiko jukwaa sahihi iamishieni sehemu yake.
Mabavicha yataponda eti tu kwa sababu jamaa kaamua kujiunga na televisheni yetu pendwa ya taifa.mimi naipenda sana hiyo staili na ninakubali jinsi anavyoongea kwa vitendo.
ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
Mkuu. Kwan baharia hajazindua tu kitabu ?mimi naipenda sana hiyo staili na ninakubali jinsi anavyoongea kwa vitendo.
ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
🙂
Wewe huo muda mchafu wa kuangalia tbccm unaitoa wapi mkuu?! Au hauna kazi ya kufanyamimi naipenda sana hiyo staili na ninakubali jinsi anavyoongea kwa vitendo.
ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda
trhh 31 mkuu Solomon hall ahhha hhhaa mbebezz wote wakali watakuwepo town
Labda sio ridhiki,haiwezekani mwanaume mzima tena wa Kijaluo unaweka wave kichwani!!)Nataka kujua wave lake la kichwani huwa anawekea Salon gani...maana nywele zimekua kama mwarabu wa Ilala
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi mwenyewe nasubiri kuhadithiwa ni mbwembw gani??Kweli nipoteze MB 13 Kuangalia madoido ya huyo jamaa?
una kiharusi wewe bila shaka.naona umekuja kujitangaza huku kutafuta kiki ili upate ukuu wa wilaya,
fanya kazi we mwanaume acha sifa za kipumbavu hivyo
kama ipo ipo tu