Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Sam Mahela sasa ndani ya TBC1

Wewe si umechefukwa alivyohamia TBC? Kwanza jinsia ya kiumeni haichefukwi kiongozi.
hhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhh sasa ww jishongondoe hapa ... siku ya get together usishangae nikawa partner wako!kiroho safi....mm ke bwana!bye
 
hhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhhh sasa ww jishongondoe hapa ... siku ya get together usishangae nikawa partner wako!kiroho safi....mm ke bwana!bye
Hahaha, dah! Nikidhani kidume weye. Haya tujiandae basi uwe partner wangu manengelo
 
Leo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1

Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Muache ajitafutie ugali wake na watoto wake.Usiingilie maisha ya MTU kiasi hicho
 
Haha, na wewe ni mhenga kama mimi? Basi tusubiri ya wazee manake nishapata partner tayari
mzee aisee!hakuna raha km kuwa sehem tulivu na wahenga...yaan burdaniii sio mm nitoke nikae meza moja na@Da'Vinc inahuu?au ww ukae meza moja na Demiss !hapana tutawaboa! mayb nikae na demiss unakatuma tuma kwenye gari kakuletee flat shoes, hapo high heels zimekuchosha au unakatuma ka Davinc kakakubadilishie kinywaji au amwite mhudumu!@lol
 
mzee aisee!hakuna raha km kuwa sehem tulivu na wahenga...yaan burdaniii sio mm nitoke nikae meza moja na@Da'Vinc inahuu?au ww ukae meza moja na Demiss !hapana tutawaboa! mayb nikae na demiss unakatuma tuma kwenye gari kakuletee flat shoes, hapo high heels zimekuchosha au unakatuma ka Davinc kakakubadilishie kinywaji au amwite mhudumu!@lol
Naunga mkono hojaa
 
Kupanga ni kuchagua , yeye kafuata pochi nono na security . Labda alikosea mwanzoni katika kuchagua ndipo roho wa bwana akamuonyesha njia. Big up Mahela ila ninamis kipindi chako cha dk. 45 ITV mahojiano yaliyoenda shule !
 
Hayo ni maisha binafsi ya mtu kwani yeye hupendi kuboresha kitumbua chake,inawezekana 2020 akapta shavu la kuzunguka na msafara wa Mgombea wa ccm akakumbukwa ikulu
 
kumbe jamaa kaishatoka itv, nimeshangaa kumuona anaongoza taarifa ya habari hapa tibisiii
 
Back
Top Bottom