Kukaa itivi ni kujichelewesha udisiiLeo katika taarifa ya habari ya saa mbili usiku nimemuona mshikaji aki report kutoka TBC1
Mshikaji sasa kapotea wazi wazi.
Gondwe aliteuliwa U-DC akitokea wapi?
Betty Mkwasa alteuliwa dc akitokea wapGondwe aliteuliwa U-DC akitokea wapi?
Ufo Saro yuko dira tvYeye na Ofoo Saro wote waliondoka ITV
Wataipenda tuuuuumimi naipenda sana hiyo staili na ninakubali jinsi anavyoongea kwa vitendo.
ngojea nione watu ambao huwa wanadai hawaangalii tbc watakavyoponda