Salva Rweyemamu SIYO Mtanzania(?)

Salva Rweyemamu SIYO Mtanzania(?)

Samvulachole,
Unajua kweli inaweza kuonekana uchizi, lakini inaudhi sana kuona watu wamefanya mengi na wanaonesha moyo na nchi inayowapoea, lakini wengine kwa malengo yao ya ufisadi tu wanaanza kuleta mambo ya ajabu. Kimsingi ninachopinga ni siasa za kuchafuana kama alizofanya Salva dhidi ya Salim. Otherwise i do not care mtu anatoka wapi as long as anaitendea mema Tanzania na anaonesha mapenzi kwa Tanzania na kuwaheshimu watanzania , sio kutuibia watanzania kwa kutumia excuse ya uraia.

lakini wapo watanzania wengi ambao hawana nafasi kama liyonayo SALVA ambao wanaifanyia mengi nchi ya Tanzania. Ni watu wa kawaida duuu ambao ni waadilifu na watiifu na wanachokifanya ni kile ambacho kina manufaa kwa nchi ile



Personally i do care.


je unaweza kutufafanulia uhusiano wa SALVA na wale waasi wa FDD? au uhusioano wake na Jean Minani ni upi?
 
Hivi kinachohojiwa hapa ni uraia wa "mpambanaji" SALVA kwa mantiki ya sheria zetu za uraia ama uasilia wake kutoka mikoa ya pemebezoni na pengine nchi za jirani?

Tanzanianjema
 
niliuliza uraia kwa minajili ya sheria za Tanzania, ambazo ziliwahi kutumika kuwaonesha watu tuliowadhania kuwa ni Watanzania na kuwapa nafasi nyingi (angalia ukurasa wa kwanza hapa) kumbe walikuwa si Watanzania, maarufu kati yao akiwa ni Jenerali Ulimwengu.
 
tanzania bomba, hutafutwi unatoka wapi hadi ukamate posti au uchaguliwe nafasi fulani?


hata mkjj wewe subiri utaambiwa si mtanzania
 
Wamezaliwa sehemu inaitwa Ahabirabo, Kimbugu, Izigo, Muleba, Kagera, Tanzania.

Jamani naona watu mnaridhika na majibu mepesi kabisa. Kwa taarifa yenu wilaya muleba ndo imejaa wahamiaji wa siku nyingi toka Rwanda na Burundi. Muleba naweza kusema ni "new land" yaani mapori miaka ya 70's yalikuwa mengi na hao warundi + wanyarwanda wakapata mwanya wa kuhamia kule na mifugo yao. Ikumbukwe kuwa watu wa Muleba kule kAgera hawaitwi wahaya kwa taarifa yenu. Isitoshe kama mtu anaelewa majina asilia ya wahaya--jina la Ndyema original yake ni rwanda-burundi. Huyu bwana inawezekana aliweka jina la Rweyemamu mwisho kuhalalisha U-TZ lakini I dont think ni mhaya.

Kama JF tuna mtu wa usalama, anaweza fanikisha fresh vetting ya huyu bwana sababu for sure hiki cheo kapewa ni kulipwa fadhila.

Najua watu watapinga--lakini historia ya mkoa wa kagera iko clear kwani wilaya zenye wahamiaji wa siku nyingi zinafahamika.
 
Jamani naona watu mnaridhika na majibu mepesi kabisa. Kwa taarifa yenu wilaya muleba ndo imejaa wahamiaji wa siku nyingi toka Rwanda na Burundi. Muleba naweza kusema ni "new land" yaani mapori miaka ya 70's yalikuwa mengi na hao warundi + wanyarwanda wakapata mwanya wa kuhamia kule na mifugo yao. Ikumbukwe kuwa watu wa Muleba kule kAgera hawaitwi wahaya kwa taarifa yenu. Isitoshe kama mtu anaelewa majina asilia ya wahaya--jina la Ndyema original yake ni rwanda-burundi. Huyu bwana inawezekana aliweka jina la Rweyemamu mwisho kuhalalisha U-TZ lakini I dont think ni mhaya.

kama JF tuna mtu wa usalama, anaweza fanikisha fresh vetting ya huyu bwana sababu for sure hiki cheo kapewa ni kulipwa fadhila.

Najua watu watapinga--lakini historia ya mkoa wa kagera iko clear kwani wilaya zenye wahamiaji wa siku nyingi zinafahamika.


And the plot thickens...
 
Bora ipo record JF wameonyesha utata wa swala hili ukweli utakuja wenyewe wala msiwe na shida, mbio za sakafuni huishia ukingoni.
 
wanajambo vitu kama hivi haviwasaidii chochote,kama walihamia wamehamia so what...kwanza hatuna hata system ya kujua nani raia na nani sio raia zaidi ya majungu majungu tuu,na kama ni majina nenda wilaya Ngara au kigoma majina yao hayana tofauti na warundi au wanywarwanda na hata lugha zao ni sawa kabisa na warundi na hata kufanana wanafanana,kwa hiyo nao sio raia? kama mko serious why not demand a good system ya kujua raia wetu kuliko haya majungu maana nchi karibu zote wanajua raia wao na mkumbuke sura,lugha,rangi sio kipimo cha uraia theres more than that...anagalieni yaliyowakuta Ivory Cost yaliyowakuta baada ya upuuzi wa watu kusukumwa nje eti sio raia au Habyarimana alivyoaambia kina kagame nchi ni ndogo hamuwezi kurudi
 
wanajambo vitu kama hivi haviwasaidii chochote,kama walihamia wamehamia so what...kwanza hatuna hata system ya kujua nani raia na nani sio raia zaidi ya majungu majungu tuu,na kama ni majina nenda wilaya Ngara au kigoma majina yao hayana tofauti na warundi au wanywarwanda na hata lugha zao ni sawa kabisa na warundi na hata kufanana wanafanana,kwa hiyo nao sio raia? kama mko serious why not demand a good system ya kujua raia wetu kuliko haya majungu maana nchi karibu zote wanajua raia wao na mkumbuke sura,lugha,rangi sio kipimo cha uraia theres more than that...anagalieni yaliyowakuta Ivory Cost yaliyowakuta baada ya upuuzi wa watu kusukumwa nje eti sio raia au Habyarimana alivyoaambia kina kagame nchi ni ndogo hamuwezi kurudi

Msee koba,

Hii issue hapa ina haki zote za kujadiliwa........mie nimeamua kuwa msomaji zaidi kuliko mchangiaji. Hapa hakuna "slippery slope"......mwache Salva asurubiwe!!!!!!!
 
yournameisyourname labda kwa sababu naye alicheza same deal kumsurubisha Salim na wenzake..what goes around comes around..REVENGE hiyo fair game kabisa.
 
Msee Koba,

there u go bro!!......mwache afikwe na dhahama hilo nae pia awe sidelined kana alivyowafanyia wenzake, jino kwa jino pia imeandikwa!!!!!!!!!.
 
Atlast watu wameanza kuadmit kwamba hii ni revenge! Hilo mi simo na sijui! There you go. Kwa hiyo swala zima la uraia kwa bongo ni either iwe revenge au ukanyage maslahi ya wakubwa. Hiki ndo wengine tumepigia kelele mno hapa. Kwamba we are not objective with what we want. Kama kweli tumeamua kutafuta wasio raia basi tuwe serious na sheria za uhamiaji.

Ila nilichogundua watu wana visa vyao "some scores to settle" of which nadhani hata muungwana na serikali cant give a damn. Mtu anafika point ya kusema kwamba shilling yetu inashuka kwa sababu BOT imejaa foreigners, sasa kweli kwa mtu mwenye uelewa hapa si unaona ni pumba tupu? kwa hiyo akina Karamagi, Meghji, Balali, Mgonja, Mramba nk ni foreigners? au tuseme MTZ ni nani haswa? kwa nini tuko obssesed sana na the so called wageni? mchawi wa Tanzania ni mtanzania sio foreigner. Trust my words.

Harafu cha ajabu wengi wa wanaomkomalia Salva nk, wako huko ughaibuni wakisubiri amnesty ya uraia kwa lugha nyingine ni illigal immigrants huko waliko (wengi wao hawana karatasi), ila kwa kujifanya wazalendo ndo namba moja. Hatupimi uzalendo kwa majina na kabila, usishangae akina Ulimwengu wamekuwa wazalendo kuliko wengi wenu mlioko ughaibuni, hata hapa home.

Again, swala la uraia linajadilika kabisa, ila hapa JF tunakosea kwa kuli associate na visa na sababu zetu personal. Ndo maana walio serious wataona huu mjadala ni personal vendetta dhidi ya huyu bwana Salva.

Yaani mi Africa inanishangaza what are our priorities and how do we execute them! Rais wetu akienda nje analalamika kwamba matatizo yetu yanasababishwa na wengine. Wanaomkosoa humu wananchi wake tunasema matatizo yetu yanasababishwa na wageni. As long as we have where to pass the blame! Kaaazi kweli kweli.
 
Masanja, sijui wengine wanasukumwa na vitu gani, ila natumaini hoja yangu iko wazi kabisa. Na katika sheria hakuna mti mtakatifu usiokatwa hata kama uko karibu na kutoa matunda!
 
Duuh,
Hii thread nilikuwa sijaona. Nimesoma yote, na nimeona jinsi watu wanavyokwepa objective ya thread. Sasa sijui ni makusudi?? Maana pages zote hizi.

Jinsi nilivyoelewa, Mwanakijiji anafananisha tu situation ya Richa Adhia (ambaye kisheria ni mtanzania, ila kwavile ni rangi nyeupe na ana asili ya kihindi, basi watu wengi wanaona hafai kuitwa mtanzania halisi, sababu tu kashika nafasi 'nyeti'/sensitive). Lakini in reality, Richa Adhia ni mtanzania halisi (kisheria), kuliko watu wengi walioshika nafasi sensitive nchini kwetu (na wataendelea kushika nafasi sensitive). Lakini sio ishu kwa hawa watu, kwasababu tu wana ngozi nyeusi, hivyo watu wana assume ni watanzania halisi (kisheria). In reality, hata kama mtu anaonyesha uzalendo kweli (kama mtanzania), inawezekana akawa sio mtanzania halisi. Ila hii inakuwa tu ishu pale anapogusa au kutishia interest za watu.
In this case, Salva Rweyemamu ni jina tu lililojitokeza sasa hivi, lakini anaweza akawa mtu mwingine.

Having said that. Nimeona watu wamekubali tu kuhusu sehemu aliyo zaliwa. Je ni kweli hizo sehemu ziko Muleba au kweli kazaliwa huko (wazazi wake je)?? Not that I care. But I see Mwanakijiji's well raised point, at the same time I see how quick people are to accept answers. Karagwe na Ngara ziko karibu zaidi na Rwanda/Burundi......wakati Muleba iko karibu na Mwanza...heheee. Mi nadhani kazaliwa Nyarutunguru (Ukerewe), na wazazi wake Biharamulo.
 
Salva Rweyemamu position is untenable until utata wa uraia wake uwekwe wazi hatuwezi kuendelea na ubabaishaji na viini macho vya kila siku lazima ahojiwe na ukweli ujulikane.
 
Defunc.. sasa umefungua ukurasa mwingine... Liondo alipotoa jibu lake miye nikasema kwa kifupi:

Ukiondoa jibu jingine, this settles it.

Sasa wewe umetoa jibu jingine and the question is more relevant than before. Kumbuka kuwa hatuhoji yeye Salva kazaliwa wapi hasa, kwani inawezekana amezaliwa Tanzania, swali kubwa ni wazazi wake wote wawili walizaliwa wapi na wakati wa Uhuru na Muungano walikuwa na uraia wa wapi (kwa kuzaliwa). Kama wazazi wake walizaliwa nje ya Tanganyika na kabla ya Uhuru 1961 walikuwa na uraia wa nchi hiyo, basi watoto wao waliozaliwa katika ardhi ya Tanzania siyo watanzania hadi wawe wameukana uraia wa wazazi wao walipofikisha miaka 18.
 
Nyani the questions themselves are not necessary, the implications of the answers are.


Defunc.. sasa umefungua ukurasa mwingine... Liondo alipotoa jibu lake miye nikasema kwa kifupi:



Sasa wewe umetoa jibu jingine and the question is more relevant than before.

Nilikupata mwanzo kabisa (na nikajiuliza nilipoanza kusoma, hawa Eastafrican hiyo article yao ina uchochezi/uchokozi mkubwa duuh..hahhaaa, nikajiuliza au ndio majibu yao ya Risasi wanazopigwa majambazi huko Arusha?).
Nina hamu nirudi kule kwa thread ya Hoyce Temu, ila naona ndefu mno, lakini nimegundua kuna watu wanaji-contradict hapa. And the truth of the matter is, there is no way out for them on this one.
 
Back
Top Bottom