mie raia wa Marekani tuone mtanifanya nini? nakuja bongo kila wakati na kura ya nilipiga vilevile
huko pekeyako
BARAKA SHELUKINDO mtoto wa mbunge SHELUKINDO ni raia wa Uingereza
NAMBUA MLAKI mtoto wa mbunge RITA MLAKI ni raia wa Uingereza
Yule mtoto wa KAMBONA yuko ofisi za EU Dar ni raia wa Uingereza
RUGE MUTAHABA ambaye ni mkurugenzi wa Clouds FM ni raia wa USA na analo ganda la kijani
JACKI PEMBA aliukana uraia wa Tanzania akapewa uraia wa Uingereza na sasa hivi antutukana...latest nilizonazo ni kuwa ana front sana UZAZI NA VIFO siku hizi sababu sijui lakini mwenye macho haambiwi tazama
hao ni wachache tuu ambao nitawataja kwa sasa, lakini usisahau kuwa Mtoto wa Kambona anataka kuingia kwenye siasa kama Baba yake
usije shangaa Nambua naye akaja kombea Udiwani au Ubunge
Ruge anapiga kura kama ambavyo wewe unapiga kura ukishuka Bongo
Je hawa wanafanya kati Tanzania kama ma foreigners au? je wanalipia hizo work permits? Je Tanzania tunayo dual citizenship?
Ndio maana mimi nimebadilisha msimamo kuhusu haya mamabo ya dual citizenship...siyataki na hata hayo ya pasi moja ya East Africa siiitaki. kwanini tunalazimishwa ambo ambayo sisi hatuyataki?
Yote ni sawa lakini la muhimu ni kuwa TIME WILL TELL. Faili la Salva lililopo Ikulu lina gaps nyingi tuuu lakini inawezekana ikawa huyo aliyepewa kazi ya kumfanyia vetting naye si mtanzania vile vile