Unaweza penda somo lisikupende mkuu!so cha muhimu ni kupenda,kuliweza,material/msaada wa walimu au wenzako ndio vitasaidia kufaulu kwakoHuo ndo ukweli mkuu mi nlikimbiaga history sio ilikuwa ngumu nlikuwa naichukia so hata nkisoma vipo sivuki c mwisho nkaamua kukomaa na mengine koz lengo ilikuwa ku injinia nkaamua kupita na pcm so kabla yakufanya kitu kipende kwanza ugumu hautauona japo pcm sikufaulu vizuri lakin mpaka kesho sioni ugumu wake,nlitafuta B ya history ili niwe na dv nzuri lakin pamoja nakuisoma ilinishinda nkahamia biology nliona ngumu lakin sikuichukia mwisho nlifaulu vizuri sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zaidi ya kutusua bro ....naogopa kumwaga mchere hapa ....Vipi leo laifu umetusu kwa kusoma hayo masomo?
Ukishalipenda hata lisipokupenda ugumu wake hauta utambua ila ukichukia somo hase ndo utajua ni ngumu kiasi gan kuna watu wanachukia maths kiasi kwamba akiambiwa elfu kumi jumlisha elfu atakwambia hilo swali haliwezi kisa ni mtihani wa maths mpe hela uone ka atashindwa kujuaUnaweza penda somo lisikupende mkuu!so cha muhimu ni kupenda,kuliweza,material/msaada wa walimu au wenzako ndio vitasaidia kufaulu kwako
Mrefu hajawahi tamani kuwa mfupiKiswahili na History mbona ndio magumu. Yaani mimi kukariri miaka ya watu kuzaliwa, kupigana, kufa nk ilinishinda kabisa. Masomo ya sayansi yamenifikisha mbali lakini hata hivyo kwa sasa natamani uchumi. Najua hii ni nature ya binadamu tu - kutaka kile asichokuwa... Mrefu anataka kuwa mfupi, mfupi anataka kuwa mrefu nk.
HV watanzania mtaacha lini ujinga wa kuhisi sayansi haina msaada .. HV unafikiri simu unayotumia imetoka kwenye muembeKuna mtabe mmoja wa PCM tulkutana chuo kwenye course ya finance.
Nkawa namuuliza Newton's laws zinakusaidia nini hapa tulipo??
Hadi kesho hajanipa majibu huyu banker wa sasa hivi na pcm wa zamani.
Ni kweli ila determinant ya kisucceed kwenye somo fulani si moja tu,mapenzi ni sababu moja(ili ufaulu no muhimu kulipenda somo,lakiniuwezo(IQ) ni muhimu.Sema hiyo huioni kwa kuwa mara nyingi huwezi kupenda somo ambalo unapata 5,au 10!uungwana clasmadness 28136757 said:Ukishalipenda hata lislakenda ugumu wake hauta utambua ila ukichukia somo hase ndo utajua ni ngumu kiasi gan kuna watu wanachukia maths kiasi kwamba akiambiwa elfu kumi jumlisha elfu atakwambia hilo swali haliwezi kisa ni mtihani wa maths mpe hela uone ka atashindwa kujua
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaahhh! PCB si mchezo, nimepata tabu sana kuanzia A-level hadi Chuoni.View attachment 848895lol
hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,
Leo nataka kujua was it worth?LOL
naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..
ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?
currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer
nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀
je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?

Nilisoma PCM sababu Kiswahili kilinikataa kabisa hasa fasihi. Na history kuandika mavitu marefu na mimi mwandiko wangu mdogo. Chuo sikusoma engineering japo natamani nirudi nikasome Civil.
Sent using Jamii Forums mobile app[/QUOTE wa science wengi ndo ivyo,mwenyewe niliweka malengo ya kupata A history nkaishia B arts zote zikakubali A zote science olevel
Maisha yako takriban yote,yamezunguukwa na sayansi hususan hiyo PCM na PCBKuna mtabe mmoja wa PCM tulkutana chuo kwenye course ya finance.
Nkawa namuuliza Newton's laws zinakusaidia nini hapa tulipo??
Hadi kesho hajanipa majibu huyu banker wa sasa hivi na pcm wa zamani.
Mimi ratiba yangu ilikuwa lazima niguse masomo yote kwenye Comb kila siku.Wale wazee wenzangu tuliopiga pcb tupunge mkono..unasoma magnetism,ukitoka hapo unasoma coordination..yaan full kuchanganyana.
Sent using Jamii Forums mobile app

Nakubali umuhimu wa PCMB katika maisha ya binadamu.Maisha yako takriban yote,yamezunguukwa na sayansi hususan hiyo PCM na PCB
kushindwa kwake kujibu,haina maana ameshindwa kukujibu,huenda hana muda na maswali ya ajabu ajabu
au anatafuta jibu sahihi la kukujibu kutokana na uwezo wako wa kufikiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maTO pia wa masomo ya sanaa..hawa wanaopewaga sana kipaumbele ni wasayansi.inshort hawapimwi pamojaUnasemaje kombi ngumu wakati ndio zinazotoa TO?
Kama kwako ni gumu huo ni uzembe wako ama ni akili yako tu.. Mbona kuna watu wanasoma hkl na wanapata 0 lakini mtu anasoma pcm anapata 1 (hakuna 1 rahisi kupata kama pcm)
Bila shaka japo sina uhakika.Hivi JPM wetu si alisoma PCM eeeeeeeeeeeeeeH
Mimi kama una kijana wako niunganishe ni mpe mbinu..Itabidi nyie mliosoma PCMB kutoa hizi formula rahisi za kutoboa kwenye hayo masomo.
Msaada wenu utawanufaisha vijana wengi sana.
miminimkulimaakachekasana = miminipcmakashangaasananilisoma PCM nikapata FEE necta,nikaamua nilime tu, namshukuru mungu niko vizuri sasa