Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Salute kwa waliosoma PCB/PCM

.... Unajitofautisha na hawa waliosoma history kwa lipi?....(ingawa history nayo ni sayansi, refer Dk leaky-olduvai george)...


Lakini pia history is the science like other science ndugu tusikariri , ndio maana Kuna ugunduzi wa miji ya kale hata leo na kunu vipimo mbili mbili vya kusaidia kupata accurate data.

Kutumia nyenzo za kisanyansi kujua historia ya kale hakumfanyi muhusika kuwa mwanasayansi japo kuwa mwanasanyansi anaweza kugundua mambo ya kihistoria kwa kutumia ugunduzi wa kisayansi.
 
Nani kakuambia hayo masomo ni magumu?? Ugumu unatofautiana kuna wengine history, kiswahili na English ni masomo magumu. Wengine mtihani wa hesabu kabla hatujaingia kwenye chumba cha mtihani tulikiwa tumeshahesabu A.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hesabu ndio somo Rahisi zaidi duniani,lakini watu wanaliogopa toka std 1
 
Nilisoma PCB...kilicho nifanya nisome hasa mkumbo na ushawishi kutoka kwa family na friends..kua utaonekana mtabe mtoto wa kiume utasomaje arts bhana..
Kusema kweli PCB sio lelemama kuna jamaa zangu kama wawili walikuaga kama machizi.
Ila nashukuru Muumba nilipiga shule nikaingia chuo cha Afya nikapiga kozi ya Afya..
NOW nakula hela ya serikali..
Ila PCB ni msuli tena msuli kweli..penye ugumu ndo penye mafanikio.
Ila nw natamani sana kozi za uchumi mana kuna watu wanavuta hela sio za kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana mkuu
 
Kiswahili na historia haya ndio masomo magumu nili suffer sana enzi napiga advance ukijalisha nilikuwa napiga 'PC'.

imesomeka!!
 
Hakuna kitu kigumu au chepesi bali mtazamo na akili yako
 
Kama kwako ni gumu huo ni uzembe wako ama ni akili yako tu.. Mbona kuna watu wanasoma hkl na wanapata 0 lakini mtu anasoma pcm anapata 1 (hakuna 1 rahisi kupata kama pcm)
 
Mie nmesoma moja ya hiyo kombi..wala sikua nasooooooma sanaaaaaa.


Maisha ni uchaguzi. Kitu ukikipenda unakifanya as a Calling and Passion.



"Dume la Nyani haliogopi Umande"
 
Nimesoma PCM sio PCB.....lol
Nachokumbuka physics tu ndio ilinisumbua kidogo nikapata C lakini hesabu na kemia niliweka B flat.
 
View attachment 848895lol

hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,

Leo nataka kujua was it worth?LOL

naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..

ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?

currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer

nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀

je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?
Wengi wa hizi kombi ilikuwa ni kufuata mkumbo na pia STATUS. Ukionekana unasoma hizo kombi wewe ni kichwa.
 
Simple sana:
Afya ndio inayobeba PCB as afya ni ishu kubwa na pana sana.

Ujenzi ndio inayobeba PCM as ujenzi ni ishu kubwa sana na pana sana.

Interesting part:
Hawa vipanga wa PCB ama PCM wakichepukia Accounts and Finance huwa wana shine mapema sana hadi ma Dr na ma Eng wanajiona washamba.
 
Back
Top Bottom