Kuna ukweli mmoja nilikutana nao katika soma soma yangu,hasa kwa vijana waliopita CoET. Hapa kwenye kipengele cha malengo,vijana wengi walikuwa hawasomi kwa malengo kwa maana kusoma fani ambazo walikuwa wanazipenda,wengi walikuwa wanasoma fani kulingana na matokeo yao,hapa hasa wadau waliosoma Telecom,au CIT kwa pale UDSM.
Huu utaratibu wa kusoma kwa kufuata matokeo umewaathiri vijana wengi sana na bila shaka wengi wanajuta.
Hii ilikuwa kila alie pata one kali anakimbilia Telecom au CIT,naimani zama Telecom na CIT zimekwisha siku hizi,zimerudi zile zama ukweli na umama wa fani za uhandisi. Hapa najua watanielewa wachache sana.
Ila Secular kizungumkuti sana....
Sent using
Jamii Forums mobile app