Alfred
JF-Expert Member
- Apr 13, 2008
- 2,171
- 2,984
Hiyo ilikuwa ya Kawaida saana.. Nafikri pia Lecturers wanachangia..
Hiyo ilikuwa ya Kawaida saana.. Nafikri pia Lecturers wanachangia..
Na mimi nilikuwa na ndoto kama zako.Aisee...kipind nipo o-level nilikuwa na mapenzi na PCM lkn nilibadili gear hewani nikaenda zangu PCB huku basic mathematics naijua ipasavyo.....
Pia mimi Phyz niliipenda sana na nilitumia muda mwingi na gharama kubwa kuisoma kuliko masomo mengine, huku wenzangu wa PCB walikomaa na Bios na Chemia.Kuifaham basic mathematics kulinisaidia kuweza kusolve maswal ya Physics hakika kwangu physics nilikuwa chai kwangu....pia mapenz yangu ya mathematics kuliniboost kuiweza BAM...
Chemia nilikuwa naisogeza bila shida ila Bios kukariri ilisaidia japo nilikuwa natumia muda mwingi kuikaririHuyu chemistry tulikuwa tunaita kamastarehe....biology skupata SHIDA kuikariri maana hapo ni mwendo Wa kukariri tu BS....
Na mimi pia hivyo hivyo nilikomaa na Phyz na ndio iliyoniokoa kwa ufaulu wa kuridhisha maana Bios sikufaulu vizuri kama wengine wabobezi wa PCB kwa kukomaa na Bios na ChemiaKwangu mim niliamin kuwa PCB wengi hawawezi Physics hivyo muda mwingi nilisoma hilo somo.....hakika nilifurahia kusoma physics....
Hivi mkuu kuna member mwenye jina refu kuliko wewe??ASANTE
Tena mimi pia nilikuwa nahakikisha napata msosi wa kutosha ili nishibe vizuri kwa kuhimili mikimiki ya kutoboa ozoneMida hiyo ya saa 11-12 nilikuwa napumzika kama wewe na pia nilikuwa nautumia muda huu vizuri kuwahi msosi jikoni ili nichukue toplayer..toplayer ni habari nyingine kabisa shuleni..
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahaha..kutoboa ozone hapo ni mpaka usikie jogoo anawikaTena mimi pia nikikuwa nahakikisha napata msosi wa kutosha ili nishibe vizuri kwa kuhimili mikimiki ya kutoboa ozone![]()
![]()
![]()
Wengine ikikuwa kawaida mkuu, ikifika saa 11 alfajiri ndio unaondoka kwenda bwenini kufanya maandalizi ya kuingia Darasani

Nlikuwa sipendi kuwa H_kunani nikachagua PCM physics ikanitia kidole, iyo satuti hata hainihusu, iyo mnayooita historia ya sayanyi wanasoma lakini hawagundui kitu poa tu, maana fundi mkuu Max plank aliambiwa na mwalimu wake enzi izo anasoma university of Munich aachane na Physics eti vitu vyote vimeshagunduliwa, Akasema yeye hasomi eti agundue chochote bali anafurahia kusoma vitu vilivogunduliwa tayari. Lakini akagundua mambo kibao na akawa father of Quantum mechanics. Suala la kugundua ni la mmojammojaView attachment 848895lol
hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,
Leo nataka kujua was it worth?LOL
naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..
ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?
currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer
nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀
je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?
HAHAHA NAHISI WAPOHivi mkuu kuna member mwenye jina refu kuliko wewe??
Mnastahiki pongezi kwa juhudi hizi aiseeWengine ikikuwa kawaida mkuu, ikifika saa 11 alfajiri ndio unaondoka kwenda bwenini kufanya maandalizi ya kuingia Darasani![]()
![]()
![]()
Ukiwaona kwenye comments nitag mkuuHAHAHA NAHISI WAPO
POAUkiwaona kwenye comments nitag mkuu
Mwisho wa yote ''kufaulu mtihani sio kufaulu maisha"Mnastahiki pongezi kwa juhudi hizi aisee

Yes mkuu.Mwisho wa yote ''kufaulu mtihani sio kufaulu maisha"
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hamna masomo rahisi kama Physics na Mathematics.... Chemistry nayo ni mchekea
Sent using Jamii Forums mobile app