Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Sisi wengine tulisoma PCM sababu ya kujiona vipanga alafu masomo ya arts tuliyaona ya kike sana. Ila ukishakuwa mtu mzima huku kitaa ndio utajua nchi hii tunahitaji sera ya elimu itayomfanya mtoto ajue mapema uelekeo wake bila influence za kitoto kama hizo ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 848895lol

hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,

Leo nataka kujua was it worth?LOL

naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..

ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?

currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer

nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀

je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?
Hakuna somo gumu hapo,hata hayo wanatofikiria ni mepesi,kama ya Sana'a na biashara,watu wanafeli,
Ukikipenda kitu unatiririka tu,yaani vitu kama engineering mathematics,ni maji tu,mazeeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakuambia hayo masomo ni magumu?? Ugumu unatofautiana kuna wengine history, kiswahili na English ni masomo magumu. Wengine mtihani wa hesabu kabla hatujaingia kwenye chumba cha mtihani tulikiwa tumeshahesabu A.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa mkuu, ugumu wa kitu ni wewe mwenyewe tu. Pana wengine hata kumtongoza mwanamke huona vigumu.
 
Mie nilisoma PCB lakini mwisho wa siku kura hazikutosha kuwa daktari lakini bado nikakidhi vigezo kwenye masomo ya maandishi mengi na hii ni faida ya kusoma masomo ya sayansi yaani unakomaa na ndoto yako ukiona mwelekeo sio mzuri huko mbele unabadilisha gear angani kwa kusoma course zingine za kawaida wakati mtu wa art hawezi kubadilisha gear angani na kusema anataka asome Engineering wakati mwanafunzi wa sayansi anaweza akabadilisha gear angani
 
....Narudia ndugu Motcu, moja ya misingi mikubwa ya sayansi(pcb and pcm) ni ugunduzi, na sio historia ya uanasayansi. Tatizo huanzia kwenye ufahari wakati wa uchaguzi kuliko inavyodhaniwa katika application yake. Mathalani, unajihitaje mwanasayansi kwa kutumia chemicals, za wanasayansi wenzio maabara au whatever? Unajitofautisha na hawa waliosoma history kwa lipi?....(ingawa history nayo ni sayansi, refer Dk leaky-olduvai george)....ukija kwenye hoja ya kuajiriwa ni kweli ,lakini ukija kwenye innovation, theories ni zilezile miaka nenda rudi. Wanasayansi mjiongeze ili kuendana na kasi ya viwanda, na uchumi wa kati. Kumbuka mnategemewa sana.
Theory ni zile ila kuna namna ya kutumia afu hakuna anayesoma historia ya sayansi kwa sababu sayansi ipo na vifaa vilivyotengenezwa kwa hizo theory zipo na tunaviendeleza na kuviboresha sio lazima tugundue vitu vipya sasa mtu aliyesoma vita vya kwanza vya dunia kwa sasa vitasaidia nn maana hata vikitokea vita vya tatu vya dunia vitakuwa vita vingine tofauti kabisa na vile vya kwanza,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Science ni rahisi sana , hadi definition unaweza kuandika formula tu, lakini hizo art inabidi umeze sana
 
Lakini pia history is the science like other science ndugu tusikariri , ndio maana Kuna ugunduzi wa miji ya kale hata leo na kunu vipimo mbili mbili vya kusaidia kupata accurate data.

Sent using Jamii Forums mobile app
History siyo sayansi bhana ila sayansi inasaidia history maana vifaa vinavyotumika kugundua vinatengenezwa kisayansi na sio kihistory

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inabidi tuwaonyeshe watoto wetu kuwa physics, chemistry, biology na maths sio masomo magumu kama wanavyoaminishwa.

Tuliosoma combi hizo, japo wengine tulisoma PGM, CBG etc hatuna tofauti na waliosoma HKL, HGL ambao wanadhani masomo hayo ni rahisi zaidi.
Hayo masomo sio magumu tatizo watu wameaminishwa maana kama msingi mzuri mtu hakuupata form one ama alipuuzia form 1 and 2 kama somo la Chemistry ndio basi tena na hapo ndio huwa chanzo cha tatizo
 
Aisee mimi kwangu mahesabu ni marahisi kuliko ngwini. Hivyo tu yano.
 
View attachment 848895lol

hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,

Leo nataka kujua was it worth?LOL

naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..

ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?

currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer

nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀

je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?
Dah....ndiyo maana nchi haiendi mbele.....tunasoma masomo ili tuwe watu fulani baadaye....badala ya kusoma masomo TUNAYOYAPENDA ......ndiyo maana siyo ajabu kumkuta daktari akijifunza namna ya kutengeneza chachandu ya mbilimbi kwa ajili ya pilau ndani ya chumba cha upasuaji...au kumkuta dereva wa daladala akijifunza Plankalkül programming 😡
 
Kiswahili na History mbona ndio magumu. Yaani mimi kukariri miaka ya watu kuzaliwa, kupigana, kufa nk ilinishinda kabisa. Masomo ya sayansi yamenifikisha mbali lakini hata hivyo kwa sasa natamani uchumi. Najua hii ni nature ya binadamu tu - kutaka kile asichokuwa... Mrefu anataka kuwa mfupi, mfupi anataka kuwa mrefu nk.
Mkuu umenena, nimesomea engineering lakini natamani sana uchumi. Sijui hata kwanini!
 
All in all hakuna somo gumu... Ni sawa na ule usemi.. Uzuri wa mtu upo machoni mwa mtizamaji/mpendaji
Huo ndo ukweli mkuu mi nlikimbiaga history sio ilikuwa ngumu nlikuwa naichukia so hata nkisoma vipo sivuki c mwisho nkaamua kukomaa na mengine koz lengo ilikuwa ku injinia nkaamua kupita na pcm so kabla yakufanya kitu kipende kwanza ugumu hautauona japo pcm sikufaulu vizuri lakin mpaka kesho sioni ugumu wake,nlitafuta B ya history ili niwe na dv nzuri lakin pamoja nakuisoma ilinishinda nkahamia biology nliona ngumu lakin sikuichukia mwisho nlifaulu vizuri sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo!best way ni kusema hakuna somo rahisi,ila kuna marahisi kuliko mengine,huwez compare physics na maandishi mengine yoyote,ni si rahisi kukuta mtu kapata A,phys,Chem na Math olevel halafu ukute na F arts za arts,ila mara nying mtu anapata A history na F ya Maths
 
Back
Top Bottom