Salute kwa waliosoma PCB/PCM

Salute kwa waliosoma PCB/PCM

....Narudia ndugu Motcu, moja ya misingi mikubwa ya sayansi(pcb and pcm) ni ugunduzi, na sio historia ya uanasayansi. Tatizo huanzia kwenye ufahari wakati wa uchaguzi kuliko inavyodhaniwa katika application yake. Mathalani, unajihitaje mwanasayansi kwa kutumia chemicals, za wanasayansi wenzio maabara au whatever? Unajitofautisha na hawa waliosoma history kwa lipi?....(ingawa history nayo ni sayansi, refer Dk leaky-olduvai george)....ukija kwenye hoja ya kuajiriwa ni kweli ,lakini ukija kwenye innovation, theories ni zilezile miaka nenda rudi. Wanasayansi mjiongeze ili kuendana na kasi ya viwanda, na uchumi wa kati. Kumbuka mnategemewa sana.
Ni sawa ila tatizo ni elimu yetu,iko examinations oriented (ukifwatilia history ya greatest scientists and innovators walizingua shule) ,sasa bongo embu wazia ugunduzi kama Ndalichako hatakuacha uchi!after all africa everything almost ni politics tu
 
Nani kakuambia hayo masomo ni magumu?? Ugumu unatofautiana kuna wengine history, kiswahili na English ni masomo magumu. Wengine mtihani wa hesabu kabla hatujaingia kwenye chumba cha mtihani tulikiwa tumeshahesabu A.
Mkuu ndio wewe nini?? ulikuwa unafeli HISTORY, kwa madai kuwa ni ngumu sana kuliko PHYSICS
1535425365478.png
 
Hahaha,ni kweli!
Nilisoma PCB. Imechangia sana kuharibu maisha yangu especially Physics. Lakini si haba. LA msingi tuwasaidie watoto kufanya right choice bila kutaka sifa

Sent using Jamii Forums mobile app
ni sifa KUFAULU science sio sifa KUSOMA science,ivyo kabla ya kumshauri mtu kusoma science,au kusoma sayansi inabidi ufanye tathmini ya kina ya uwezo wa mtu ,mazingira,shule n.k
 
Ni mapenzi au hulka, kama Mimi nilikua napenda sana Sayansi yale mambo ya Calculations nini ndio nikaingia huko, now on nimesoma Engineering mafanikio sio makubwa km zile juhudi nilizokua nafanya nikiwa shule

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
 
....Narudia ndugu Motcu, moja ya misingi mikubwa ya sayansi(pcb and pcm) ni ugunduzi, na sio historia ya uanasayansi. Tatizo huanzia kwenye ufahari wakati wa uchaguzi kuliko inavyodhaniwa katika application yake. Mathalani, unajihitaje mwanasayansi kwa kutumia chemicals, za wanasayansi wenzio maabara au whatever? Unajitofautisha na hawa waliosoma history kwa lipi?....(ingawa history nayo ni sayansi, refer Dk leaky-olduvai george)....ukija kwenye hoja ya kuajiriwa ni kweli ,lakini ukija kwenye innovation, theories ni zilezile miaka nenda rudi. Wanasayansi mjiongeze ili kuendana na kasi ya viwanda, na uchumi wa kati. Kumbuka mnategemewa sana.
Mkuu una Gere na wanasayansi wa bongo, huwezi kujua sayansi kama hujui wenzako miaka ya nyuma walifanya nini hivyo kujua walipotoka ni muhimu sana. Wabongo wamegundua vingi na wanaendelea kugundua nenda SUA utawakuta panya wa kutegua mabomu, Power bank za PUKU ni mbongo na vingine vingi ambavyo havitangazwi, pia kusoma sayansi sio lazima wote wawe wagunduzi kama ulivyopost, wengine wanaishia kuwa operators tu. Punguzeni kujua sana, nyinyi ndio mnawaambia watoto sayansi ni ngumu Eti kwa kuwa mzazi ilikushinda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni mapenzi au hulka, kama Mimi nilikua napenda sana Sayansi yale mambo ya Calculations nini ndio nikaingia huko, now on nimesoma Engineering mafanikio sio makubwa km zile juhudi nilizokua nafanya nikiwa shule

'HOW MUCH IS TOO MUCH?'
Wanasayansi hawathaminiwi nchi nyingi za africa ndio maana ukiona mtu yupo vizuri kichwani na ana information au kapata chance za majuu analala mbele!
 
Nilisoma PCB...kilicho nifanya nisome hasa mkumbo na ushawishi kutoka kwa family na friends..kua utaonekana mtabe mtoto wa kiume utasomaje arts bhana..
Kusema kweli PCB sio lelemama kuna jamaa zangu kama wawili walikuaga kama machizi.
Ila nashukuru Muumba nilipiga shule nikaingia chuo cha Afya nikapiga kozi ya Afya..
NOW nakula hela ya serikali..
Ila PCB ni msuli tena msuli kweli..penye ugumu ndo penye mafanikio.
Ila nw natamani sana kozi za uchumi mana kuna watu wanavuta hela sio za kawaida.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengine tulisoma PCM by default. Mazengo Technical school ilikuwa mkimaliza form two, masomo kama history, geography na biology mnatupa kule na yanakuwa replaced na technical subjects. Uzuri wa PCM vitu vina formula na hutumii msuli mkubwa sana kuielewa/kuikariri formula sawa na wale wengine wanaopaswa kukariri miaka na matukio tofauti
 
Ugumu wa hesabu umeanza lini? Nikijua kesho nina mtihani wa hesabu nalala kabisa,
Wacha nichangie mada, Binafsi nilisoma PCM, matarajio kuja Mhandisi ujenzi, Changamoto ni nyingi sana sana ukifika chuo unakua na module nyingi mnoo, Assignment nyingi mnoo, test nyingi, Changamoto nyingi kipindi cha field ni kidogo sana kiasi kwamba hujifunzi vitu vingi mpk unajikuta unaanza kazi mweupe kabisa
Over

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiswahili na History mbona ndio magumu. Yaani mimi kukariri miaka ya watu kuzaliwa, kupigana, kufa nk ilinishinda kabisa. Masomo ya sayansi yamenifikisha mbali lakini hata hivyo kwa sasa natamani uchumi. Najua hii ni nature ya binadamu tu - kutaka kile asichokuwa... Mrefu anataka kuwa mfupi, mfupi anataka kuwa mrefu nk.
Hakuna mrefu anae taka kua mfupi ila mfupi anautamani urefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 848895lol

hao waliosoma hizo kombi walikua wanasoma sana jamani,

Leo nataka kujua was it worth?LOL

naomba mliosoma hizi kombi msaidie watoto wafanye right choice..

ningependa kujua;ulisoma nini kati ya hizo?matarajio yako yalikua nini? umeachieve?nini changamoto ulizokumbana nazo mpaka umefikia hapo?

currently huku mtaani,PCB ni madaktari na PCM ni ma engineer

nauliza hivi kwa nini mnatoka kusoma kozi ngumu advance then mnachagua masomo magumu Zaidi huko chuo???😀😀😀😀😀😀😀😀

je wanafanya hivi kwa kuwa hamna choices nyingi?
Hakuna somo rahisi ndugu ni mtu tuu mwenyewe, mimi nili ogopa English nikiwa form 2, ilikua ni mziki kwangu nikapenda Sayansi, Ajabu form five nikapenda kasoma art ila English haikuwepo, kufika chuo hicho kiswahili usiskie (ni balaaa) sio hiki cha mtaa tukijuacho kina hesabu hizo ukikaa vibaya unadisko hicho hicho kiswahili,

Mimi niliipenda Sana history, kasoma masuala ya ulimwengu huu na kujua historia ya nchi yangu na nje ya nchi hii , hasa history ya chuo ipo vizuri, kuipenda HS kulifanya maisha kua marahisi kwangu maana ilikua hainishindi

Hivyo ugumu wa somo lolote ni mapenzi tuu ya muhusika, hakuna rahisi kwako na kwa mwenzako,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom