Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

Saluni za kunyoa nywele sehemu nyeti

hahahaaaa barafu sikia unawwza pata imejens ukakimbizwa hospital du wakaona kiduku .kwangu mimi aibu
 
Dar siku hizi saloon ni vituko, hizi barber shop unakuta kuna wadada wazuri na wenye mvuto hatari, wao ni kukuosha na kurekebisha kichwa mambo ya superblack na pia facial scrub. Nimewahi enda kunyoa nywele za kichwani na kutestisha zali la facial scrub maana nilichoka kusimuliwa, nilifika saloon moja hapo banana ukongo (Dar), mule ndani kwenye pubs nyingi. Nilipewa facial scrub moja ya hatari huku shati langu likiwa limevuliwa nusu alafu mdada kavaa kivazi kifupi cha shahiri na kimemkumbatia kwa chini kinaonyesha kwa mbali, ni hatari tupu, tuko wawili tu. Yaani ananiletea mtindi mpaka usoni na sauti yake nyororo, alafu vile viti vyao vya kama umelala nyuzi 120 hivi, yeye akaweka mguu wake huku na huku kama anaendesha farasi. Chumba chenyewe cha sindano kipo isolated na kina mandari fulani hivi. Mi niliuchuna tuu mpaka akamaliza, karibu dk 20, ila kichwa changu cha chini kidogo kilichanganyikiwa!! Ila niliinjoi.
Kwa hiyo hata kunyoa nywele za nyeti, ni vikorombwezo tuu vya kuvuta wateja, madume yatafata wanawake, na wanawake watafata madume.

Vp kwa mfano ukizidiwa unaweza patiwa huduma ya kuosha rungu?
 
Mbona jambo la kawaida sanaaaa, yuko Mdada ndio Anakuja kutufanyia waxing nyumbani Kwa elfu 40 mwili mzima na mashallah Hodari...
 
Dah ke ya mke anaepaswa kuijua hata kwa kuitazama ni mume wake tu, sasa kama ww ni me, utaruhusuje watu wanachungulia migodi yako.
 
Msije shindwa kushangaa tu pale mapicha yenu yakakutwa kwenye magazeti ya udaku...! Na kichwa cha habari kikuuubwaaa...!

"Superman with 2inch wand"

Tehe tehe tehe.........
 
wasiwasi wangu ni pale huduma hiyo itapotolewa kwa mteja baba na mhudumu baba,wateja wengine wana nywele hadi makalioni sasa mhudumu anapotaka kumuhudumia hapo katikati ya makalio itakuwaje?Jamani hacheni kuiga uzungu mtatuletea sodoma na gomola!

Amini usiamini hata ziwe kona gani zitatolewa tu
 
sidhani kama kuna salon za aina hiyo hapa tanzania. kama unaongelea majuu, huko haituhusu ila kwa bongo hii uanze kushika private parts za mtu mzima ambaye wala sio mke/mme wako, how come?

Wewe bado ona eehhh?
 
MJ my dear hata akina baba pia wapo wanaofanya hii brazilian wax ila sijui about huko chini kwao ila kuna wengine wanafanya wax kutoa nywele za usoni, au nywele za kifuani....hii kazi ina depend hata mwanamke anaweza kummfanyia mwanamke mwenzake...kama nilivyosema before its business wale watu wapo kazini na wala hakuna matamanio au sijui kukupapasa na vitu kama hivyo....so far i will recommend you to go and try ila kama ni mara yako ya kwanaza be prepared inauma sana na wala siyo kidogo.....take painkiller kabla hujaenda.....

We kama siyo druger basi bahati yako....! Make tayari akiri yako imechepuka!
 
Shughuliiiiiiii,mana papuchi zenyewe zina shape tofautitofauti,nyingine nyeusiiiiii,nyingine hiyo labia utadhani mkia wa mbuzi unaning'inia,nyingine vis..m utadhan dushelele,kweli huyo mtoa huduma anafaidi kuwajua hao akina dada,hata km ni mhudumu ni mwanamke.Kama akina dada mnataka hivyo bora mnunue vifaa mkanyolewe na wenzi/wapenzi wenu maana lazima shavu zitanuliwe ili nywele zote zitoke
 
Uvivu huu utatumaliza walahi, mie niende kutanua miguu yangu kwa mtu kama vile najifungua aka? Halafu sehemu yenyewe ilivyo nyeti nikiambukizwa magonjwa kwa mikono na nyenzo zake je? Shauri yenu

Wise dada can't do that?
 
Siku hizi faragha za sehemu nyeti hakuna kabisa...wanaadamu hatuna tofauti na wanyama wa porini.......unaanzaje kuonyesha tupu yako kwa mtu ambaye hana mamlaka na tupu yako....ni ngumu kuamini lakini yote hutokea kwa mlango wa utandawazi...nyuso za watu zimekosa aibu ya kibinadamu tunatenda ambayo hata wanyama wanatushangaa....kwani sijawahi kusikia wanyama wamegeuzana....bali ni binaadamu pekee ambao ndio wanaotajwa kuwa ni viumbe wenye ufahamu........siku hizi kumkuta amepiga akiwa mtupu limekuwa si jambo la kushangaza tena kwani hata muhusika anaonekana kufurahia jambo hilo...na ukijaribu kumwambia utaambiwa unaingilia uhuru wake.....basi unabaki kuyaangalia kwa masikitiko.......DUNIA HADAA NA ULIMWENGU SHUJAA........
 
Back
Top Bottom