msije shindwa kushangaa tu pale mapicha yenu yakakutwa kwenye magazeti ya udaku...! Na kichwa cha habari kikuuubwaaa...!
"superman with 2inch wand"
WAKUU VIPI,hivi wake zetu...mnakuwa wazima kweli nyie kichwani.hivi inakuaje mwanamke kwenda kunyoa ma fuuu siii nazani mmenelewa eti unaenda soloon ya wakongo iko pale posta hahaha.hivi kweli unainama mwanaume ambae sio wako anashika papuchii yako akunyoe.dah.kweli mjini raha nataka nikaombe ukinyozi asee.HII IMEKAAJE WAKUU
TATY SIO HATA MWANAMKE wangu ni dada mmoja hapa ofisini walaaah alivyo mstarabu huwezi kuamini.wee mke wangu akanyolewe mi nafanya kazi ganiNi mke wako tu ndo anafanya hivyo
wakongo warudi kwaooohao wakongo wajanja wamejibunia njia rahisi kabisa ya kupata papuch ambazo ni priceless
na kweli nshaanza kuyaona dah...kweli mjini afukuzwi mtuKua uone....
nakweli aseeehahahaaa... kazi ya mtu iko mikononi mwa mtu wew