luckyline
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 15,153
- 21,788
Rafiki yangu wa
karibu kanihabarisha kuwa "mamaaa" yaani my wife wake wki 3 zilizopita
alienda kupata huduma za kawaida Saloon kubwa na ya kisasa ya kina mama
katikati ya jiji. Baada ya hapo akaambiwa kuwa kulikuwa na huduma ya
ziada.
Huduma hii ni ya kunyoa nywele za sehemu nyeti kwa namna ambayo nywele
zote zinatoka na kukufanya "kwa bibi" kuwe kipara kabisa.
Pia akanihabarisha kuwa mamaa aliambiwa akinyolewa hivyo, nywele
zinachukua muda mrefu sana kuota na wala hatoki vipele vya
wembe,nilibaki najiuliza maswali mengi yasiyo na majibu.
Wadau hii imekaaje.
kwa mwendo huu mtu wa namna hii atajifulia nguo? this is not true, na kama kweli basi yesu naomba urudi mapema.